CHADEMA haifai kuwa ni Chama Cha Siasa

CHADEMA haifai kuwa ni Chama Cha Siasa

THESI,
Usihangaike na watu wenye ajenda zao. i) Wachagga nao ni Watanzania na wanahaki zao katika Taifa hili. Mtu yeyote anayejenga chuki ya kikabila bila msingi amefilisika, na hana nafasi katika Taifa hili. Tuliisha kwenda mbali zaidi ya makabila. Dawa ya mtu kama huyo ni wa kumpuuza tu.
ii) Padri Slaa- Kuzini na mke wa mtu. Kama Padri Slaa mwenyewe hakasiriki wala nyie hamhitaji kukasirika. Mwenye mamlaka ya kuhukumu ni Mungu tu na si binadamu mwingine. Unajua walivyokimbia Mahakamani kwa lengo la Propaganda za Kisiasa. Leo wako wapi mbona hakuna anayezungumza tena. Ndio Maana Mimi Padri Slaa, huwa siwajibu, kwa sababu asiyejua bali anajifanya mjuaji ni juha kuliko wale wasiojua. Huyo unasababu ya kubishana naye kwa kuwa hutambadilisha hata ukibishana naye.
iii) Kutishia kumwaga Damu ni kosa la jinai. Kama anajua kuna aliyetishia kumwaga Damu na hajaripoti Polisi ili mhusika akamatwe, basi ni mzushi, mchonganishi na kadhalika na huyo huhitaji pia kuhangaika naye. Au analake jambo, au katumwa na hatumii akili zake bali kichwa anakibeba kama kabichi, kwa kuwa kichwa cha binadamu chenye ubongo kimemumbwa na Mungu kufikiri, kutafakari lakini kama kichwa cha mtu kimejaa tu ushabiki usipoteze muda. Tukumbuke mfano wa Kichaa aliyekimbia na nguo zako na wewe ukimbimkimbiza jamii haitafahamu kichaa ni nani kati yenu. iv) Busara ya mtu inapimwa kwa maneno na matendo yake, na hivyo wapimwe kwa maneno na matendo yao. Tusiwatukane, kwa sababu haisaiidii sana kumpigia Mbuzi Gitaa.... Thanks, na kama nilivyosema siku zote Wasamehewe bure, haigharimu kusamehe bure bali kunakupa thawabu....


Safi sana Dr tunashukuru kwa ushauri wako,Tuko pamoja kwa maslahi ya taifa hili
 
Kusema kweli Chadema kimepoteza muelekeo wa kuwa Chama cha siasa na badala yake kinaelekea kuipeleka Tanzania pahala pabaya ,sehemu ambayo itakuwa tabu sana kurudi huku tulikotoka kwenye amani na utulivu.

Kwa muda huu Chadema inapuliza vuvuzela la machafuko Tanzania nzima ,kwa kuwa tu imepigwa bao la kisigino na kuachwa kwenye mataa.Nionavyo na mawazo yangu mgando ni bora chama hiki kifungwe au kiondoke kwenye medani za siasa na kuingia misituni kiendeleze mapambano ya kuing'oa CCM madarakani na sio kutumia siasa kama jukwaa la kuiondoa CCM kwani haitofanikiwa milele.

Mimi nilipowaona wanang'ang'ania kuvaa magwanda ya kijeshi nilijua tu kuwa hawa sio wanasiasa aidha watakuwa na lengo lingine kabisa ambalo leo hii limeanza kuota kama uyoga.Maguo yale ya kijeshi hutumika kwenye vita kwa kuvaliwa na viongozi waandamizi ambao huwa ni wazamiaji wa shughuli za kuendeleza mapambano na Chadema walianza zamani kuwavaa viongozi wa serikali za Tz zilizopita kwa kuwakosoa na kuwaweka katika hali ngumu na hata kupelekea mabadiliko ya serikali katika ngazi za uwaziri.

Chadema kama mmechoka na siasa bora mvunje chama na kurudi huko mnakotokea au ingieni msituni tujue kuwa mmekusudia.

Toa ujinga wako humu, kama una mawazo mgando kaa kimya wenye mawazo mapya wachangie. Jeshi unalifahamu lakini wewe, mavazi ya kijeshi unayaelewa lakini, jeshi la nchi gani wana vaa kama CDM? Mtu mwenye mawazo mgando huwezi kuwafudisha CDM nini cha kufanya-kwenda msituni zilikuwa mbinu za kizamani sasa hivi ni KUBANANA HUMU HUMU MJINI MPAKA KIELEWEKE!

Nenda kachambe ushuzi wako unanuka vibaya sana!
 
Bwana kaka unapotea njia hebu tuangalie historia ya Magwanda .CCM wana magwanda hata sasa kuanzia Mgambo wao na Chipukizi na je nao tuseme wanataka nini ? Yaani hata uniform za vyama nazo leo unazioanisha na uhaini are youn serious ama unapoteza muda kwa kuwa unaweza kuandika unayo net access ?
 
