CHADEMA inapokea ruzuku kama kawaida, hawajaigomea

Tuwekee bank slip hapa inayoonyesha kuwa hizo pesa zimewekwa kwenye account ya chadema, la sivyo hiyo habari yako na mwananchi itakuwa ya kutengeneza kama ile ya kina covid 19 kuwa wamepewa barua na katibu kuruhusiwa kwenda bungeni.
 
Na itabaki kuwa tu uchaguzi ulikuwa uchafuzi tu,, na pesa tunabeba
 
Huo ni mgawo kutokana na wabunge wao 20, pamoja na madiwani
Niseme tuu hongera kwa Halima na wenzie 19 kwa kukiwezesha chama kupata ruzuku

Mungu ibariki Tanzania
Wabunge 19 viti maalumu hawana mchango wowote kwenye ruzuku!Muwe mnajielimisha kabla ya kuandika!Ruzuku hutokana na makundi haya
1.Kura za urais
2.Wabunge wa kuchaguliwa
3.Baraza la madiwani!

So unaposema Halima Mdee na wenzake wamewezesha uzuku,unakuwa unapotosha kwa kujua au kutokujua!
Hata leo akina Halima Mdee wakifukuzwa Ubunge,Hizo factor 3 hapo juu haziwezi kubadilika hivyo ruzuku itabaki ileile!
Mbunge wa kuchaguliwa ndiye anayeweza kuathiri Ruzuku!
 
Wanapokea pesa za serikali ambayo awaitambui.
Unatakaje kwani?Pesa hiyo ni halali ya CDM kwa mujibu wa katiba na si hisani!
Pesa hiyo ni kutokana na kodi za kila mtanzania hivyo msijimwambafy hapa!
 
Unakulakr ruzuku huku umeogomea matokeo ta uchaguzi.
Ni kituko hicho [emoji23][emoji23][emoji23]
Ruzuku ni hela ya wananchi /kodi zetu wanaCCM/ACT/CDM/wasionachama etc etc.....nitaila maana n kodi yangu pia, ni haki ya chama kupata ruzuku ya kujiendesha...... kupokea ruzuku hakufuti ukweli kuwa uchaguzi wa riggid!
 
Unatakaje kwani?Pesa hiyo ni halali ya CDM kwa mujibu wa katiba na si hisani!
Pesa hiyo ni kutokana na kodi za kila mtanzania hivyo msijimwambafy hapa!
Serikali kumbe inafata katiba ya nchi,leo mnakubali kwasababu mmeona ni jambo linawahusu pesa za chama chenu.
Mmelipamba jambo hili kwa weredi sana ili kuhalalisha madhaifu yenu.
 
Serikali kumbe inafata katiba ya nchi,leo mnakubali kwasababu mmeona ni jambo la fedha.
Hata kufanya uchaguzi kila baada ya miaka 5,ni kufuata katiba!Kuwa na bunge,mahakama nk ni kufuata katiba!Hii haina maana kuwa katiba inafuatwa kwa 100%,no way!
 
Ina maana hiyo tayari ina halalisha kwamba uchafuzi mkuu ulikuwa huru na haki? kama mabilioni yanatumika kujenga himaya ya chatu chadema wao ni nani hadi wakatae kuchukua pesa iliyoingizwa kama ruzuku...
 
Onyesha wamepata shs ngapi, acha majungu
 
Kulikuwa na uchaguzi au mlikuwa mnaamua nani apata nini wapuuzi nyie
 
Na Rufaa ya akina Mdee haitatolewa uamuzi, kuwapoza wafia chama. Unacheza na pesa wewe😂😂
 
Wanastahili kupokea zaidi ya hizo maana ni pesa za walipa kodi na siyo za CCM.

Kwanza wanaCCM wengi ni wajinga (TWAWEZA), hata mchango wao katika kodi ni negligibly small lakini ndiyo watafunaji wakubwa wa pesa za Watanzania.

Chato isiyozalisha chochote, leo ndiyo inayoongoza katika uchukuaji wa pesa za Watanzania kushinda wilaya zote za Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamawazo mgando sana, wakatae halafu?
 
Uzi WA mataahira na mazezeta , sijui hata Kwa nini huwa mnajiangaisha kujibizana mbwakoko takataka vinyesi hawa : mama D , Etwege ,Yehodaya , msemaji ukweli , mjinga Mimi , Chagu , Kawe Alumni , Simba mzee , John the Baptist na mbugila wengine , hawa ni kenge takataka mazezeta Fulani , matoto mapumbavu chokoraaa
 
Maneno pindua pindua, wakati mwingi tunawachosha wanachama na mashabiki wetu.
Taarifa inasema ruzuku inapatikana sababu ya wabunge 20 ambao 19 kati yao wamefukuzwa. Meaning ni intention kuwa hawaihitaji hyo ruzuku na kma hukumu itakua upheld ina maana ruzuku itaporomoka kutoka hiko kiasi mpaka pengine million 5 kwa mwezi.

Sio kivipi CHADEMA iweke rehani credibility yake kisa 100M kiasi ambacho hata wanachama waweza changia, kma tuliweza survive 2005-10 kwa ruzuku za hela za madafu sioni wapi tutegemee 100M na kuchafua taswira ya chama.

Na ndio maana gazeti limesema ITAPATA haijasema wameconfirm kupokea....
 
Mleta hoja umeileta kishambenga sana. Kadiri ya matokeo ya kura za urais na ubunge walizopata wanastahili kupewa hiyo PESA. Sio hisani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…