Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Ndoto ya hovyo, yaani Kuna watu mnawaza huyu mpayukaji atakuja kuwa rais wa nchi?Kwani maandamano yanazuia msiba???? Kuna mtu kakwambia uache kuomboleza uende kumpokea Lissu????
CCM Embu acheni kujidhalilisha humu. Mbona mnamuogopa sana raisi Mtarajiwa??? Maisha yenu yataendelea tu kuwepo hata baada ya Lissu kuapishwa kuwa Raisi hapo November 2020.
Tulieni jamani CCM.
Lissu sio mpayukaji, Lissu ni mjenga hoja namba moja Tanzania, Lissu ni mzalendo namba moja Tanzania. Lissu ni mtu aliyeokolewa na Mungu kwenye risasi 38 kwa ajili ya Tanzania. Na mwisho Lissu ni raisi wako wa Jamhuri ya Muungano Tanzania kuanzia hapo October mwaka huuNdoto ya hovyo, yaani Kuna watu mnawaza huyu mpayukaji atakuja kuwa rais wa nchi?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Mhe. Benjamin Mkapa.
Na Mungu wetu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Amina.
Tutavaa nguo nyeusi banaKama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Mhe. Benjamin Mkapa.
Na Mungu wetu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Amina.
Majonzi unayo wewe na familia yako sisi malofa tuna yetu muhimu kuliko hayo yenuKama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Mhe. Benjamin Mkapa.
Na Mungu wetu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Amina.
Wacha mkwala mavi wewe kibwengoKwanza Lissu ni nani kwenye hii nchi?.acha wajaribu kupeleka pua zao pale wapate moto wa kurasini.
Yan awa vibaraka wa chama wanaxhida hawa[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]Umemweleza ukweli. Hapa nilipo kuna msiba mahali fulani. Lakini nitakwenda nikimaliza majukumu yangu. Mbona kuoangiana ratiba?
Mkapa alikaa kimya siku zote kwa mambo asiyoyajua. Wastaafu wangapi waliongea?Mkapa kama kongozi mstaafu alikaa kimya hata pale TL aliposhambuliwa
Mkapa siyo kiongozi wa Taifa, alikuwa ! na atapewa heshima hizo kama ilivyo
Katika nchi huru watu hutenda kwa uhuru wakiongozwa na busara zao.
Hakuna sheria inayoongoza nini watu wafanye katika maisha yao ilimradi hawakiuki sheria za nchi
Ahairishe safari asubiri kwanza tuzike[emoji3][emoji3]ingawa hii imetokea kama bahati mbaya,ila kiukweli lissu ana bahati mbaya.
hiyo jtatu tunaiingiza kwenye siku za maombolezo kitaifa,jifanye unawashwa nyanyua kongoro zako nyumbani kwenu[emoji38][emoji38][emoji38].
Ulishawahi kuona wapi Dunia nzima Kuna Rais mlemavu?Kwani maandamano yanazuia msiba???? Kuna mtu kakwambia uache kuomboleza uende kumpokea Lissu????
CCM Embu acheni kujidhalilisha humu. Mbona mnamuogopa sana raisi Mtarajiwa??? Maisha yenu yataendelea tu kuwepo hata baada ya Lissu kuapishwa kuwa Raisi hapo November 2020.
Tulieni jamani CCM.
Tena hapa unaleta hoja nyingine . Hawa viongozi wakishastaafu wanavua joho la uongozi kitaifa na kuwa makada wa vyama vyao. Ni Mwalimu Nyerere peke yake alibaki kuwa 'statesman'' akizungumzia mambo ya kitaifa na kimataifa bila kuingiza uchama.Mkapa alikaa kimya siku zote kwa mambo asiyoyajua. Wastaafu wangapi waliongea?
Mlitaka asemaje wakati wapo wanaoamini TL aliliwa shaba na watu wake?
Nyie andamaneni tu kama mnataka kumfuata huko aliko. Wanakulitafuta Wanakulipata. Msije kulialia tu badaaye.