Mna jazba na wengi wenu mnavamia tu ,kama nguruwe aliekuwa hawahi kuona shamba la muhogo ,yaani mnaonyesha upungufu wa uelewa,mnaonyesha ufinyu wa kupambanua mambo na kuyaelewa kiundani ,zaidi hamna usiasa na hivyo mnakuwa hamna tofauti na wale wapiga debe wa stendi za mabasi ,makelele mengi ili kuvutia wateja ,kumbe wengi wao ni kuganga njaa.

Sasa kadiri nilivyowasoma kusema kweli wengi wenu hamueleweki zaidi ya kuongea matusi na kubeza ,jamani kama hamuelewi kinachoandikwa ni bora kuuliza mstali kwa mstari na sio kuja na maneno ya ufedhuli.

Wale ambao ni Chadema swafi wamenielewa na wanajua ni kitu gani naongelea ,hapa ninapoandika huwa sibahatishi ninagonga na kuchoma pale ambapo jipu limetunga.

Chadema waliyakataa matokeo hata kabla ya kutangazwa kwa maana hiyo wangelikataa hata matokeo baada ya kutangazwa ila niliona wakikimbilia kuapishwa ,Chadema wanakubaliana na matokeo baada ya kutangazwa .hii ikoje ? Kama si ndumila kuwili ni nani mnakumbuka CUF walipoamua kukataa matokeo wawakilishi wake wote hawakushiriki katika vikao na dunia ilitambua na hatima yake yote mnaijua.CUF walipoacha kupiga kura kama mnakumbuka kura za maruhani ,nyote mnatambua.

Chadema mnawadanganya wananchi kwa kuwa misimamo yenu haijulikani imesimamia sehemu gani.Leo mnasema hivi kesho makuja na jipya ,huyu anamsimamo huu mwengine ana msimamo mwingine ,CUF walipoamua kutoka kwenye Baraza la wawakilishi hakuna hata mmoja alibakia ,Chadema inaonyesha ndani ya Chama hamna umoja. Sasa ikiwa ndani ya Chama hamna mshikamano wenye umoja hamuoni kama mnawagawa wananchi.
 
imekuwa vizuri wewe mwenyewe umetutangazia kwamba fikra zako ni mgando. unadai chadema isifanye shughuli za kisiasa lakini hujaeleza kosa lao ni nini. viongozi wa ccm kueneza propaganda kwamba chadema ni chama cha kidini na kumwaga damu hazijakifanya chadema kuwa chama cha kidini na umwagaji damu. toa ushahidi wa haya

kisha unataka chadema kifutwe. hujaeleza wamekiuka vigezo gani vya usajili. na hata kama ukieleza basi utoa ushahidi, au vizuri ukaenda mahakamani ili ushahidi wako uamuliwe na mahakama. ikithibitika basi utakuwa na hoja.

uvaaji wa magwanda kwangu mimi siyo ushahidi wa umwagaji damu. au unataka kutuambia polisi na jeshi la wananchi kazi yao ni kumwaga damu kwa sababu wanavaaa magwanda? hivi magwanda ni nini? unadhani zile sare za ccm siyo magwanda?

mwisho nadhani fikra zako zinaashiria ubora duni wa elimu ya tanzania ambao umesababishwa na ccm, hivyo wewe ni mwathirika. kama wananchi ni maskini leo kuliko kabla ya Tanganyika kupata uhuru basi nadhani tunahitaji kupata uhuru. usisahau kwamba hata nyerere alipokuwa anadai uhuru, alipata upinzani mkubwa kutoka kwa baadhi ya watanzania vibaraka waliojua ukweli lakini wakaweka maslahi yao binafsi mbele. vibaraka hawa waliwahadaa wananchi waliokuwa na upeo mdogo wa kufikiri, kama wewe, ili kuungwa mkono.

chadema siyo tu wanadai katiba na tume mpya, wanatusaidia kudai uhuru. tafadhali fikisha ujumbe huu kwa JK kwa sababu hajui kutumia computer na hivyo sidhani kama hutembelea hili janvi
 
THESI,
Usihangaike na watu wenye ajenda zao. i) Wachagga nao ni Watanzania na wanahaki zao katika Taifa hili. Mtu yeyote anayejenga chuki ya kikabila bila msingi amefilisika, na hana nafasi katika Taifa hili. Tuliisha kwenda mbali zaidi ya makabila. Dawa ya mtu kama huyo ni wa kumpuuza tu.
ii) Padri Slaa- Kuzini na mke wa mtu. Kama Padri Slaa mwenyewe hakasiriki wala nyie hamhitaji kukasirika. Mwenye mamlaka ya kuhukumu ni Mungu tu na si binadamu mwingine. Unajua walivyokimbia Mahakamani kwa lengo la Propaganda za Kisiasa. Leo wako wapi mbona hakuna anayezungumza tena. Ndio Maana Mimi Padri Slaa, huwa siwajibu, kwa sababu asiyejua bali anajifanya mjuaji ni juha kuliko wale wasiojua. Huyo unasababu ya kubishana naye kwa kuwa hutambadilisha hata ukibishana naye.
iii) Kutishia kumwaga Damu ni kosa la jinai. Kama anajua kuna aliyetishia kumwaga Damu na hajaripoti Polisi ili mhusika akamatwe, basi ni mzushi, mchonganishi na kadhalika na huyo huhitaji pia kuhangaika naye. Au analake jambo, au katumwa na hatumii akili zake bali kichwa anakibeba kama kabichi, kwa kuwa kichwa cha binadamu chenye ubongo kimemumbwa na Mungu kufikiri, kutafakari lakini kama kichwa cha mtu kimejaa tu ushabiki usipoteze muda. Tukumbuke mfano wa Kichaa aliyekimbia na nguo zako na wewe ukimbimkimbiza jamii haitafahamu kichaa ni nani kati yenu. iv) Busara ya mtu inapimwa kwa maneno na matendo yake, na hivyo wapimwe kwa maneno na matendo yao. Tusiwatukane, kwa sababu haisaiidii sana kumpigia Mbuzi Gitaa.... Thanks, na kama nilivyosema siku zote Wasamehewe bure, haigharimu kusamehe bure bali kunakupa thawabu....

