CHADEMA isanuke, Mbowe ni pandikizi la system, kazi yake kubwa ni kuhakikisha Dola inabaki mikononi mwa CCM daima

CHADEMA isanuke, Mbowe ni pandikizi la system, kazi yake kubwa ni kuhakikisha Dola inabaki mikononi mwa CCM daima

2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani.

Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na wanaendelea kuitafuna nchi .

Mbowe ndiye aliyehakikisha kuwa mwana CCM machachari Mh. Lowasa anapeperusha bendera ya upinzani. Imagine mwana CCM anagombea Urais kupitia chama kikuu cha upinzani.

Amkeni.

Kama lengo ni ruzuku na posho Mbowe anafaa ila kama lengo ni kubadili Dola na mfumo wake Mbowe ni kirusi.
Wengine watasema mbona mahindi yake Magufuli aliyang'oa, mbona alikaa rumande inakuwaje apate adha ilhali system inamtambua?

Ukiruhusu ufahamu wako ukue utapata jibu la hayo maswali yako.
Ni Kweli
 
2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani.

Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na wanaendelea kuitafuna nchi .

Mbowe ndiye aliyehakikisha kuwa mwana CCM machachari Mh. Lowasa anapeperusha bendera ya upinzani. Imagine mwana CCM anagombea Urais kupitia chama kikuu cha upinzani.

Amkeni.

Kama lengo ni ruzuku na posho Mbowe anafaa ila kama lengo ni kubadili Dola na mfumo wake Mbowe ni kirusi.
Wengine watasema mbona mahindi yake Magufuli aliyang'oa, mbona alikaa rumande inakuwaje apate adha ilhali system inamtambua?

Ukiruhusu ufahamu wako ukue utapata jibu la hayo maswali yako.
Upotofu mkubwa!
 
2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani.

Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na wanaendelea kuitafuna nchi .

Mbowe ndiye aliyehakikisha kuwa mwana CCM machachari Mh. Lowasa anapeperusha bendera ya upinzani. Imagine mwana CCM anagombea Urais kupitia chama kikuu cha upinzani.

Amkeni.

Kama lengo ni ruzuku na posho Mbowe anafaa ila kama lengo ni kubadili Dola na mfumo wake Mbowe ni kirusi.
Wengine watasema mbona mahindi yake Magufuli aliyang'oa, mbona alikaa rumande inakuwaje apate adha ilhali system inamtambua?

Ukiruhusu ufahamu wako ukue utapata jibu la hayo maswali yako.
Magufuli asingemsulubisha kwa kiwango kile. Alimharibia biashara zake nyingi,licha ya kupelekwa gerezani mara nyingi tu. Hata Rais aliyepo kwasasa alimuita gaidi na alimsotesha rumande zaidi ya miezi8
 
2015 ndio ulikuwa mwaka pekee wa upinzani kuingia Ikulu na CCM kuwekwa pembeni huku mafisadi yakisubiri kuburuzwa Mahakamani.

Lakini kinyume chake ni kwamba mafisadi walizidi kung'ara na wanaendelea kuitafuna nchi .

Mbowe ndiye aliyehakikisha kuwa mwana CCM machachari Mh. Lowasa anapeperusha bendera ya upinzani. Imagine mwana CCM anagombea Urais kupitia chama kikuu cha upinzani.

Amkeni.

Kama lengo ni ruzuku na posho Mbowe anafaa ila kama lengo ni kubadili Dola na mfumo wake Mbowe ni kirusi.
Wengine watasema mbona mahindi yake Magufuli aliyang'oa, mbona alikaa rumande inakuwaje apate adha ilhali system inamtambua?

Ukiruhusu ufahamu wako ukue utapata jibu la hayo maswali yako.
Makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa ni kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na inasemekana tayari ana uraia wa nchi zaidi ya moja, huku chances zake kuishi Tanzania zikiwa ni chini ya 2%.


kufadhiliwa kwake na mabwenyenye ya magharibi ndicho hasa chanzo cha kiburi, uchu na tamaa ya madaraka alonayo.

ana chini ya 8% kushinda uchaguzi ndani ya chadema 🐒
 
Back
Top Bottom