CHADEMA imetajirisha wengi huku Lisu akizidi kuwa maskini akipigania misingi ya chama

CHADEMA imetajirisha wengi huku Lisu akizidi kuwa maskini akipigania misingi ya chama

wewe ndiyo mtoto umenyeshwa kool-aid na tundu lisu, tundu lisu dunia nzima tulikoshindwa kesi ana share yake, ndege zikishikwa huko nje kwa madeni analipwa dollars juu kwa juu, mining companies zikitushitaki na kushinda kesi ana share zake au unafikiri kwa nini kila nchi yetu ikishitakiwa anaondoka nchini? watoto wake na familia yake yote iko usa na ni citizens alisema mwenyewe tundu, masikini gani wa tanzagiza anayeweza afford hiyo life style ya tundu lisu ? mnadanganywa sana, labda siku moja mtakuja kuamka, tundu lisu is a con man …
Story za kwenye kimpumu unatuletea wajuzi.
 
wewe ndiyo mtoto umenyeshwa kool-aid na tundu lisu, tundu lisu dunia nzima tulikoshindwa kesi ana share yake, ndege zikishikwa huko nje kwa madeni analipwa dollars juu kwa juu, mining companies zikitushitaki na kushinda kesi ana share zake au unafikiri kwa nini kila nchi yetu ikishitakiwa anaondoka nchini? watoto wake na familia yake yote iko usa na ni citizens alisema mwenyewe tundu, masikini gani wa tanzagiza anayeweza afford hiyo life style ya tundu lisu ? mnadanganywa sana, labda siku moja mtakuja kuamka, tundu lisu is a con man …
Unfounded claims ni umbeya kama umbeya mwingine
 
Ni hekima mbowe apumzike, pia apumzishe akili, kwani simu za machawa anazopigiwa kila jioni sio habari za kitoto, wengine hawajala, wengine mtoto anaumwa, lots of sms, wengine wanaomba mikopo kwenye hela ya chama, hakika mbowe pumzika, japo chawa wengi watakufa njaa uliwabeba mno, ni lazima walie kilio cha mbwa kobo!
Hahahaha mkuu hilo nalo neno
 
hahah eti tundu lisu masikini, really? tundu lisu amewapa kool-aid for sure siyo bure, tundu is the most corrupt con man ever lived, tundu lisu is richer than mbowe, yuko ligi ya akina kikwete huko …
Ona ujinga unaoongea!! Angechangisha kutengenezewa gari?
 
Wakuu....

Kati ya watu waliopata hasara pale CHADEMA Lisu anaongoza , Kwanza alihatarisha maisha yake kwa kupigania misingi ya Chama.

Kuna pesa chafu zinazoingia CHADEMA Ili kuwaziba mdomo watu kama kina Lisu lakini Lisu yeye pesa hizo hazitaki na hazijawahi kuingia mfukoni kwake, mwisho wa siku wale waliomzunguka wanatajirika kwa mgongo wa Lisu.

No way inatosha SASA! Lisu hatutaki aendelee tena kuwa Victim na mtaji wa watu wengine wajanja janja pale CHADEMA, either awe Mwenyekiti asimamie mambo na kusafisha Chama au ajitenge nao kabisa Kwa maana ni ngumu mtu kama Lisu kuendelea kuchangamana na wala rushwa au watu wenye hofu ya kukemea maovu
Nani asafishe chama Mbowe???
HIyu ndio kinara wa ufisadi
 
Mwenzi anayo degree na alisoma chuko full time tofauti ni kilaza wenu Mbowe ambae baada ya kufeli elimu ya sekondari alikimbia kuwa disco joker🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
Chuko ndio kitu gani!!??
Madrassatul????
 
Ulishapiga hesabu siku za jakaya kukaa nchini versus alizoshinda nje ya nchi ?

Mbona alikuongoza.
mbona unaleta story za abunuasi tena gentleman?

kwahiyo kuna mtu wa kubabaika na puppet kweli humu nchini? huenda huyo mtu ni mercenary 🐒
 
Ila CHADEMA mlizitafuna sana hela za wafadhili wenu wa ndani na nje ya nchi; akiwemo mfadhili wenu mkuu Marehemu Mustafa Sadogo!

Halafu badala ya kujenga ofisi kote nchini, hela zote mkazitafuna! Na mkaendelea kukomaa na kale kaofisini kenu uchwara ka kukodi! Na pia kuanzisha oparesheni ambazo zilikuwa haziishi!! Mara oparesheni sangara, mara oparersheni ukuta!! Na kwenye hizo oparesheni unakuta makanda wote wamevaa gwanda za khaki!! Salamu kwenye mikutano yao ni moja tu 🗣️ peopleeeezzz!!

Kiitikio 👉 Power!! Dah! Mlituchota sana akili kipindi kile. 😁
 
Ona ujinga unaoongea!! Angechangisha kutengenezewa gari?

hahah and you really believe that kwamba alichangasha kwa sababu alikosa hela? kool-aid hiyo inafanya kazi, huyo con man kawapata kweli, you can’t see the forest for trees …
 
hahah and you really believe that kwamba alichangasha kwa sababu alikosa hela? kool-aid hiyo inafanya kazi, huyo con man kawapata kweli, you can’t see the forest for trees …
Pesa huwa hazijifichi, hata kampeni zake uliona ni low budget kulinganisha na Nyalandu au Mbowe unaweza ona gap in funding. Lissu hana hela za kutisha maana sio fisadi.
 
Back
Top Bottom