CHADEMA haya mnayoyafanya ndio yalipelekea tukaletewa Hayati Magufuli

Wanachokitafuta watakipata hawa umbwa...wasio na shukrani[emoji3525]
 
Chadema wanakera..pia wanapaswa kujua tabia za watanzania...wao wanatumia mbinu zilezileee...binafsi namuona mama samia the best president ever...hata hio katiba naamini iko akilini mwake...lakin kwa style ya kipuuzi ya kina mbowe wataonekana wapuuzi tu
 
Kabla hajagombea amuombe ushauri Zitto
Ni haki yake kufanya hivyo. Anaweza kuwaomba ushari wakina Cecil Mwambe. Na kabla hajahama CCM aombe ushauri wale wote waliowahi kugombea uenyekiti dhidi ya incumbent Mwenyekiti wa taifa.

Amandla...
 
Wananchi wepi? Pia naomba ujue...ni kosa kubwa sana agenda ya katiba kubebwa na chama cha siasa...hapo tu panatosha kuwa point of failure
 
Tatizo la hawa jamaa hawasikilizi...mama samia ni msikivu sana
 
Ruzuku ipi wanayopokea?

Amandla...
Si ya wale wabunge 19, hivi inaingia akilini mama watoto wako anaenda kuapishwa we hujui?
Bora Bananga kakataa unafki kasema anasimama na mkewe kwanza nyie bavicha badae. Ila Mwenyekiti yeye anajizungusha zungusha tu.
 

Kwamba?

"Mama msema kweli katwambia uchumi wetu umeyumba tupige kazi tuukuze, leo mnataka kuleta ngebe, ndani ya miezi mitatu mnataka katiba, hii ni sawa na kuoa mke kisha ndani ya mwezi unamdai mtoto hata mimba huchukua miezi 9 kuzaliwa."

Unajua tofauti ya katiba mpya na mchakato wa kuipata?

Haya mambo mengine si ya kuambia wenye akili zao.
 
Mungu si Athumani tukaletewa jiwe, mwamba kweli kweli, ghafla tukashuhudia hakuna uhuru wa habari! utekaji kila kona, watumishi wakapauka na nataka niseme ukweli kura nilimpa Lissu na nilimpambania hadi kwa ndugu zangu.
😂😂😂
Umetisha Mamy K
Naungana na ww kuwa hatukubali.. Hatutaki kabisa jiwe lingine😊
 
Kwamba?

"Maza atafanya kama Rwanda, Uganda, China nk yaani ugomvi uwe kwenye siasa sio kwenye uchumi"

Huko kote wanauwa watu kikatili na kwa kuwahisi tu.

Mama kama hajawatuma kuja kumsemea kuwa ni mwuaji kuliko majambazi, tafadhali fungeni midomo yenu!
 
Malisa ni Mzee yule ujana unaishia miaka 35 tu acheni ujinga hafu 2025 hamtapata hata hao wabunge wa viti maalumu yaani mtaambulia kapa kabisa

Kwa definition ya Mama hata Mwinyi rais wa Zanzibar ni kijana.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Naomba rekebisha sio takwa la wananchi ni takwa la wanasiasa, wananchi tumempa muda mama, hitaji letu kwa sasa ni kuboreshewa uchumi wetu.
Mngekuwa na nia ya dhati mngetuorganize wananchi tuingie barabarani wakati ule mnaona Magufuli anavunja katiba lakini mlikimbilia dubei..,mlitukimbia. Leo tumepoa, tuna matumaini ndo mnaanza kelele, tena wakati ambao mama kutuomba tumpe muda atafute posho za kuwalipa wakati wa kuandaa hiyo katiba...hatuwaelewi
 
Walimuita JK dhaifu, JK akasema yeye walimsema mpole hivi sasa anawaletea mkali... JK aliyajua haya maupumbavu yao..

