Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliko ugundua wanakataa chanjo nyie kajamba nani mnaitakaNa huo ndio ukweli!!
Mzazi gani hua anaulizwa kama mtoto achomwe chanjo ya surua/ pepopunda??!
Huu ugonjwa haujapata kiongozi serious wa kushughulika nao hapa Tanzania. Kama alivokua Mwendasake...huyu nae kaja na maneno kibwena!
Sasa mnaagiza ije ya nini kama walikogindua wanaikataa!?Waliko ugundua wanakataa chanjo nyie kajamba nani mnaitaka
Ya kuwadunga mambumbuSasa mnaagiza ije ya nini kama walikogindua wanaikataa!?
Peleka ujinga wako Lumumba. Kama serikali haijui nini cha kufanya ifunge domo kuliko kuagiza kitu isichojua umuhimu wake. Na mbumbumbu wa dizaini yako ndio mliotufikisha hapa kwa kugawia Lijiwe mitano tenaYa kuwadunga mambumbu
I see!Katika hili Mh Mbowe amekosea sana! Arudi kutuomba radhi Watanzania