CHADEMA isanuke, Mbowe ni pandikizi la system, kazi yake kubwa ni kuhakikisha Dola inabaki mikononi mwa CCM daima

CHADEMA isanuke, Mbowe ni pandikizi la system, kazi yake kubwa ni kuhakikisha Dola inabaki mikononi mwa CCM daima

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani.

Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na wanaendelea kuitafuna nchi .

Mbowe ndiye aliyehakikisha kuwa mwana CCM machachari Mh. Lowasa anapeperusha bendera ya upinzani. Imagine mwana CCM anagombea Urais kupitia chama kikuu cha upinzani.

Amkeni.

Kama lengo ni ruzuku na posho Mbowe anafaa ila kama lengo ni kubadili Dola na mfumo wake Mbowe ni kirusi.
Wengine watasema mbona mahindi yake Magufuli aliyang'oa, mbona alikaa rumande inakuwaje apate adha ilhali system inamtambua?

Ukiruhusu ufahamu wako ukue utapata jibu la hayo maswali yako.
 
Unafikiri unawaandikia watoto wa chekechea hapa. Ndivyo unavyojidanganya sio.
 
Umeandika pumba sana bila chenga hata kidogo
 
2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani.

Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na wanaendelea kuitafuna nchi .

Mbowe ndiye aliyehakikisha kuwa mwana CCM machachari Mh. Lowasa anapeperusha bendera ya upinzani. Imagine mwana CCM anagombea Urais kupitia chama kikuu cha upinzani.

Amkeni.

Kama lengo ni ruzuku na posho Mbowe anafaa ila kama lengo ni kubadili Dola na mfumo wake Mbowe ni kirusi.
Wengine watasema mbona mahindi yake Magufuli aliyang'oa, mbona alikaa rumande inakuwaje apate adha ilhali system inamtambua?

Ukiruhusu ufahamu wako ukue utapata jibu la hayo maswali yako.
Inaweza kuwa Kweli lakini swala la Lowasa Mbowe hakuwa na ngubu hiyo. Kamati kuu ilikodi watalaam nje ya Nchi kufanya uchunguzi hali halisi ya Uchaguzi na ushindani.

Baada ya kupewa matokeo walifikiria nani anaweza kumwaproach Lowasa. Ikaonekana Dr Slaa anaweza kukutana na Askofu Gwajima na Gwajima akamfikia Lowasa.

Maelezo haya yaliwahi kutolewa na
Tundu Lissu, Dr Slaa na Askofu Gwajima Kwa nyakati tofauti.

Hata hivyo Mbowe akiendelea kung'ang'ania Kurudi nitaamini kweli hana nia ya kushika dola.
 
2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani.

Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na wanaendelea kuitafuna nchi .

Mbowe ndiye aliyehakikisha kuwa mwana CCM machachari Mh. Lowasa anapeperusha bendera ya upinzani. Imagine mwana CCM anagombea Urais kupitia chama kikuu cha upinzani.

Amkeni.

Kama lengo ni ruzuku na posho Mbowe anafaa ila kama lengo ni kubadili Dola na mfumo wake Mbowe ni kirusi.
Wengine watasema mbona mahindi yake Magufuli aliyang'oa, mbona alikaa rumande inakuwaje apate adha ilhali system inamtambua?

Ukiruhusu ufahamu wako ukue utapata jibu la hayo maswali yako.
Ule mpango wala haukuanzia kwa Mbowe. Hekaya zinasema Dr. Slaa ndo alimpeleka Lowassa.
Pili kushinda uchaguzi ni suala la ushawishi na namba. Jina la Lowassa lilikuwa na vyote. Sema tatizo lililopo nchini ni lile Ulimwengu anaita Collective Imbecilization. Wananchi wamesinzia sana. Kama walivyo na imani kwa MUNGU basi huwaambii kitu kuhusu ccm.
Kwenye nchi ambayo wananchi wake wanajitambua watu wangeingia mtaani kushinikiza Lowassa atangazwe mshindi. Make alishinda kwa kishindo!
Kuna wakati unaweza kusema bila huyo Mbowe pengine Chadema kwa sasa ingeshawekwa mifukoni kama ACT.
 
Zamani nilikuwa siamini kuwa c c. M wanashinda kwa mipango,ila mwaka huu kwenye uchaguzi huu wa serekali za mitaa ndio nimekubali,baada ya ndugu yangu kuniambia michezo waliyokuwa wanaifanya,mana yeye alikuwa na kitengo kizuri kwenye huo mchakato
ALOOO TUNA SAFARI NDEFU SANA YAKUING'OA MIFISADI
 
2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani.

Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na wanaendelea kuitafuna nchi .

Mbowe ndiye aliyehakikisha kuwa mwana CCM machachari Mh. Lowasa anapeperusha bendera ya upinzani. Imagine mwana CCM anagombea Urais kupitia chama kikuu cha upinzani.

Amkeni.

Kama lengo ni ruzuku na posho Mbowe anafaa ila kama lengo ni kubadili Dola na mfumo wake Mbowe ni kirusi.
Wengine watasema mbona mahindi yake Magufuli aliyang'oa, mbona alikaa rumande inakuwaje apate adha ilhali system inamtambua?

Ukiruhusu ufahamu wako ukue utapata jibu la hayo maswali yako.
Mbowe must go!
 
Back
Top Bottom