Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoongozwa na Tundu Lissu, yateua Wakurugenzi wapya

Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoongozwa na Tundu Lissu, yateua Wakurugenzi wapya

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu;
ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge:
Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere: Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi


IMG-20250312-WA0133.jpg
 
Waangalie sana, nyakati hizi wanaweza kujikuta wmeteua MAMLUKI watkaounga juhudi muda Mfupi kabla ya uchaguzi, au soon baada ya kutangaza maandamano
Point kubwa hii ya kutiliwa mkazo...ukiacha nafasi za uteuzi hata nafasi za kuchaguliwa wanaweza wekewe pandikizi...Kila wanachopanga kinawafikia dola na chama cha kijani
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Kwa sasa chadema imekuwa kama taasisi tu na sio chama cha upinzani.. sioni hamsha hamsha utadhani hawapo teyar kwa uchaguzi na ni mwaka huu 2025.
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Hiki chama kumbe kinafanya kazi Tanzania Bara tu!? Kwa hiyo si chama cha kitaifa...chama cha kitaifa kinatakiwa kuwa na uwakilishi Tanzania visiwani (Zanzibar)! Hatuoni Kanda ya Zanzibar!
 
Kuna nafasi mpya kadhaa naziona, ambazo awali huenda hazikwepo kabisa ikiwemo hicho kitengo cha Rasilimali, Miradi na Uwekezaji

Hongereni kuja na sura mpya katika Chama

Nahisi Chama kitakuwa kimeajiri consultant kwaajili ya muundo mpya wa Chama pamoja na ubunifu
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Mna safari ndefu sana ya kuja kukifikia chama Cha CCM..yaani hapo hamna kabisa sura ya kitaifa..mbona huku mitaani tukikaa tunajumuika watu wote wa dini zote ila kwenye uongozi wenu tu ndo haiwezekani?
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Mbona jina la huyu Erythrocyte wetu hapa jukwaani wala hilda newton siyaoni!
 
Mna safari ndefu sana ya kuja kukifikia chama Cha CCM..yaani hapo hamna kabisa sura ya kitaifa..mbona huku mitaani tukikaa tunajumuika watu wote wa dini zote ila kwenye uongozi wenu tu ndo haiwezekani?
Umeuliza swali zuri, lakini nadhani jibu lake unalijuwa mwenyewe!
Sasa sijui, hawa CHADEMA ulitaka wakatafute hawa watu ambao hawapo ndani ya chama chao kwa sababu hawakutaka wenyewe kuwemo ndani ya chama hicho? Au tuseme CHADEMA waliweka masharti ya watu fulani wasijiunge na chama hicho?
Kwa upande wapili, tazama ndani ya CCM ilivyo sasa, bila shaka inavutia sana kwa watu wa aina yako ndiyo maana ukaona upate shauku ya kuwananga CHADEMA juu ya jambo hilo!
Najuwa vizuri, sasa zinatumika lugha za mafumbo, lakini mtu makini hakosi kujuwa maana inayo lengwa.
Mgawanyiko wa taifa letu hauwezi kuzuilika kwa lugha za namna hii.

Usiwe na shaka, chama cha CCM sasa hivi ni chama cha wasaka fursa/maslahi tu; iwe ni kwa makundi kama hayo unayo yazungumzia kwa mafumbo au makundi mengine yote ndani ya chama hicho.
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
sawa tunawatakia kila la kheri
 
Back
Top Bottom