4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
KATIBA NA MIKUTANO YA VYAMA NI HARAKA, HAKUNA WA KUZUIA LABDA MUNGU TU, KATIBA INAKUJA NA VYAMA VITAFANYA MIKUTANO MMEZIDI SANA CCMKwa kweli wamenifikirisha hawa ndugu zangu si kwa haraka hii walonayo huku wakitishia uvunjifu wa amani.
Wananchi tuna majeraha kutokana na utawala wa kiimla tulokuwa tukiuelekea...wao wangeanzia chini wangekuja na sera mbadala za kuwapa matumaini watu. wangewaelewesha wananchi sheria zote kandamizi zilizopelekea majeraha haya...hapo wananchi wenyewe wangedai katiba, sio kukurupuka ndani ya miezi mitatu kuanza kudai katiba...hatuwaelewi
Nimekubaliana nawewe 100%Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe..
Huoni tatizo lilipo???
Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant
Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..
Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..
Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..
Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Reasoning yako mbovu sana, unatumia mahaba ya "mama" kufikiria badala ya logic, unasema Chadema iko outdated kisa Mbowe kukaa madarakani muda mrefu ila bado CCM inalazimisha ushindi mbele ya Chadema kwa kutumia kura feki za kwenye mabegi meusi, na msaada wa polisi na Tume ya uchaguzi, jifunze kutafakari kwa makini wacha kukurupuka kwa kuongozwa na mahaba wewe msukule wa mama, anyway hata mjinga nae ana confidence.Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe..
Huoni tatizo lilipo???
Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant
Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..
Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..
Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..
Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Chadema ni chama cha wanachama wake kama ilivyo kwa CCM. Sana za mtu ambae si mwanachama hazitawanyima usingizi.Chadema ni chama cha umma sio cha mwenyekiti. Mkikosea spana ziko pale pale.
Very rubbish indeed.Rubbish!
Ccm toka uhuru, nayo haina jipya,imekosa ushawishi.Sio Mbowe tu.Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe.
Huoni tatizo lilipo?
Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant
Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..
Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..
Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..
Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Jiunge na Chadema ugombee uenyekiti. Kama sio mwanachama masuala ya Mwenyenyekiti kuwepo toka enzi za Zinjanthropus hayakuhusu.Eti tija ya Taifa hebu badilisheni Mwenyekiti wa tokea enzi za Pontio Pilato.
Alipo baba,mama,bibi,babu na ndugu wako wote waliotangulia kule uendako na wewe!Huyo jiwe aliyeikomoa chadema yuko wapi kwanza?
Tuanzie hapo
Jiunge tu na chama pendwa kama siasa za kizamani za Chadema hauzipendi. Wako wanaozipenda na wataendelea kukipigia kura.Tokea nizaliwe sijawahi kusapoti CCM na Kura miaka yote nawapigia chadema Ila Kwa kitendo chao cha kishamba eti tuingie barabaran kudai katiba mpya ni UJINGA mtupu!
mbinu za kizamani Sana hizi za kuhamasisha Fujo angalia maneno ya mdude juzi hayana hata adabu ameshindwa kukumbuka kuwa raisi Samia kamtoa jela(shukrani ya punda kabisa hii).
sijawahi kuponda chama changu hata siku moja Ila Kwa hili tukio la mbowe nimeanza kuwachoka wapinzani na nahisi huu ndiyo mwanzo wangu wa kukataa mambo ya vyama
Yananihusu sana kwasababu nyie mnapokea ruzuku ya serikali ambayo mimi ni mlipa kodi wake.Jiunge na Chadema ugombee uenyekiti. Kama sio mwanachama masuala ya Mwenyenyekiti kuwepo toka enzi za Zinjanthropus hayakuhusu.
Amandla...
Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe.
Huoni tatizo lilipo?
Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant
Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..
Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..
Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..
Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Mtu akicheza ngoma tofauti nenda nae hivyo hivyo!Tulumbane kwa HOJA ila tusitishane
Kuelewa chadema wanataka nini ni kazi sana kama kuelewa kiuno cha nyoka kiko wapi ukivishe shanga.
Chadema wanalaumiwa kwa. Kufuata katiba ya nchi dah..
Malisa ni Mzee yule ujana unaishia miaka 35 tu acheni ujinga hafu 2025 hamtapata hata hao wabunge wa viti maalumu yaani mtaambulia kapa kabisa
Kabla hajagombea amuombe ushauri ZittoJiunge na Chadema ugombee uenyekiti. Kama sio mwanachama masuala ya Mwenyenyekiti kuwepo toka enzi za Zinjanthropus hayakuhusu.
Amandla...
Ruzuku ipi wanayopokea?Yananihusu sana kwasababu nyie mnapokea ruzuku ya serikali ambayo mimi ni mlipa kodi wake.
Kufananisha madai katiba na mke sijui mimba ni insanity think big, Mwendazake alitumia udhaifu wa katiba tulionayo kutaka kutaka kuuwa upinzani nchini, kutesa watu na kuuwa, sasa wenye akili lazima wadeal na katiba kwanza.Amani iwe nanyi nyote..
Naomba niwakumbushe udugu wangu chadema, awamu ya nne mlipiga sana kelele kuwa kuna ufisadi, nchi haikuwa na Rais tunahitaji Rais Dikteta...naomba niseme ukweli niliungana na CHADEMA, na katika uchaguzi niliisaidia kweli kweli kwa mapenzi ya kutoka moyoni
Mungu si Athumani tukaletewa jiwe, mwamba kweli kweli, ghafla tukashuhudia hakuna uhuru wa habari! utekaji kila kona, watumishi wakapauka na nataka niseme ukweli kura nilimpa Lissu na nilimpambania hadi kwa ndugu zangu.
Ila Mungu si mzee Hassan katikati ya giza katuletea mama, msikivu ndani ya miezi mitatu nyoyo zimetua, matumaini yamefufuka.
Mama msema kweli katwambia uchumi wetu umeyumba tupige kazi tuukuze, leo mnataka kuleta ngebe, ndani ya miezi mitatu mnataka katiba, hii ni sawa na kuoa mke kisha ndani ya mwezi unamdai mtoto hata mimba huchukua miezi 9 kuzaliwa.
Hayo mnayoyafanya ndo yalisababisha tuletewe jiwe, safari hii hatukubali, tutaenda taratibu na mama.