Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoongozwa na Tundu Lissu, yateua Wakurugenzi wapya

Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoongozwa na Tundu Lissu, yateua Wakurugenzi wapya

TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Naona waislam wamependelewa sana aisee
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Mwenyekiti amkumbuke na Twaha Mwaipaya kwenye uongozi.
Kijana anakipigania sana Chama
 
Kamati Kuu ya Chama hicho imeamua kuwe na Kurugenzi ya Mambo ya Nje na Diaspora na kuwe pia na Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi.

Hapo Awali kulikuwa na Kurugenzi ya Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje .

Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa kote Duniani hii hapa.

Screenshot_2025-03-12-15-08-56-1.png


Ni Matarajio yetu kwamba Mabadiliko haya yataongeza Ufanisi na kukipeleka Chama Mbele zaidi.

Mungu Ibariki Chadema
 
Daah

Kwahiyo zama za akina John Mrema, Malisa, Nkya, Henry Kileo ndio zimefikia ukingoni
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Dikteta uchwara anajenga chama
 
Wewe ungependa hadi wakati huu wawe wamefanya nini ili kukutambulisha kuwa "wapo tayari kwa uchaguzi"? Hiyo "hamsha hamsha" unayo isubiri wewe ni nini hasa!
Hajui...

Hata hatambui kuwa kauli mbiu tu ya NO REFORMS NO ELECTION imeamusha mbwa zilizokuwa zimelala na sasa zinabweka hovyo mfano Makalla (Katibu Mkuu CCM), Steven Wassira (Makamu m/kiti CCM)..
 
Naomba tu kuuliza
Kile cheo cha Mkurugenzi wa Itifaki Mawasiliano na mambo ya nje ambaye alikua John Mrema ndo amepewa John Kitoka au hiki ni cha Kitoka ni cheo kipya ?
John Mrema mkurugenzi wa fedha

wamemgwaya

Chezea wewe

Lisu na ubabe wake baada ya kuona tone tone linadoda anaogopa kumtoa ukurugenzi wa fedha John Mrema kuwinda pesa za wachaga
 
Mna safari ndefu sana ya kuja kukifikia chama Cha CCM..yaani hapo hamna kabisa sura ya kitaifa..mbona huku mitaani tukikaa tunajumuika watu wote wa dini zote ila kwenye uongozi wenu tu ndo haiwezekani?
Ubaguzi na hisia za kibaguzi zinakutesa. You are too primitive na dini za wakoloni
 
Kuna nafasi mpya kadhaa naziona, ambazo awali huenda hazikwepo kabisa ikiwemo hicho kitengo cha Rasilimali, Miradi na Uwekezaji

Hongereni kuja na sura mpya katika Chama

Nahisi Chama kitakuwa kimeajiri consultant kwaajili ya muundo upya wa Chama pamoja na ubunifu
This is Great for Great Men and Women
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Huu ni uteuzi wa chama cha siasa au kikundi cha kwaya?
 
Back
Top Bottom