CHADEMA Dodoma: Mbowe asipoachiwa, tutaitisha maandamano bila kikomo

Ngoja nisubir nione😂😂😂
 
Yalishindwa ya ukuta na Mbowe mwenyewe akiwepo.
Ya bwana yule wa Ubelgiji yalibuma
Nyie ndo mtaweza?labda maandamano ya JF,tofauti na happy mnatafuta kilichokunja mkia wa mbwa.
 
Makamanda mbuzi mkowapi Jamani?
So tulielewana Leo tuandamane DJ wasipomtoa mpk 12 jioni Jana.?
Nipo hapa ofisi za ABC nawasubiria,au bado mnakunywa chai kwanza.
Vijana wa ufipa ni maboga kabisa😃😃
Usinitafutie Ban sikujui hunijui
 
Nafikiri muroto Arudi kazini kwa leo tu[emoji1787][emoji1787]
 
Huyo hakufuata ijaluoni kafuata huko
Ndoma unaona tabia zake hazifani za kijaluo
 
Wameshaanza maandamano?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…