Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una usenge mwingi sana wewe bwegeUteuzi wa uongozi
Mwezi wa Ramadhani
Hivi vinaweka mbali na waislam
Mwezi waote huu wa Ramadhan hujaacha kweli ushoga wako umekubuhu wewe ndiyo utaenda kuwa kuni za kuwachomea wadhambi wenzakoChadema imeteua wote wakiristo
Umevimbiwa futari ya mchemsho wa nguruwe sasa unakuja kujamba humu,shwainiUteuzi wa uongozi
Mwezi wa Ramadhani
Hivi vinaweka mbali na waislam
Nyie ndo mmeshafanikiwa kutugawa. Chama kinaonyesha udini waziwazi. Haya bila shaka ni mapendekezo ya Padri Slaa na Padri Kitime mana ndo walomuweka Mkatoliki mwenzao hapoNapata shida sana kujibu mawazo ya namna hii kwa Tanzania yetu hii.
Nashukuru tu kwamba hao unaowaita "...anayejitambua" (bila shaka wewe ukiwa ni mfano wao) siyo wawakilishi wa waTanzania waislamu. Mtatafuta kila njia za kuwagawa waTanzania katika makundi kama haya kwa faida zenu, lakini hamtafanikiwa.
Shida shaka kuwa huu uteuzi haujazingatia vigezo vya Dini kwenye nafasi zote Muislam ni Moja tu, kweli Mh Mwenyekiti Hana Udini , ni Mwadilifu sana kwenye kulinda Imani yake.TAARIFA KWA UMMA
Kamati Kuu ya Chadema iliyokutana katika kikao chake maalum cha siku mbili kuanzia juzi tarehe 11 mpaka 12 Machi 2025 ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Tundu Lissu imefanya uteuzi wa Wakurugenzi kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (b) na Wataalamu mbalimbali wa Makao Makuu ya Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.17 (e) ya Katiba ya Chama toleo la mwaka 2019 kama ifuatavyo;
A) WAKURUGENZI
1. John Pambalu; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Oganaizesheni, Mafunzo na Uchaguzi.
2. John Kitoka; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Diaspora.
3. Wakili Gaston Garubindi; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu.
4. Bi. Brenda Rupia; ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi.
B) WATAALAMU
1. Bi. Catherine Ruge: Mtaalamu wa dawati la jinsia.
2. Leornad Magere: Mtaalamu wa Rasilimali, Miradi na Uwekezaji.
Aidha, Kamati Kuu imethibitisha Makatibu wa Kanda nne za Chama kwa mujibu wa ibara ya 7.7.16 (c) kama ifuatavyo;
1. Bi. Ashura Masoud; amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kati inayojumuisha mikoa ya Dodoma, Morogoro na Singida.
2. Benjamin Ntele: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Pwani inayojumuisha mikoa ya kichama ya Ubungo, Ilala, Kinondoni, Temeke na Pwani.
3. Totinan Ndonde: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kaskazini inayojumuisha mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Tanga.
4. Edger Malimusi: amethibitishwa kuwa Katibu wa Kanda ya Kusini inayojumuisha mikoa ya Mtwara, Lindi na Ruvuma
Imetolewa leo Jumatano tarehe 12 Machi 2025.
Apolinary Boniface Margwe
Msaidizi - Kurugenzi ya Mawasiliano na Uenezi
Tumetengeneza vijana wengi sana, si lazima niwe mimiKweli mambo yamebadilika. Hii taarifa nlitegemea iletwe na Erythrocyte
Unadakua wapi nikuagizie mbuzi katoliki "changamoto" kilo 3!!??Chadema imeteua wote wakiristo
Uchaguzi gani?Kwa sasa chadema imekuwa kama taasisi tu na sio chama cha upinzani.. sioni hamsha hamsha utadhani hawapo teyar kwa uchaguzi na ni mwaka huu 2025.
Mchezo mchafu upi?Tone tone imegoma John Mrema alisema mnataka kumfukuza uanachama muweke mtu wenu kama mkurugenzi wa fedha
Lisu kanywea kamuacha kumtoa baada ya kuona tone tone limedoda sababu ya matajiri wa kichaga kuzira kwa mchezo mchafu Lisu alimchezea Mbowe kushinda uenyekiti
Matqjiri wakubwq wa kichaga Tone tone wakagoma kuchangia
Kaunda muundo feki feki cheo cha Mkurugenzi wa fedha karuka
Wenye macho na akili zetu tunaona wajinga wa Chadema tu ndio hawawezi ona
Chukua kitoweo hichoChadema imeteua wote wakiristo
Una comment bila hata kusoma...John Mrema mkurugenzi wa fedha
wamemgwaya
Chezea wewe
Lisu na ubabe wake baada ya kuona tone tone linadoda anaogopa kumtoa ukurugenzi wa fedha John Mrema kuwinda pesa za wachaga