Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoongozwa na Tundu Lissu, yateua Wakurugenzi wapya

Kamati Kuu ya CHADEMA iliyoongozwa na Tundu Lissu, yateua Wakurugenzi wapya

Chadema inapumlia mashine nakipa miezi sita tu toka sasa kitakuwa hakina uwezo wa kulipa mishahara ya wafanyakazi wa kudumu ofisi zao,madereva,,umeme,maji ,,pango ,gharama za service za magari ya Chadema nk

Miezi sita nawapa Chadema kitakuwa kiko hoi bin taabani kifedha na Lisu ataachia ngazi kwa hiari au kulazimishwa na wanachama

Uongozi wake hautazidi miezi sita kabla kutema bungo
Nimecheka kwa nguvu kwa hili dua la kuku. Hizi story za cdm itakufa ni za kipindi sana, kabla hata hujavunja ungo, naona umejiunga mwaka juzi basi unadhani umeleta dua jipya.
 
Garubindi kachukua nafasi ya rugemeleza nshala kwani keshatenguliwa?
Rugemaliza Nshala ndio yule mwanasheria aliyekuwa anagombea uwenyekiti wa Tanganyika Law Society?
Na kama ndio huyo Lissu alimpigia kampeni mtu mwingine, by nature nadhani Lissu hakutaka misimamo mingine.
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Nashukuru kwamba Wachaga awamu hii wamewekwa pembeni.
Ingekuwa bado mfalme Mboya yuko madarakani viongozi wote wangekuwa: Mushi, Kweka, Mallya, Uroki, Uronu nk.
 
Kwa sasa chadema imekuwa kama taasisi tu na sio chama cha upinzani.. sioni hamsha hamsha utadhani hawapo teyar kwa uchaguzi na ni mwaka huu 2025.
Amsha amsha inaletwa na wanachama na wafuasi siyo viongozi kama unavyofikiria! Vyombo vya habari ni huru?????
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Masonga naona katemwa.
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3267771
Mungu ibariki CHADEMA
 
Uteuzi wa uongozi
Mwezi wa Ramadhani
Hivi vinaweka mbali na waislam
 
Uteuzi wa uongozi
Mwezi wa Ramadhani
Hivi vinaweka mbali na waislam
Unasema kweli?

"Mwezi wa Ramadhani" hapapaswi kuwepo na uteuzi wa viongozi wa kisiasa?

Nadhani CHADEMA kuwa "mbali na waislam", itakuwepo sababu nyingine zaidi ya uteuzi huu.
 
Yaani kwa safu hz muislamu anayejitambua lazima akiogope hiki chama.
Hapo bado hatujajua chrome cha Padri Kitime, Padri Slaa and the likes.
Napata shida sana kujibu mawazo ya namna hii kwa Tanzania yetu hii.
Nashukuru tu kwamba hao unaowaita "...anayejitambua" (bila shaka wewe ukiwa ni mfano wao) siyo wawakilishi wa waTanzania waislamu. Mtatafuta kila njia za kuwagawa waTanzania katika makundi kama haya kwa faida zenu, lakini hamtafanikiwa.
 
TAARIFA KWA UMMA

Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;

A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu;
ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.

2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.

3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.

4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.

B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge:
Mtaalamu wa dawati la jinsia.

2. Leornad Magere: Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.

Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;

1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.

2. Benjamin Ntele: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.

3. Totinan Ndonde: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.

4. Edger Malimusi: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma

Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.

Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi




Viongozi wetu nawasihi sana, wekeni msisitizo kwenye uwajibikaji makini kwa maslai ya Watanzania wote, Taifa letu limebakiza tumaini moja tu ambalo ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)

Watanzania wote tunawaombea Mungu awalinde na muweze kutuongoza na kulifikisha Taifa letu kwenye kilele cha Mafanikio
 
Back
Top Bottom