CHADEMA hawana ushawishi kwa Watanzania kuchukua Dola, ni ndoto na kujidanganya

CHADEMA hawana ushawishi kwa Watanzania kuchukua Dola, ni ndoto na kujidanganya

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria Chadema wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo Chadema wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Hivi nyie mnajielewa kweli?
USIYAPIME MAJI YANAYOCHEMKA kwa ULIMI unadhani kwanini MUNGU wenu MAGUFULI alivuruga Chaguzi za 2019 na 2020? Aliogopa NINI?
Unadhani kwanini Suala la KATIBA MPYA na TUME HURU ni Mambo ambayo CCM haitaki kuyasikia?
NI mwehu tu ndio anaweza kuwa na MAWAZO kama Yako

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
USIYAPIME MAJI YANAYOCHEMKA kwa ULIMI unadhani kwanini MUNGU wenu MAGUFULI alivuruga Chaguzi za 2019 na 2020? Aliogopa NINI?
Unadhani kwanini Suala la KATIBA MPYA na TUME HURU ni Mambo ambayo CCM haitaki kuyasikia?
NI mwehu tu ndio anaweza kuwa na MAWAZO kama Yako

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Mkuu rudi shule kwanza jifunze kuandika Bavicha hadi mnatia huruma.
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria Chadema wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo Chadema wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa Chadema hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya Chadema katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
Kama Samia ameweza kuwa rais basi hata mbwa ataweza.
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria Chadema wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo Chadema wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa Chadema hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya Chadema katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
Mtu unaongea Kama umetoka usingizini! Ukitaka kujua Nani mwenye ushawishi, waambie CCM uchaguzi huru na wa haki ufanyike ili sanduku la kura litoe matokeo. Kwa sasa sanduku la kura la CCM ni TISS na Polisi, bila hao, CCM mapema tu asubuhi hawapo.
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria Chadema wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo Chadema wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa Chadema hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya Chadema katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
Mkuu kwani huwezi kuandika uzi kuhusu ccm ili tuchangie ?
 
Una washwa washwa Sana kukaa bila kuisema chademaeeee, arafu unasema eti wanachadema hawajielewi! Mbona humsemi mama yako mtu mzma tunamparangisha kwa mparange kule maeneo ya kunduchi humsemi? Weee leta hoja bila bila kuvunjia watu heshma pimbi weee
 
Ni mtu Mwenye ufinyu na uduni wa mawazo Kama Wewe NDIYE pekee anayeweza kusema kwamba CHADEMA hawana uwezo wa kuichukuwa na kuiongoza Dola.Hebu fanyeni uchaguzi ulio huru na haki bila ya kusaidiwa na police na vyombo vya ulinzi na usalama ndio utajua CHADEMA wanaweza au hawawezi.
 
Ni mtu Mwenye ufinyu na uduni wa mawazo Kama Wewe NDIYE pekee anayeweza kusema kwamba CHADEMA hawana uwezo wa kuichukuwa na kuiongoza Dola.Hebu fanyeni uchaguzi ulio huru na haki bila ya kusaidiwa na police na vyombo vya ulinzi na usalama ndio utajua CHADEMA wanaweza au hawawezi.

mbona unakasirika??
mi siipendi ccm ila chadema hamna kitu kwa sasa labda zamani!!
mwandishi yuko sahihi
 
Kama Samia ameweza kuwa rais basi hata mbwa ataweza.
Hv watu wengine mkoje lakin, ???akili zenu zinakuwa nyuma Kama nyuki na mbu, mnatumia makalio yenu kushambulia watu bila kutumia vichwa vyenu, Hivi kweli kabisaaa mjadala ni chadema, Sasa hapa Raisi Samia Kaingiaje? Na ata km bas si Rais, unawezaje bas kumfananisha na mbwa mtu ambae umri wake km Mama yako mzazi! . Tumieni akili za kichwa siyo za makalio kushambulia watu KUNGURU weee!
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria Chadema wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo Chadema wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa Chadema hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya Chadema katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
CC Erythrocyte
 
Back
Top Bottom