CHADEMA imetajirisha wengi huku Lisu akizidi kuwa maskini akipigania misingi ya chama

Story za kwenye kimpumu unatuletea wajuzi.
 
Unfounded claims ni umbeya kama umbeya mwingine
 
Hahahaha mkuu hilo nalo neno
 
hahah eti tundu lisu masikini, really? tundu lisu amewapa kool-aid for sure siyo bure, tundu is the most corrupt con man ever lived, tundu lisu is richer than mbowe, yuko ligi ya akina kikwete huko …
Ona ujinga unaoongea!! Angechangisha kutengenezewa gari?
 
Ombaomba wa kimataifa huyo hana shida sana japo anayoombaga kuchangiwa hayamtoshelezi,

yuko rafu mno kwenye matumizi na anatamaa sana πŸ’
Wezi wa fedha za Umma lazima mjitokeze kumbeza.
 
Nani asafishe chama Mbowe???
HIyu ndio kinara wa ufisadi
 
Mwenzi anayo degree na alisoma chuko full time tofauti ni kilaza wenu Mbowe ambae baada ya kufeli elimu ya sekondari alikimbia kuwa disco jokerπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈπŸ™†β€β™‚οΈ
Chuko ndio kitu gani!!??
Madrassatul????
 
Ulishapiga hesabu siku za jakaya kukaa nchini versus alizoshinda nje ya nchi ?

Mbona alikuongoza.
mbona unaleta story za abunuasi tena gentleman?

kwahiyo kuna mtu wa kubabaika na puppet kweli humu nchini? huenda huyo mtu ni mercenary πŸ’
 
Ila CHADEMA mlizitafuna sana hela za wafadhili wenu wa ndani na nje ya nchi; akiwemo mfadhili wenu mkuu Marehemu Mustafa Sadogo!

Halafu badala ya kujenga ofisi kote nchini, hela zote mkazitafuna! Na mkaendelea kukomaa na kale kaofisini kenu uchwara ka kukodi! Na pia kuanzisha oparesheni ambazo zilikuwa haziishi!! Mara oparesheni sangara, mara oparersheni ukuta!! Na kwenye hizo oparesheni unakuta makanda wote wamevaa gwanda za khaki!! Salamu kwenye mikutano yao ni moja tu πŸ—£οΈ peopleeeezzz!!

Kiitikio πŸ‘‰ Power!! Dah! Mlituchota sana akili kipindi kile. 😁
 
Ona ujinga unaoongea!! Angechangisha kutengenezewa gari?

hahah and you really believe that kwamba alichangasha kwa sababu alikosa hela? kool-aid hiyo inafanya kazi, huyo con man kawapata kweli, you can’t see the forest for trees …
 
hahah and you really believe that kwamba alichangasha kwa sababu alikosa hela? kool-aid hiyo inafanya kazi, huyo con man kawapata kweli, you can’t see the forest for trees …
Pesa huwa hazijifichi, hata kampeni zake uliona ni low budget kulinganisha na Nyalandu au Mbowe unaweza ona gap in funding. Lissu hana hela za kutisha maana sio fisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…