Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kwani wakipokea wewe utajua popote?Hakuna popote wanapopokea ruzuku, fuatilia ujue sio unahisi. Msimamo huu wa kutopokea ruzuku kwa uchaguzi ule wa kihayawani umeifanya tuendelee kuiheshimu CDM.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wakipokea wewe utajua popote?Hakuna popote wanapopokea ruzuku, fuatilia ujue sio unahisi. Msimamo huu wa kutopokea ruzuku kwa uchaguzi ule wa kihayawani umeifanya tuendelee kuiheshimu CDM.
AnajialikaNaibu katibu mkuu wa Chadema mh Benson Kigaila amesema chama chake hakitapeleka NEC majina ya Wabunge 19 wa viti maalumu kwa sababu hawautambui uchaguzi mkuu wa 2020
Source: ITV
Sasa Mbowe huwa anaalikwa na nani Ikulu?
Ndiyo maana serikali imeustukia huo mchezo, mbowe keshaaibikaNaibu katibu mkuu wa Chadema mh Benson Kigaila amesema chama chake hakitapeleka NEC majina ya Wabunge 19 wa viti maalumu kwa sababu hawautambui uchaguzi mkuu wa 2020
Source: ITV
Sasa Mbowe huwa anaalikwa na nani Ikulu?
Mama yako ndio huwa anazipokea? Labda tujue hapo kwanzaKwani wakipokea wewe utajua popote?
Chakula ya mwenyekigoda!?Joyce Mukya akose ubunge? Lazima tu atachomekwa chomekwa
Hivi wakati Magufuli na CCM kwa ujumla wanakusanya viti vyote hili takwa walikuwa wamelisahau?..Strange indeed.....kila mtu ashinde mechi zake.....-CHADEMA au Mwenyekiti wa CHADEMA Hana msimamo,alipotoka gerezani alialikwa Ikulu kuonana na Raisi SSH,na alipotoka alionyesha ishara ya maridhiano na kuitambua Serikali ya awamu ya sita , -Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bwana Tundu Lissu,naye alionyesha ishara ya maridhiano na kuitambua Serikali ya Awamu ya sita, wakati alipofanya mazungumzo na Raisi SSH ubelgiji,na kuomba arejeshewe hati zake za kusafiria na kuahidi kutoa ushirikiano na Serikali ya Awamu ya sita.
-kwa maana tunajenga nyumba moja kwa nini tugombee fito.
-Ni ukweli usiopingika kuwa,aliyevuguruga uchaguzi 2020 hayupo tena na kikosi chake Cha Mataga kimesambaratika.
-Serikali ya Awamu ya sita imejipambanua,kuwa itaendeleza mazuri ya awamu zilizopita na itaachana na mabaya yote ya watungulizi wake.
-Kwa mfano Mama ameamua kuwarejeshea faini ambayo walitozwa viongozi wa CHADEMA kwa kesi gushi.
-Ni busara,CHADEMA wakubali kupeleka majina ya wabunge wengine mbadala kama imeamua kuwaondoa wale ambao walijichagua wenyewe,ili kukidhi takwa la kuwa na kambi rasmi ya upinzani bungeni.
-Kama CHADEMA, wataendelea na msimamo wake wa kutotambua Serikali ya Awamu ya tano, ambayo haipo,sioni uwezekano wa Covid-19 kuondolewa bungeni,
-Covid -19 wataendelea kuwa wabunge mpaka 2025, Mahakama Kuu haitatoa hukumu mapema (Delaying tactics) abadani.
- CHADEMA,ni vema watambue kuwa kwenye siasa hakuna adui au rafiki wa kudumu,kibaraka/mamluki wa leo kesho anaweza kuwa comrade.
Rais akishaaposhwa basi hata kama alipindua nchi huna jinsi kwenda nae. Ipo hivyo hata Museveni mwanzo aliupata urais kwa mapinduzi ya kijeshi na alitambulika hata kwa wapinzani wakeNaibu katibu mkuu wa Chadema mh Benson Kigaila amesema chama chake hakitapeleka NEC majina ya Wabunge 19 wa viti maalumu kwa sababu hawautambui uchaguzi mkuu wa 2020
Source: ITV
Sasa Mbowe huwa anaalikwa na nani Ikulu?
Hivi yule wa Jimbo la Nkasi hakwenda bungeni?Naibu katibu mkuu wa Chadema...
[emoji1787][emoji1787]Kwani wakipokea wewe utajua popote?
Weka ushahidi kabla hujadhalilikaMbona ruzuku wanapokea?
Si kweli,ebu tudhibitishie hizo porojo za kijiweni.Mbona ruzuku wanapokea?