Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Yaweza kuwa aliifuata pale mtaani kwao,kijani.Wewe lini zimekurudia.!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaweza kuwa aliifuata pale mtaani kwao,kijani.Wewe lini zimekurudia.!
SidhaniYaweza kuwa aliifuata pale mtaani kwao,kijani.
Hakuna haja ya kutumia maneno ya kuudhi tuelimishane tuWewe lini zimekurudia.!
Huna akili
Sawa mkuuHakuna haja ya kutumia maneno ya kuudhi tuelimishane tu
Chanjo zote ni hiari ! Ni vizuri tu majority wawe wamechanjwa na njia bora ni kutoa elimu na kuwashawishi watu kuipokea chanjo, ukianza kulazimisha ndio utatengeneza tatizo kubwa zaidi !Ngoja nikuulize,hata ile ya polio ni hiari sio,achilia mbali pepopunda,kifaduro,kutajakwa uchache.
Kachome wewe form ya kujisajiri ili uchomwe chanjo umeisoma au unapiga kelele tuu.inasemaa!! Endapo MTU yeyote akipata madhara yeyote ya ugonjwa au kifo kutokana na hzo chanjo serikali haiusiki kwa chochote kile.hata kama huna akili unajiuliza kwa nn wanataka kukwepa lawama?Nchi hii kuna ufala mwingi sana, ukichunguza vizuri wanaopinga chanjo chanzo ni Gwajima alipoanza kuipinga mwaka jana, mbona chanjo zote tulizochanjwa ni za wazungu?...
Muda utaongea, serikali walianza kwa kuzigomea chanjo, sasa wamezikubali wanasema ni hiari, kinachofuata kila mtu achanje...subiri muda utaongeaKachome wewe.form ya kujisajiri ili uchomwe chanjo umeisoma au unapiga kelele tuu.inasemaa!! Endapo MTU yeyote akipata madhara yeyote ya ugonjwa au kifo kutokana na hzo chanjo serikali haiusiki kwa chochote kile.hata kama huna akili unajiuliza kwa nn wanataka kukwepa lawama?
Wewe akili uharo umbwa wewembowe akili matope
Mbowe kawapa cha kuongea hawa jamaa hizi siku mbili tatu, ishu ya tozo iliwakalia kooni haswa, mjiandae mzee kwa threads za akina IboyaHuna akili
Sasa kwanini anataka muendelee kukusanyika kwenye vikangamano vya huo upuuuzi wenu wa katiba?Corona ipo na INAPUKUTISHA...siku ikikutembelea utamwelewa vizuri anachoongea Mbowe
Mwamba kawambia lazima mchanjwe!Wewe akili uharo umbwa wewe
Kwani wamekuwa CCM?Waharibu mara ngapi?