Uchaguzi 2020 CHADEMA hampati hata jimbo moja hapa Kilimanjaro

Nadhani wewe ndio utapiga kura kwa niaba ya wananchi wa majimbo yote tumia akili japo kiasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu!!! Jee huu ndiyo mwanzo wa upepo wa kisulisuli???? Nauliza Tuu.
 
Kwanza wewe sio wa Kilimanjaro. Mwambie mama yako akueleze ukweli baba yako wa Kibiolojia na si huyo mlezi. Hakuna Mchaga anaeshangilia treni wakati ilikuwepo toka enzi za ukoloni. Pili treni hiyo imeongeza ajira Kilimanjaro?? Tatu maisha sio siasa tu. Kuna maisha bora zaidi ya unavyofikiri kulingana na umri wako na pia uwezo wako wa kufikiri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
w
wakati unayasema hayo jiulize ww umelifanyia nn Taifa lako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…