CHADEMA, kabla ya kudai Katiba Mpya fanyeni mabadiliko kwenye chama chenu

CHADEMA, kabla ya kudai Katiba Mpya fanyeni mabadiliko kwenye chama chenu

Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
Naona Allah's warrior umeamka tena na Chadema asubuhi asubuhi! 🤣
 
Unaelewa maana ya demokrasia?

CHADEMA kina demokrasia gani?

Kama Mwalimu Nyerere baada ya Uhuru angempa nchi Shemeji yake, kisha akafuatia mkwe wake, watoto wake, ndugu zake leo tungekuwa na Rais Samia kutoka Zanzibar?

Mbowe ni Mkwe wa Edwin Mtei muasisi wa CHADEMA.

Acha kupotosha. Baada ya Mtei aliingia Makani. Mbowe amekuja kupewa uenyekiti nadhani kwenye 2004 kabla ya uchaguzi mkuu.
 
CHADEMA mnazani watanzania ni wajinga?

Yaaani mnaongoza harakati za kudai Katiba Mpya ya nchi wakati nyie kwenye chama chenu hakuna Haki wala demokrasia.

Mtatushawishi vipi wakati nyie wenyewe chama chenu kinaendeshwa na sauti ya mtu mmoja.

Kifupi mnapoteza MUDA tu.

Achana na chadema vyama vipo vingi Sana. Kwa nini unahangaika.
 
Unajielewa kweli brother?

Freeman Mbowe ni Mkwe wa Mzee Edwin Mtei

Freeman Aikael Mbowe ameoa mtoto wa kike wa mzee Mtei (muasisi na mmiliki wa CHADEMA)

Sasa hauoni chama ni kama ‘Group la WhatsApp la Familia”?

Mbona Karume na Mwinyi huwaongelei.
 
Chadema
Kwani uhai wa nchi ni kuiondoa CCM madarakani?

Kabla ya kupewa nchi chadema ilipaswa kuwa mfano bora kuanzia uongozi wake yenyewe.

Miaka 30 kwenye siasa huku mkishindwa hata kujenga ofisi ya makao makuu ya chama.
Mnaishia kulipa pango kwa mke wa Anthony Komu?

Na pale mlipishitukiwa ndio chadema imejtahidi kununua ile nyumba ya mbele tu.

Chama cha Baba mkwe amempa mkwe wake Uenyekiti na hataki kubanduka.

Wapi usafi wao!

Je!
Mna tofauti gani na CCM hii ya Wahuni kina Nape?

Ungeanza kwa kutuambia ni halali baba na mtoto kuongoza nchi pekee yao. Yani Karume na Mwinyi?. Maana umekomalia Mbowe ni mkwe wa Mtei.
 
Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?

Mbowe yupo madarakani kutokana na kusaidia kuleta mabadiriko ndani ya chadema mpaka kukifanya kuwa chama kikuu Cha upinzani
 
Acha kupotosha. Baada ya Mtei aliingia Makani. Mbowe amekuja kupewa uenyekiti nadhani kwenye 2004 kabla ya uchaguzi mkuu.
Unadhani hauna uhakika?

Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka takribani 22 hawezi kutuambia anapigania ‘demokrasia’

Ni demokrasia gani iko CHADEMA?

Kwamba miaka 22 ni Mbowe pekee anayeweza kuwa mwenyekiti?
 
Mbowe yupo madarakani kutokana na kusaidia kuleta mabadiriko ndani ya chadema mpaka kukifanya kuwa chama kikuu Cha upinzani
Miaka 22? Mabadiliko gani hayo ambayo ameyaleta?

Makao Makuu ya Chadema yapo wapi?

Ni aibu chama kama Chadema kupqnga upande wa room 2 kama ofisi na Makao Makuu ya chama.
 
Sijawahi kushuhudia uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Taifa ukifanyika, demokrasia ndani ya CCM ni finyu mno, mwenyekiti hachaguliwi bali anapitishwa tu na wajumbe wa mkutano mkuu.
 
Naona Allah's warrior umeamka tena na Chadema asubuhi asubuhi! 🤣
Jibu hoja achana na kutukana Waislam hata Chadema wapo Waislam.

Jibu hoja…

Kumbe ndiyo maana Mbowe kwa miaka 22 mwenyekiti CHADEMA.

Chama kina wanachama na wafuasi wapumbavu hadi inatia huruma yaaani.
 
Sijawahi kushuhudia uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Taifa ukifanyika, demokrasia ndani ya CCM ni finyu mno, mwenyekiti hachaguliwi bali anapitishwa tu na wajumbe wa mkutano mkuu.
Kwa hiyo na nyie Chadema mnapata excuse ya Mbowe kuwa Mweyekiti wa maisha?
 
Jibu hoja achana na kutukana Waislam hata Chadema wapo Waislam.

Jibu hoja…

Kumbe ndiyo maana Mbowe kwa miaka 22 mwenyekiti CHADEMA.

Chama kina wanachama na wafuasi wapumbavu hadi inatia huruma yaaani.
Ahaa Allah warrior vipi mazee! Mimi sina uhusiano wowote na Chadema. Mimi na-deal na ma-warriors wa Allah wanaotumia dini kuposha siasa!
 
Ahaa Allah warrior vipi mazee! Mimi sina uhusiano wowote na Chadema. Mimi na-deal na ma-warriors wa Allah wanaotumia dini kuposha siasa!
Kwa akili hizi za kibumunda ndiyo watuashauri tudai Katiba Mpya?

Hahahaa
 
Sisi wananchi tuliojitokeza kwa Tume ya Waryoba na kutoa maoni yetu kuhusu hitaji la katiba mpya, tubadilishe nini kwanza ndio tupate katiba mpya?
Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
 
Mr warrior naona umepopteza tayari net za sense! Angalia usije ukaonyesha ushujaa hapa!
Ni mpumbavu pekee anaweza kuilinganisha CCM na CHADEMA.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo.

Hivi nyie mnajielewa kweli?🤒
 
Ni mpumbavu pekee anaweza kuilinganisha CCM na CHADEMA.

Ni sawa na kulinganisha kifo na Usingizi.

CCM ni chama chenye nguvu Ukanda wa Africa Mashariki, Kati hadi Kusini.

Ufipa ni chama chenye nguvu Machame na maeneo ya Moshi, Hadi Himo.

Hivi nyie mnajielewa kweli?🤒
Allah warrior bwana. Nani kalinganisha ni mwa-attach...-wack wock wack! Niambie ewe shujaa
 
ACHA UJINGA. Thibitisha chadema hakuna demokrasia
Swali simple tu vijana wa CHADEMA mapovu pipa zima. 😤😁
CHADEMA tufundisheni neno “demokrasia” kwenye jina la chama chenu linamaanisha nini kama chama kinaweza kuwa na mwenyekiti wa milele (miaka takribani 22)

Wewe unaona ni sawa?
 
Mbona hueleweki unataka nini! au hoja yako haswa ni nini?

Katiba mpya na utawala wa CCM au Chadema inahusiana nini? Kwenye uhai wa nchi we unaleta mambo ya vyama. katiba mpya ni zaidi ya vyama vya siasa.
KUBALINI UKWELI CHADEMA FANYENI MAREKEBISHO YA KATIBA YENU KWANZA
 
Back
Top Bottom