Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Africa kutawala bila kuwa na jamii yako ya karibu. Ndo maana jamaa alikuwa dikteta na chaguzi zote hakuwa anashinda. Na ufaransa kupitia waziri wake wa mambo ya nje waliapa watamlinda na kumuunga mkono ila ufaransa kigeugeu.Si nasikia kapewa mwanae, wataendelea kula keki gao
Hakuna hiyo siku. Huo ndio ukweli mchungu.Kuna siku madikteta wataisha tu
Hii dose Mungu aliyoileta iendelee hadi kwa akina Museveni, Paul Biya, Ali Bongo na Paul Kagame.
Tumeona Magufuli aliiba kura October 2020 lakini akafa baada ya siku 114. Mungu hachezewi!!
Si nasikia kapewa mwanae, wataendelea kula keki gao
Lkn haikuingia maratu baada ya wananchi kuamua kumtupilia mbali dalali wa madkiteeta.Hakuna hiyo siku. Huo ndio ukweli mchungu.
Madikteta wanazidi kuongezeka duniani.
Marekani iliponea chupuchupu kutumbukia kwenye udikteta mwaka huu.
Wanafanya kosa moja tu la kujifanananisha na Mungu au malaika.Mwaka mchungu Sana Kwa madikteta huu
Urais wala hushiki nyundo wala kubeeba zegeView attachment 1758234View attachment 1758235alivyo livyo ataweza kweli urais miaka 37 tu
Ambatanisha ka picha ikikupendeza mkuu.Mke wake probably ndio the most beautiful first lady in Afrika, mtoto bado mbichi kabisa dah! ya Mungu mengi, apumzike kwa amani mjeda
Wanajeshi wajanja sana walipo muona ana kimbele mbele wakamfanya kama sweeper ili akutane na sindano ya ganziAnyways habari ni kuwa jamaa alijeruhiwa akiwa frontline. Yani baada ya kushinda uchaguzi alijiunga na jeshi lake kuenda kupambana na waasi huko akala ganzi.
Daima Mungu siku zote yupo na wanaogandamizwa na wenye maguvu ya kiduniaNahisi Mungu kaamua kupitisha mkono wake sasa dhidi ya uonevu na ukandamizaji. Tena wanaondokea madarakani kabisa.
Unataka kusema kuwa kuna taifa lisilo na corona barani Afrika?Chad kulikuwa na corona?
Ndiyo maana halisi ya dikiteetaSasa mihula sita yote iyo nchi aliiumba yeye.
Ukiskia kula nchi ndo huku sasa..Ameacha Wajane wadogo na warembo sana.View attachment 1758228View attachment 1758229
April 13, 2021Chadian President Idriss Deby is Africa’s new field marshal (Twitter)
Deby, a 68-year-old general who came to power in 1990 was honoured during Tuesday’s celebration of the country’s 60th anniversary of independence from France.
It is the highest military rank in the country. Currently there are two living field marshals; ex military commander in chief Mohamed Hussein Tantawi (Active Duty) and President Abdel Fattah el-Sisi of Egypt (Active Duty
President of Chad Idriss Déby Itno11 Aug 2020
In Chad, a ceremony is held to officially confer the rank of Marshall on President Idriss Déby. The event coincides with the sixtieth anniversary of Chad's independence from France. Déby has been in power for 30 years.
Mbona kiduku aliwezaView attachment 1758234View attachment 1758235alivyo livyo ataweza kweli urais miaka 37 tu