Magu kaja pamoja na mambo yake lakini aliukomesha huu utoto na wala hakuuendekeza kabisa...maana alijua akiwaendekeza watamtoa kwenye reli na hao hao watakuja kumkejeli kama walivyomkejeli JK hata alipojaribu kwenda nao sawa... CDM wamejaa utoto mwiiingi saana yani badooo saaana ukomavu kwenye siasa, sifuri kabisa...

Tabia za kitoto za CDM kama taifa tukiziendekeza tunaweza kuingia kwenye migogoro itakayotishia uhai wa Taifa na watu wake....kuna haja wazee wenye busara walioko huko CDM waliangalie hili kwa kuitisha vikao vya ndani na kuendesha mafunzo ya siasa kuwafundisha vijana siasa na kuwafundisha wajifunze kutenganisha siasa za vyama na dola..
 
Naunganmkono hoja. Chadrma ni kikundi cha wahuni. Yaan hata jiwe hajapasuka tumbo tayar nchi washaleta fujo.
Kwa kweli kwa hili tuko na mama.

Kwanza katiba si hitaji la wananchi ni hitaji la chadema washinde uchaguzi waende ikulu.

Hatukubali.

Extrovert umemsikia huyu naye alikuwa na mawazo kama yako. Hujatokea pia kutupa mrejesho kama unasimama na ardhi yako:



Cc: Mamy K
 

Sema si hitaji lako labda katiba iliyopo wewe ni mnufaika. Tusio wanufaika je?



 
Si ya wale wabunge 19, hivi inaingia akilini mama watoto wako anaenda kuapishwa we hujui?
Bora Bananga kakataa unafki kasema anasimama na mkewe kwanza nyie bavicha badae. Ila Mwenyekiti yeye anajizungusha zungusha tu.
Mmeambiwa mseme mmemlipa nani mmeshindwa. Mbowe amesema Mgwilu huwa anampigia simu akimuomba wakachukue rushwa ya ruzuka na anamkatalia. Waziri wa Fedha hakukanusha hili. Swali linabaki pale pale, nani analipwa hiyo mnayoita ruzuku ya Chadema?

Wabunge 19 wapi? Mwenyekiti msimamo wake kuhusu wakina Mdee uko wazi na yeye ndie aliyetamka kuwa wamefukuzwa. Bananga ana haki ya kuwa na msimamo wake ndio maana hajachukuliwa hatua yeyote. Na hata akiamua kumfuata mke wake kwenye chama chake kipya itakuwa sawa.

Naona inawauma kuona Chadema, Bawacha na Bavicha kuendelea bila kutetereka pamoja na kuwa baadhi ya viongozi wake kuteremkia njiani.

Lakini ni vyema umeweka wazi kuwa ile kujifanya ulikuwa unasapoti Chadema zilikuwa gelesha tu. Ukweli utakuweka huru.

Amandla...
 
You are right Mbowe ni msumbufu aliyepitwa na wakati kiuongozi hana substance mpya.
 
Extrovert umemsikia huyu naye alikuwa na mawazo kama yako. Hujatokea pia kutupa mrejesho kama unasimama na ardhi yako:

View attachment 1838638
View attachment 1838639
Cc: Mamy K
Wewe ndio mtu, kabla ya kuahidi kuingia barabarani mngekuja na sera ya kutoa elimu kwa wananchi kuhusu kanuni mbovu zilizo kwenye katiba iliyopo, wananchi wangedai katiba wenyewe hata kama Mwenyekiti angerudi dubei...ila sio kumpiga mikwara Rais wetu na kuchallenge amani yetu.
 
Mngefurahi sana kama Chadema wangekuwa kama TLP. Mtasubiri sana.

Amandla...
 
Wabadili kwanza katiba ya chama chao ambacho m/kiti ni kama yule wa jirani na Bukoba na makamu wake yupo kusiko julikana anapayuko payuka tu, Tupe raha mama nchi inaenda kuwa ya asali na maziwa waliopo nje ya nchi tunawaambia nyumbani kumenoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…