Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Woga wenu CCM upo wazi kabisa.Wanaukumbi.
Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria Chadema wana uwezo wa kuongoza taifa.
Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.
CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.
Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo Chadema wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.
Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.
Hawa wafuasi wa Chadema hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya Chadema katiba mpya daaah
Hivi nyie mnajielewa kweli?
Vijana wa Mbowe hawana kazi. Muda wote wanazurula kwa pesa za kuomba omba.Mkuu kwani huwezi kuandika uzi kuhusu ccm ili tuchangie ?
Swali la muda tu. Muda ukifika tsunami ya mabadiliko itawatosa bahari ya hindi na hatimaye nchi kuwa mikononi mwa watanzania.Wanaukumbi.
Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.
Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.
CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.
Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.
Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.
Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah
Hivi nyie mnajielewa kweli?
Admins Invisible Maxence Melo hebu futeni hii comment. Haina ustaarabuKama Samia ameweza kuwa rais basi hata mbwa ataweza.
TISS,walimu,watumishi ,polisi wote hao ni raia kama wewe wana haki ya kupiga kuraHawana ushawishi?Sasa,polisi,TISS na watumishi hasa walimu huwa kwa nini wanatumika kufanya wizi wa kura kwenye chaguzi?Umeandika kama unatumia mabega.
Chadema hakikubaliki popote sikuizi kitu pekee wanachotegemea chadema ni kula ya chuki ikiwa mama sa100 atagombea 2025 au ccm kuchagua mtu anayempinga JPM NA NYERERE kugombea hivyo watz watapiga kula ya chuki kwa kuchagua mpinzani yoyote hata kama awamtaki ,chadema isije kuomba kikaundwa chama cha kweli chenye kubeba legacy ya JPM NA NYERERE hilo likitokea chadema awatapata hata mbunge mmoja na wakimpata itakuwa bahati kubwa sanaWanaukumbi.
Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.
Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.
CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.
Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.
Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.
Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah
Hivi nyie mnajielewa kweli?
Tatizo lenu chadema mnajidandanya kwa kupingana na ukweliJinga hilo jamaa
Kama Samia ameweza kuwa rais basi hata mbwa ataweza.
Heri ya Samia,lakini si kwa Jiwe. Kama magufuli aliweza kuwa Rais basi hata mchepuko wangu wa huko Buza kwa Mpalange unaweza kuwa Rais mzuri kuliko Kayafa.Kama Samia ameweza kuwa rais basi hata mbwa ataweza.
Jamaa katoa nondo kamili wewe mbuzi unasema ifutweAdmins Invisible Maxence Melo hebu futeni hii comment. Haina ustaarabu
Ni kweli. Mimi huwa nasema kuanzia kwa Kikwete mpaka sasa wote kwangu ni marais wa chiniya viwango. Hawakupaswa kuwa marais!Heri ya Samia,lakini si kwa Jiwe. Kama magufuli aliweza kuwa Rais basi hata mchepuko wangu wa huko Buza kwa Mpalange unaweza kuwa Rais mzuri kuliko Kayafa.
Kumbe ndiyo maana Mbowe kwa miaka 22 mwenyekiti CHADEMA.Ni kweli. Mimi huwa nasema kuanzia kwa Kikwete mpaka sasa wote kwangu ni marais wa chiniya viwango. Hawakupaswa kuwa marais!
Wee Zitto na Maalim Mohamed mna udini sana.Kumbe ndiyo maana Mbowe kwa miaka 22 mwenyekiti CHADEMA.
- Chama kina wanachama na wafuasi wapumbavu hadi inatia huruma yaaani. 🤒