CHADEMA hawana ushawishi kwa Watanzania kuchukua Dola, ni ndoto na kujidanganya

CHADEMA hawana ushawishi kwa Watanzania kuchukua Dola, ni ndoto na kujidanganya

Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
Uwanja uliochezewa mpira jana unaitwa...
Viongozi wa CDM hawakuwa wakifanya siasa mpirani,walikuwa ni watazamaji waliolipia kiingilio kama wengine.
Je,Rais anapokwenda mpirani huwa ni siasa?
Wana CDM waliokwenda uwanjani walivaa sare za Katiba Mpya,hiyo ndiyo siasa inayoogopewa na CCM!
 
Hv watu wengine mkoje lakin, ???akili zenu zinakuwa nyuma Kama nyuki na mbu, mnatumia makalio yenu kushambulia watu bila kutumia vichwa vyenu, Hivi kweli kabisaaa mjadala ni chadema, Sasa hapa Raisi Samia Kaingiaje? Na ata km bas si Rais, unawezaje bas kumfananisha na mbwa mtu ambae umri wake km Mama yako mzazi! . Tumieni akili za kichwa siyo za makalio kushambulia watu KUNGURU weee!
Kama za Uvccm waliosema ENL alipupu kwa nguo kule chattle?Hivi Kunguru na Mbwa ni yupi mwenye ahueni vile?
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
Kweli kabisaaaaa.Umenena kweli tupu
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?

Haya uliyoandika ndio matamanio ya kila mwanaccm.
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
Sema chadema hawana vitisho vya kuiba kura
 
Genge la magaidi nani alipe nchi??. Hako ka saccos kao tu, mbilinge tupu humo ndani.
 
Mi haitokuja kutokea kupiga kura chadema wana ukabila mno chama cha watu fulani bora ccm wanajielewa
 
Kwenye siasa hilo linawezekana.
kupenda CHADEMA ni sawasawana kupenda mkia wa simba kabla ya kuona kichwa chake. uchaguzi ulio[pita walikuja tuanguasha mwishoni kwa maudhi makali sana.
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
2025 CDM wanachukua usukani na kwa miaka mi5 tu nchi itakuwa mbali kimaendeleo utayaonana na kuyafurahia mwenyewe.
 
2025 CDM wanachukua usukani na kwa miaka mi5 tu nchi itakuwa mbali kimaendeleo utayaonana na kuyafurahia mwenyewe.
Miaka 22 mmeshidwa kujenga ofisi ya Chama mkipewa nchi si mtaigawana.
 
Miaka 22 mmeshidwa kujenga ofisi ya Chama mkipewa nchi si mtaigawana.
Usingalie kariba kama wenye uoni hafifu ione Tanzania mpya Chini ya CDM, kila siku chini ya sisiemu hali ya maisha ya mtz inakuwa ngumu kuliko jana.
 
Wanaukumbi.

Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kufikiria CHADEMA wana uwezo wa kuongoza taifa.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo na Tarime, unaona tofati iliyopo CHADEMA wamekuwa watu wa kurukia matukio kila siku kukicha hawana dira hawajui Watanzania wanataka nini.

Chama kina mbunge moja wa kuchaguliwa kinapata wapi nguvu ya kujiita chama kikuu cha upinzani.

Sheria za FIFA zinakataza harakati au siasa kwenye viwanja vya mpira.

Hawa wafuasi wa CHADEMA hawana ufahamu wowote wao kila sehemu na matisheti ya CHADEMA katiba mpya daaah

Hivi nyie mnajielewa kweli?
Ni mtu mwenye mawazo finyu na upeo mdogo pekee anaweza kutumia muda wake kutwa kucha kukinanga chama ambacho hakina nguvu wala ushawishi kwenye jamii

Ni mtu asiyejielewa tu ndiye anayeweza kuzungumzia kitu ambacho hakijulikani ndani ya nchi zaidi ya kujulikana mkoa mmoja tu

Ni mtu mwenye uwezo mdogo kiakili ndiye anayeweza kuzungumzia chama ambacho hakijawahi kuwa na wabunge wa maeneo mengine tofauti na huko machame moshi na Himo
 
Hv watu wengine mkoje lakin, ???akili zenu zinakuwa nyuma Kama nyuki na mbu, mnatumia makalio yenu kushambulia watu bila kutumia vichwa vyenu, Hivi kweli kabisaaa mjadala ni chadema, Sasa hapa Raisi Samia Kaingiaje? Na ata km bas si Rais, unawezaje bas kumfananisha na mbwa mtu ambae umri wake km Mama yako mzazi! . Tumieni akili za kichwa siyo za makalio kushambulia watu KUNGURU weee!
Naona kisu kimegusa kunako mfupa [emoji23]
 
Vijana wa Mbowe hawana kazi. Muda wote wanazurula kwa pesa za kuomba omba.

Wameshafanya siasa ni ajira. Wanna Wana njaa
Hivi polepole amewahi kulima hata robo heka ya tango au tikiti maji
 
Chadema hakikubaliki popote sikuizi kitu pekee wanachotegemea chadema ni kula ya chuki ikiwa mama sa100 atagombea 2025 au ccm kuchagua mtu anayempinga JPM NA NYERERE kugombea hivyo watz watapiga kula ya chuki kwa kuchagua mpinzani yoyote hata kama awamtaki ,chadema isije kuomba kikaundwa chama cha kweli chenye kubeba legacy ya JPM NA NYERERE hilo likitokea chadema awatapata hata mbunge mmoja na wakimpata itakuwa bahati kubwa sana
Hii ni kwa mujibu wa wafuasi wa marehemu
 
Chama kinachomiliki wanachama wa aina yako wasioheshimu Maelekezo ya Viongozi wake kitawezaje kushika dola ?

Mnasingizia sijui Katiba mpya sijui vyombo vya dola kwani huko walipoangusha vyama tawala hapakuwa na hayo yanayowakwamisha nyie ?
Yeye ni mwanachama kwa kadi namba ngapi?? Mbona kna wanaccm wenzako ni watukanaji wazuri tu huku au mkuki kwa nguruwe
 
Back
Top Bottom