I disagree on red line. Kama mtu afanye makosa halafu tusubiri Mwenyezi Mungu ndiye amhukumu, Je wale wanaoibia serikali, Rushwa, Dhulma kwa maskini, Wanaoiba kura, inabidi tusiburi Mwenyezi Mungu awahukumu?
If that is the case, Why we fight for Equality? Corruption? Dhulma?
 
Narudia Tena kumwambia rais wa nchi aache kuwapa kiburi chadema kwa kuwaita chama kikuu Cha upinzani Tanzania ..nakuwapa upendeleo binafsi wa maridhiano kuona vyama vingine sio ni makosa makubwa!! Ni Bora hata cuf ya lipumba na act wazalendo wanapotaka kukosoa jambo lolote wana staha kuliko Hawa ambao Kila wakideka TU wanaitwa ikulu ,rais wetu jaribu kuvaa sura ya magufuli ,wewe ni dola! Haya sasa wanakutukana! Wamesahau kwamba walikuwa uhamishoni siku si nyingi ..chadema ni sawa TU raila odinga wa Kenya, Dolla wataisikia redioni tu
 
Narudia Tena kumwambia rais wa nchi aache kuwapa kiburi chadema kwa kuwaita chama kikuu Cha upinzani Tanzania ..nakuwapa upendeleo binafsi wa maridhiano kuona vyama vingine sio ni makosa makubwa!! Ni Bora hata cuf ya lipumba na act wazalendo wanapotaka kukosoa jambo lolote wana staha kuliko Hawa ambao Kila wakideka TU wanaitwa ikulu ,rais wetu jaribu kuvaa sura ya magufuli ,wewe ni dola! Haya sasa wanakutukana! Wamesahau kwamba walikuwa uhamishoni siku si nyingi ..chadema ni sawa TU raila odinga wa Kenya, Dolla wataisikia redioni tu
Ukiona chama ambacho kila "kikideka tu" kinaitwa ikulu, basi hicho ndicho chama kikuu cha upinzani kinachoheshimika na kuogopeka, au vipi?
 
Narudia Tena kumwambia rais wa nchi aache kuwapa kiburi chadema kwa kuwaita chama kikuu Cha upinzani Tanzania ..nakuwapa upendeleo binafsi wa maridhiano kuona vyama vingine sio ni makosa makubwa!! Ni Bora hata cuf ya lipumba na act wazalendo wanapotaka kukosoa jambo lolote wana staha kuliko Hawa ambao Kila wakideka TU wanaitwa ikulu ,rais wetu jaribu kuvaa sura ya magufuli ,wewe ni dola! Haya sasa wanakutukana! Wamesahau kwamba walikuwa uhamishoni siku si nyingi ..chadema ni sawa TU raila odinga wa Kenya, Dolla wataisikia redioni tu
Hardliners wakati wanamwambia Samia haya hakusikia...
Sasa kajifunza....
Hakuna wataka chopata...hakuna cha maridhiano wala katiba mpya..wala tume huru ya uchaguzi..
Chadema wamerudi Ile Ile full wanaharakati...full watukanaji..
Hakuna politicians wala persuasive individuals...Mama keshajifunza...
Wanachoweza sasa .ni kuambulia viti 2025 na kuendelea kupokea Maagizo ya "deep state" wakiamini wataingizwa Ikulu...
 
Hardliners wakati wanamwambia Samia haya hakusikia...
Sasa kajifunza....
Hakuna wataka chopata...hakuna cha maridhiano wala katiba mpya..wala tume huru ya uchaguzi..
Chadema wamerudi Ile Ile full wanaharakati...full watukanaji..
Hakuna politicians wala persuasive individuals...Mama keshajifunza...
Wanachoweza sasa .ni kuambulia viti 2025 na kuendelea kupokea Maagizo ya "deep state" wakiamini wataingizwa Ikulu...
Hata viti hawatakiwi kupata Hawa Bora wapewe chaumma,
 
Kuwa na vijana na wananchi waoga ni upumbavu na tatizo Kwa Nchi.
 
Back
Top Bottom