Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Ahsante kwa picha sio watu wanatoa maelezo mengi bila pichaAmeacha Wajane wadogo na warembo sana.View attachment 1758228View attachment 1758229
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante kwa picha sio watu wanatoa maelezo mengi bila pichaAmeacha Wajane wadogo na warembo sana.View attachment 1758228View attachment 1758229
Mwanae Jenerali Kaka ndo anakamata usukani.Duh.
Hapo Makamu ndiyo ataapishwa au ni watarudia tu uchaguzi?
Kaacha Wamatumbi wenzie, kaenda oa Arabs!!Ameacha Wajane wadogo na warembo sana.View attachment 1758228View attachment 1758229
Hii ni hulka aliyonayo mwanadamu,hata siku ya kufa mtu muovu ataomba angalau apate dakika chache angalau akatoe swadaqa ingawaje ameishi duniani miaka 30 lakin hamkufanya hilo!
Baada ya hapo Lisu akawa rais?Hii dose Mungu aliyoileta iendelee hadi kwa akina Museveni, Paul Biya, Ali Bongo na Paul Kagame.
Tumeona Magufuli aliiba kura October 2020 lakini akafa baada ya siku 114. Mungu hachezewi!!
Hiyo victory speech akaitoe huko kaburini.Déby, was expected to give a victory speech after receiving the provisional results, but opted instead to visit Chadian solidears on the front lines, said his campaign director Mahamat Zen Bada...!![emoji848][emoji848][emoji848]walimchoka wakamshauri vibaya ili wakammalize
Unabisha nini sasa?hilo baraza litaongoza Nchi na Mwanae ndio kapewa hilo shavu.Jeshi ndio linaongoza nchi kupitia baraza la kijeshi katika kipindi hiki cha mpito cha miezi 18, otherwise useme mkuu wa baraza la lijeshi ni mwanae vinginevyo acha upotoshaji.
Hawawezi kufanya ujinga huo neverView attachment 1758299
Dunia inaenda kasi sana aisee
Dogo Mahamat Deby(Miaka 37) aliyekua anaandaliwa kupewa urais sijui kama hao majenerali watampa
Mkuu Frank Wanjiru nisamehe sana kwa kukukosoa nilikuwa bado sijapata habari kamili juu ya tukio hili...Please find a place in your heart to forgive me!Unabisha nini sasa?hilo baraza litaongoza Nchi na Mwanae ndio kapewa hilo shavuView attachment 1758308
Mwanae ni General au huna habari?Jeshi ndio linaongoza nchi kupitia baraza la kijeshi katika kipindi hiki cha mpito cha miezi 18, otherwise useme mkuu wa baraza la lijeshi ni mwanae vinginevyo acha upotoshaji.
Kwanini mkuu??? Ujue lakini yeye ndio Mwenyekiti wa hiyo Military Council inayotawala kwa miez 18 na kufuta serikali yote ya kuchaguliwa(Baraza la mawaziri na Bunge)Hawawezi kufanya ujinga huo never