Mwenzi anayo degree na alisoma chuko full time tofauti ni kilaza wenu Mbowe ambae baada ya kufeli elimu ya sekondari alikimbia kuwa disco joker🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Pesa huwa hazijifichi, hata kampeni zake uliona ni low budget kulinganisha na Nyalandu au Mbowe unaweza ona gap in funding. Lissu hana hela za kutisha maana sio fisadi.
Hii ndiyo point yangu kile ndiyo chama sahiiHuyu mwamba akae na mzee wa ubwabwa wayajenge, Chadema imeshajaa wahun hamna Demokrasia pale🚮🚮
Mkwere The Traveler.mbona unaleta story za abunuasi tena gentleman?
kwahiyo kuna mtu wa kubabaika na puppet kweli humu nchini? huenda huyo mtu ni mercenary 🐒
mawenge yanasumbua watu wengi sana aise dah, pole sana.Mkwere The Traveler.
Mkwere Trans hiyo.
Mkwere Airways Muda wote yupo angani hajui nchini Hali ipoje yeh kuwaza dili tuuh.
CCM mchezo.😂
Lissu ni boya. Imagine hadi Yericko anamiliki ghorofa. Ruzuku kazini.Sikia Mnama kina Mrema sio mafala huwa hawaachi pesa bwashee.
Nakula upepo wa Juu mzee.mawenge yanasumbua watu wengi sana aise dah, pole sana.
kumbe umo na maumivu na umetulia tu humu?🐒
kama kawaida sio gentleman,Nakula upepo wa Juu mzee.
Wenge mwachie Chiembe na Mwashambwa.😂😂🤣
Mbona unatoa ushuhuda wa vitu unavyofanya Kamanda.kama kawaida sio gentleman,
shisha mchanganyo na ugoro ni moto sanaee, unainjoy mwenyewe dah!
huku unakomenti kama mtu vile aise ,
ama kweli maisha ni kombolela 🐒