Hakuna biashara isiyo na hasara. Siasa ni dynamics.Tatizo akili yako inawaza negative
Ni sawa na wewe unajenga nyumba kubwa lakini utakufa na utaiacha
Funzo
Kwenye maisha usiwaze negative
This is very Exciting. Chadema nyie ni kibokoKARATU
BUNDA MJINI
View attachment 1795982
SERENGETI
View attachment 1795983
NJOMBE
View attachment 1795984
MAKAMBAKO
View attachment 1795999
Kahoji za ccm za chadema hazikuhusuchadema mpaka saaahv mmeshapoekea angalau bil 10 za ruzuku! ofisi za milion 50 unapata ngap apo?
Mkuu nchi nzima milioni 500 ni kidogo sana hata hivyo. Nguvu ya umma inatakiwa sanaCHADEMA kwa hili napinga nanyi, CHADEMA ina wanachama zaidi ya milioni 1 kila mwanachama akitoa 500 tu (1,000,000 x 500=500,000,000) si zaidi ya ofisi 10 jamani, mnafeli wapi?
Mungu ibariki ChademaKARATU
BUNDA MJINI
View attachment 1795982
SERENGETI
View attachment 1795983
NJOMBE
View attachment 1795984
MAKAMBAKO
View attachment 1795999
Ipi bora kuomba au kuiba.Chadema chama la ombaomba.
Ruzuku ya chama anakula Joyce Mkuya
Kazi ya ruzuku sio kujenga ofisi peke yake.chadema mpaka saaahv mmeshapoekea angalau bil 10 za ruzuku! ofisi za milion 50 unapata ngap apo?
Itapunguza tatizo kidogo wakijenga hata ofisi za mikoa kwanzaMkuu nchi nzima milioni 500 ni kidogo sana hata hivyo. Nguvu ya umma inatakiwa sana
Chadema walikuwa na uwezo wa kujenga makao makuu DSM lkn wanapeleka huduma walipo wanachama kwanza.Itapunguza tatizo kidogo wakijenga hata ofisi za mikoa kwanza
Mikoani na Wilayani mbona ofisi nyingi wamepanga?Chadema walikuwa na uwezo wa kujenga makao makuu DSM lkn wanapeleka huduma walipo wanachama kwanza.
Machadema wasanii tuKARATU
BUNDA MJINI
View attachment 1795982
SERENGETI
View attachment 1795983
NJOMBE
View attachment 1795984
MAKAMBAKO
View attachment 1795999
Kama kujenga nyumba ni usanii endelea kuishi kwenye nyumba za kupanga.Machadema wasanii tu
Na ndiomaana haiwezi kuondoka.CCM sasa hivi inawekwa pamoja na Dola. Siku ikiondoka madarakani ndio utajua kipi ni kipi na cha nani.
CCM BABA LAO.Mbona CCM hawajaporwa majengo yaliyojengwa na wananchi.
Hapo ndo tunaanza kupata wasiwasi,kama kweli ina wanachama 1M waliojitoa kisawasawa.CHADEMA kwa hili napinga nanyi, CHADEMA ina wanachama zaidi ya milioni 1 kila mwanachama akitoa 500 tu (1,000,000 x 500=500,000,000) si zaidi ya ofisi 10 jamani, mnafeli wapi?
Kazi ya ruzuku sio kujenga ofisi peke yake.
Kahoji za ccm za chadema hazikuhusu
Itaondoka ila siyo kuondolewa na vyama. Itaondolewa na wananchi wenyewe.Na ndiomaana haiwezi kuondoka.