CHADEMA imetajirisha wengi huku Lisu akizidi kuwa maskini akipigania misingi ya chama

CHADEMA imetajirisha wengi huku Lisu akizidi kuwa maskini akipigania misingi ya chama

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
20,834
Reaction score
26,217
Wakuu....

Kati ya watu waliopata hasara pale CHADEMA Lisu anaongoza , Kwanza alihatarisha maisha yake kwa kupigania misingi ya Chama.

Kuna pesa chafu zinazoingia CHADEMA Ili kuwaziba mdomo watu kama kina Lisu lakini Lisu yeye pesa hizo hazitaki na hazijawahi kuingia mfukoni kwake, mwisho wa siku wale waliomzunguka wanatajirika kwa mgongo wa Lisu.

No way inatosha SASA! Lisu hatutaki aendelee tena kuwa Victim na mtaji wa watu wengine wajanja janja pale CHADEMA, either awe Mwenyekiti asimamie mambo na kusafisha Chama au ajitenge nao kabisa Kwa maana ni ngumu mtu kama Lisu kuendelea kuchangamana na wala rushwa au watu wenye hofu ya kukemea maovu
 
Ni hekima mbowe apumzike, pia apumzishe akili, kwani simu za machawa anazopigiwa kila jioni sio habari za kitoto, wengine hawajala, wengine mtoto anaumwa, lots of sms, wengine wanaomba mikopo kwenye hela ya chama, hakika mbowe pumzika, japo chawa wengi watakufa njaa uliwabeba mno, ni lazima walie kilio cha mbwa kobo!
 
Wakuu....

Kati ya watu waliopata hasara pale CHADEMA Lisu anaongoza , Kwanza alihatarisha maisha yake kwa kupigania misingi ya Chama.

Kuna pesa chafu zinazoingia CHADEMA Ili kuwaziba watu kama kina Lisu mdomo lakini Lisu yeye pesa hizo hazitaki na hazijawahi kuingia mfukoni kwake, mwisho wa siku wale waliomzunguka wanatajirika kwa mgongo wa Lisu.

No way inatosha SASA! Lisu hatutaki aendelee tena kuwa Victim na mtaji wa watu wengine wajanja janja pale CHADEMA, either awe Mwenyekiti asimamie mambo na kusafisha Chama au ajitenge nao kabisa Kwa maana ni ngumu mtu kama Lisu kuendelea kuchangamana na wala rushwa au watu wenye hofu ya kukemea maovu
Lissu ameshtuka ila alishachelewa ,miaka yote hiyo alikubalije kuendeshwa na kilaza aisee?embu fikiria elimu ya Lissu na kazi alizofanya umlinganishe na huyu Mzee Mbowe.Hapa ndio unaweza aamini kuwa uchawi upo aisee.
 
Lissu ameshtuka ila alishachelewa ,miaka yote hiyo alikubalije kuendeshwa na kilaza aisee?embu fikiria elimu ya Lissu na kazi alizofanya umlinganishe na huyu Mzee Mbowe.Hapa ndio unaweza aamini kuwa uchawi upo aisee.
Ni kweli amechelewa Sana lakini asipoteze tena muda zaidi
 
hahah eti tundu lisu masikini, really? tundu lisu amewapa kool-aid for sure siyo bure, tundu is the most corrupt con man ever lived, tundu lisu is richer than mbowe, yuko ligi ya akina kikwete huko …
 
Wakuu....

Kati ya watu waliopata hasara pale CHADEMA Lisu anaongoza , Kwanza alihatarisha maisha yake kwa kupigania misingi ya Chama.

Kuna pesa chafu zinazoingia CHADEMA Ili kuwaziba watu kama kina Lisu mdomo lakini Lisu yeye pesa hizo hazitaki na hazijawahi kuingia mfukoni kwake, mwisho wa siku wale waliomzunguka wanatajirika kwa mgongo wa Lisu.

No way inatosha SASA! Lisu hatutaki aendelee tena kuwa Victim na mtaji wa watu wengine wajanja janja pale CHADEMA, either awe Mwenyekiti asimamie mambo na kusafisha Chama au ajitenge nao kabisa Kwa maana ni ngumu mtu kama Lisu kuendelea kuchangamana na wala rushwa au watu wenye hofu ya kukemea maovu
Ombaomba wa kimataifa huyo hana shida sana japo anayoombaga kuchangiwa hayamtoshelezi,

yuko rafu mno kwenye matumizi na anatamaa sana 🐒
 
Kadanganye watoto wenzio

wewe ndiyo mtoto umenyeshwa kool-aid na tundu lisu, tundu lisu dunia nzima tulikoshindwa kesi ana share yake, ndege zikishikwa huko nje kwa madeni analipwa dollars juu kwa juu, mining companies zikitushitaki na kushinda kesi ana share zake au unafikiri kwa nini kila nchi yetu ikishitakiwa anaondoka nchini? watoto wake na familia yake yote iko usa na ni citizens alisema mwenyewe tundu, masikini gani wa tanzagiza anayeweza afford hiyo life style ya tundu lisu ? mnadanganywa sana, labda siku moja mtakuja kuamka, tundu lisu is a con man …
 
..mbona Mama Abduli kilaza lakini ana machawa kibao?
Mwenzi anayo degree na alisoma chuko full time tofauti ni kilaza wenu Mbowe ambae baada ya kufeli elimu ya sekondari alikimbia kuwa disco joker🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Ningeshangaa Sana nisingekuona kwenye huu Uzi ukija kueneza uzandiki wako dhidi ya Lisu
hata mimi ningesikitika mno kukukosa ukiendeleza mihemko yako kama kawaida yako kwenye maoni na mtazamo wangu kwenye jambo hili muhimu sana gentleman 🐒
 
Wakuu....

Kati ya watu waliopata hasara pale CHADEMA Lisu anaongoza , Kwanza alihatarisha maisha yake kwa kupigania misingi ya Chama.

Kuna pesa chafu zinazoingia CHADEMA Ili kuwaziba watu kama kina Lisu mdomo lakini Lisu yeye pesa hizo hazitaki na hazijawahi kuingia mfukoni kwake, mwisho wa siku wale waliomzunguka wanatajirika kwa mgongo wa Lisu.

No way inatosha SASA! Lisu hatutaki aendelee tena kuwa Victim na mtaji wa watu wengine wajanja janja pale CHADEMA, either awe Mwenyekiti asimamie mambo na kusafisha Chama au ajitenge nao kabisa Kwa maana ni ngumu mtu kama Lisu kuendelea kuchangamana na wala rushwa au watu wenye hofu ya kukemea maovu
Tundu Lissu is a national Hero
 
Back
Top Bottom