SEMA UNAHASIRA PEKEYAKO KWA SABABU ZAKO USISEMEE WENGNE MBONA MIMI SINA HASIRA RELAX BRO UTAKUFA SIKU SI ZAKO NA MIHASIRA ISIYO NA MAANASema watanzania ni wakimya Sana. Lakini ukiitishwa uchaguzi wa haki na time ikasimamia kwa haki CCM mtaambulia 0%.
Watu wanahasira za kufa mtu. Tunawaona hata huko kwenye misiba wanapotoa salamu watu wanvyoguna na kutoa macho Kama wanataka kumrukia mtu.