Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
Mushi Massawe! Nimecheka sana.Kwanza unajisumbua bure ,,,,ccm aiwez kuchukua Jimbo hata moja Kilimanjaro.....wewe Endelea kujiita Mushi kwa I'd fake
Hayo no majina ya Koo mbili tofauti huwezi tumia Mara mbili kwa wakati mmojaHatuna Mushi Masawe. Pia hatuna neno ukabila.
Haya yanaonyesha hii account ni fake.
Tatizo ccm kilimanjaro haitimizi wajibu wao. Imetekwa na wenye njaa wanaojitokeza dakika za mwisho.
Kila kata ina changamoto zake lakini mpaka sasa hakuna mdau mwenye nia aliyefanya lolote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikoseaje ebu elezeaMoshi mjini ilikosea Sana kuwapa chadema Jimbo,na kwa hakika jambohilo wachaga hawato lirudia tena chaguzi hii
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Umetumwa na Nani kuwasemea? Shayo Kimaro.Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Wewe Mushi Masawe una kura ngapi kwenye uchaguzi ujao?Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Hili dasha linadhani Mushi na Massawe ni majina kama Happy na Musa. Lenyewe limejiunga jana na kuanzisha uzi. Haliwezi kutofautisha kati ya "l" na "r" i.e halijui tofauti kati ya "ajili" na "ajiri".Eti Mushi Massawe. Acha propaganda za kifala mkuu. Kwasasa siasa ni corona.
Hii sio hoja iliyopoMushi Massawe! Nimecheka sana.
Bora angejiita Mabula Masanja ingekaribiana na ukweli
Upopoma unauzwa ?Haahaa mchaga akiona noti Akili inaruka, tangu Uhuru wamependelewa sana, Leo unafiki unawajaa eti jpm ndo kawakumbuka
Usiniletee dharau,kwa hiyo mimi ni Mkara?Wewe sio mchaga hata hivyo
Jadili hoja iliyopoKwanza wewe sio wa Kilimanjaro. Mwambie mama yako akueleze ukweli baba yako wa Kibiolojia na si huyo mlezi. Hakuna Mchaga anaeshangilia treni wakati ilikuwepo toka enzi za ukoloni. Pili treni hiyo imeongeza ajira Kilimanjaro?? Tatu maisha sio siasa tu. Kuna maisha bora zaidi ya unavyofikiri kulingana na umri wako na pia uwezo wako wa kufikiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
hoja hii ni ya kuonesha kuwa hoja iliyopo ni muflisi. Hoja imejengwa juu ya ubatili, kwa hiyo ni void ab initio.
Kuambiwa wewe sio mchaga ni dharau ,[emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]Usiniletee dharau,kwa hiyo mimi ni Mkara?
Hatushindi kwasababu gani? Kwasababu mtajitangazia matokeo mnayotaka sivyo? Huo ndo mnauita ushindi? Kama mnapendwa sana mnawazuiaje wengine wasiongee?Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Mushi Masawe si mchaga , uko Geita unajifanya uko Kilimanjaro ! unatia aibu .Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Hata hapa dar hawana chao, wakimbilie labda kwa joseph haule, mbunge pekee atayebaki kwa asilimia kubwHuu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa arudi kupiga mziki.
Magufuli ndio rais mchapakazi tulikuwa na miaka karibu 25 hatujaona treni leo kuna treni inakuja moshi.
Jana nilikuwa natoka kimara nakuja Moshi daraja la wami linakaribia kukamilika nani awachague nyie tena? Mbowe anajinufaisha na mke wake na watoto wake tu.
Hata huku kilimanjaro tumewachoka hatuwataki tena.