Sidhani kama wamezuia shughuli za makada wa vyama vingine, ili mradi wafuate sheria na kuwa na kibali cha mikusanyiko mikubwa.Tena hapa unaleta hoja nyingine . Hawa viongozi wakishastaafu wanavua joho la uongozi kitaifa na kuwa makada wa vyama vyao. Ni Mwalimu Nyerere peke yake alibaki kuwa 'statesman'' akizungumzia mambo ya kitaifa na kimataifa bila kuingiza uchama.
Waliofuata hakuna hata mmoja anayezungumza kama kiongozi mstaafu, wote huzungumza kama makada wa CCM
Juzi ulimsikia Mwinyi akisisitiza katiba ibadilishwe, si kusisitiza kuhusu Tume huru ya uchaguzi.
Mkapa alizungumzia Tume huru akiwa 'amejificha' nyuma ya kitabu chake, ingawa alijua ni suala la Kitaifa
Hakuwahi kutokan na kuzungumza kama mstaafu kuhusu umuhimu wa katiba
Akaongelea usia wa Nyerere kuhusu dini na ukabila kupitia kitabu chake, si kama Rais mstaafu
Kikwete ni kama waliomtangulia, naye haongei kwasababu kuna 'maslahi' ya chama hasa Wabunge wa Familia yake
Mimi sioni sababu ya viongozi wastaafu kupewa hadhi za kitaifa , pengine CCM ingewapa hadhi za kichama
Wanapomaliza muda wao , na ni ukweli usiopingika hawana msaada kwa taifa bali kwa CCM
Ni kwa mantiki hiyo sioni sababu za kuzuia wanachama wengine wasiendelee na shughuli zinazohusu makada wao
CCM wanaweza kuendelea na shughuli zao kama ilivyo ACT na Chadema. Sioni tatizo lolote katika hilo
huyu mkapa alituita malofaKama kichwa kinavyojieleza hatutaki kuona maandamano yenu Jumatatu kwa kumpokea mtu wenu huyo tuko katika majonzi makubwa kwa kuondokewa na Rais wetu mstaafu marehemu Mhe. Benjamin Mkapa.
Na Mungu wetu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Amina.
Hivi katika nchi huru kwanini watu wahitaji kibali cha kwenda kupokea wageni wao?Sidhani kama wamezuia shughuli za makada wa vyama vingine, ili mradi wafuate sheria na kuwa na kibali cha mikusanyiko mikubwa.
Nchi gani huru iayfanya maandamano bila kibali?Hivi katika nchi huru kwanini watu wahitaji kibali cha kwenda kupokea wageni wao?
Yaani kama ndugu yangu anatoka 'majuu'' na ukoo mzima tukaenda airport, kweli tunahitaji kibali
Mbona watu hawaombi vibali vya send off au harusi. Mbona watu hawaombi vibali vya mazishi
Hivi nani kutoka Familia ya Mkapa ameomba kibali cha watu kukusanyika siku 3
Haya mambo ya kibali yanalenga kuzuia watu wasiende kwa Tundu Lissu, na jeshi la Polisi litatumika kama kawaida
Tunachosema hapa ni kuwa Mkapa alikuwa Rais Mstaafu! period.
Baada ya hapo ni kada wa CCM na ni hao CCM wanashaughuli za kumuenzi kada wao.
Hili ni kwasababu moja, marais wastaafu wote wame prove hawana msaada tena kwa Taifa bali kwa CCM
Kwavile wameacha kazi yao ya asili ya '' Rais wa wote'' na statesmen hatuna sababu za kuwaenzi sisi tusio na vyama wala tusioendekeza siasa. Tunajua wastaafu wakitoka Ikulu si viongozi tena ni makada wa CCM
Waacheni watu wawe huru kufanya chochote bila kuvunja sheria, vibali ni upuuzi tu na hilo haliwezi kubadili nyoyo za watu. Kinachotakiwa ni kuzishinda nyoyo za watu si mizengwe.