macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ayatolah Zitto na maalim Mohamed wacheni udini.Sasa wewe ungekuwa na mtu makini ungekuwa mateka wa Mbowe elimu yake kidato cha nne tena DJ akili za Bavicha bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayatolah Zitto na maalim Mohamed wacheni udini.Sasa wewe ungekuwa na mtu makini ungekuwa mateka wa Mbowe elimu yake kidato cha nne tena DJ akili za Bavicha bana.
Ni lazima tuambiane Ukweriii.Ni kweli. Mimi huwa nasema kuanzia kwa Kikwete mpaka sasa wote kwangu ni marais wa chiniya viwango. Hawakupaswa kuwa marais!
CCM ya sasa inataka Kanda ya Ziwa na Mbeya zipewe uhuru kwa kiwango cha Zanzibar. Hayo yamesemwa leo na Kijakazi mwanaccm kindakindaki.Wanaukumbi.
Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.
Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.
CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.
Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.
Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.
Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah
Hivi nyie mnajielewa kweli?
Ayatolah Zitto na maaalim Mohamed mnaongozwa na chuki. Ndiyo maana mlipigwa na laana mkajichanyanga mkaumbuka na hii ID yenu.Ni lazima tuambiane Ukweriii.
Acheni siasa za Ulaghai, yaaani mnashinda kwenye mitandao kuwatukana CCM usiku mnakesha kuomba vikao Ikulu mkale Biryani na Chai ☕️😁
👆👉🏽mtu akikwambia ni mwanachama au mfuasi wa CHADEMA mwambie akatafute Daktari wa magonjwa ya akili. Sio mzima
Wewe ni kibaraka tangu zamani. Unajulikana na hakuna jipya!CHADEMA wakiwa kwenye mitandao wanatuambia CCM ni watu watekaji, wauaji, wakandamiza haki, madhalimu.
• wakati huo mwenyekiti wao anakesha kuomba vikao vya Siri na CCM/Ikulu.
Ukiona chama cha siasa kutwa kucha kinalalamika kwamba Utawala uliopo madarakani ni madhalimu na wanafanyiwa dhulma alafu Mlango wa nyuma chama hicho kinakesha kuomba vikao Ikulu kiogope kama ukoma.Wewe ni kibaraka tangu zamani. Unajulikana na hakuna jipya!
Nashangaa unashambulia Chadema wakati unafnya majadiliano na mtu ambaye hana uhusiano wowote na hicho Chama. Chuki yako kwa wakristo na Chadema inakufanya mpaka unapofuka macho na kukosa hoja kabisa. Wewe hoja kwako ni kuitukana Chadema na Mbowe! Endelea lakini hata Chadema ikifutika leo hii haimaanishi kuwa Zitto na ''ACT vibaraka'' mtakubalika! Najua kuwa huambiwa wala husikii baada ya muislam mwenzako kushika madaraka na kufanya udondokewe na makombo sasa hivi lakini mambo yatakavyobadilika utashangaa na utaishia pabaya sana!Ukiona chama cha siasa kutwa kucha kinalalamika kwamba Utawala uliopo madarakani ni madhalimu na wanafanyiwa dhulma alafu Mlango wa nyuma chama hicho kinakesha kuomba vikao Ikulu kiogope kama ukoma.
CHADEMA ni CCM ‘B’, mfalme wao anaendesha kipindi drama nyingi kwenye mitandao.
Dawa yako inachemka Kanda ya Ziwa! Enzi za Magu ulijificha na ID ukatelekeza.Ni lazima tuambiane Ukweriii.
Acheni siasa za Ulaghai, yaaani mnashinda kwenye mitandao kuwatukana CCM usiku mnakesha kuomba vikao Ikulu mkale Biryani na Chai ☕️😁
👆👉🏽mtu akikwambia ni mwanachama au mfuasi wa CHADEMA mwambie akatafute Daktari wa magonjwa ya akili. Sio mzima
Usitafute pakukimbilia mimi sijataja dini ya mtu naomba ujibu swali.Nashangaa unashambulia Chadema wakati unafnya majadiliano na mtu ambaye hana uhusiano wowote na hicho Chama. Chuki yako kwa wakristo na Chadema inakufanya mpaka unapofuka macho na kukosa hoja kabisa. Wewe hoja kwako ni kuitukana Chadema na Mbowe! Endelea lakini hata Chadema ikifutika leo hii haimaanishi kuwa Zitto na ''ACT vibaraka'' mtakubalika! Najua kuwa huambiwa wala husikii baada ya muislam mwenzako kushika madaraka na kufanya udondokewe na makombo sasa hivi lakini mambo yatakavyobadilika utashangaa na utaishia pabaya sana!
Nani kasema umetaja dini? Kwani watu wadini huwa wanasema hata siku moja kuwa wana chuki na dini nyingine? Hawa watu hujulikana kwa matendo yao kama wewe unavyojulikana. Mnafki mkubwa na kibaraka. Chuki zako zote zimejikita kwenye dini na si kingine.Usitafute pakukimbilia mimi sijataja dini ya mtu naomba ujibu swali.
Kati ya vyama vya siasa ni vyama vipi vina wenyeviti waliodumu kwenye nyadhifa hizo kwa zaidi ya miaka 5, 10, 15 au 20?
Kwani kila mtu ni mwandishi wa habari kama wewe? Maana kila mtu kwako, hajui kuandikaMkuu rudi shule kwanza jifunze kuandika Bavicha hadi mnatia huruma.
Hii ndio ID yao...?Ayatolah Zitto na maaalim Mohamed mnaongozwa na chuki. Ndiyo maana mlipigwa na laana mkajichanyanga mkaumbuka na hii ID yenu.