Ila kwakuwa kifo kipo basi uhuru hautakomaHakuna hiyo siku. Huo ndio ukweli mchungu.
Madikteta wanazidi kuongezeka duniani.
Marekani iliponea chupuchupu kutumbukia kwenye udikteta mwaka huu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kwakuwa kifo kipo basi uhuru hautakomaHakuna hiyo siku. Huo ndio ukweli mchungu.
Madikteta wanazidi kuongezeka duniani.
Marekani iliponea chupuchupu kutumbukia kwenye udikteta mwaka huu.
Hii ni hulka aliyonayo mwanadamu,hata siku ya kufa mtu muovu ataomba angalau apate dakika chache angalau akatoe swadaqa ingawaje ameishi duniani miaka 30 lakin hamkufanya hilo!Afrika hapa shida sana, wewe umekaa mihula 5..si uacheee..kama miaka 30 umetawala hujaridhika na hujabadili kitu miaka 5 inatosha nini??
Unadhani vitani wanaenda vikundi vya hamasa na wasanii?Japo alikuwa wa uongo ila uyo ndo.kamanda sio wale wataingiza watu road afu yeye atokei.
Mema ya nchiUkiskia kula nchi ndo huku sasa..
Kabila nae aliwezaMbona kiduku aliweza
Bila shaka jamaa alitaka sifa.Huyu jamaa hakujua maana ya delegation of power?
Rais unaenda vitani? Shughuli nyingine nani atafanya?
Vipi anamzigo?Naaam naaam, naaam swadaktaa!
Bi. Amani Hillal binti wa Kiongozi wa Waasi wa Janjaweed Sudan.
Mrembo sana Ma sha allah!
May prayers of people of Cameron, Equatorial Guinea and Uganda be answered also.God is helping Afrika,by killing dictators.and what I fore see this will continue. Enough is enough.
Jeshi limevunja bunge na serikali na kamati ya kijeshi itaongoza kwa miezi 18.Duh.
Hapo Makamu ndiyo ataapishwa au ni watarudia tu uchaguzi?
Ungeambatanisha na kapicha boss ingekuwa murua zaidi.Mke wake probably ndio the most beautiful first lady in Afrika, mtoto bado mbichi kabisa dah! ya Mungu mengi, apumzike kwa amani mjeda
Hyo mtoto wake nae inabidi wapite nae coz ataleta utawala ule ule wa kishenzi wa mshua wake.Habari za kifo chake haziko wazi, ila ni kama amekufa kwa majeraha ya risasi, na mtoto wake anayejulikana kwa jina la Kaka ametangazwa kuwa rais wa mpito.
Jeshi ndio linaongoza nchi kupitia baraza la kijeshi katika kipindi hiki cha mpito cha miezi 18, otherwise useme mkuu wa baraza la lijeshi ni mwanae vinginevyo acha upotoshaji.Mwanae kapewa Urais wa mpito!!
Africa ni Africa tu naye wahesabu miaka 30 mingine