CHADEMA, kabla ya kudai Katiba Mpya fanyeni mabadiliko kwenye chama chenu

CHADEMA, kabla ya kudai Katiba Mpya fanyeni mabadiliko kwenye chama chenu

Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
Dada shonza wamekusikia,eti mama salma na mwanae wote wamerithishwa ubunge
 
Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
Dhumuni la katiba mpya sio kuing'oa CCM madarakani bali ni kuweka misingi thabiti ya maendeleo na ustawi wa watanzania wote bila kujali itikadi zao kwa kubainisha haki na wajibu wa viongozi kwa wananchi na wananchi kwa taifa lao. Tofautisha siasa chafu na mambo ya msingi
 
SEMA UNAHASIRA PEKEYAKO KWA SABABU ZAKO USISEMEE WENGNE MBONA MIMI SINA HASIRA RELAX BRO UTAKUFA SIKU SI ZAKO NA MIHASIRA ISIYO NA MAANA
Sina hasira ila ninauchungu na nchi ya Tanzania brooo. Ila wewe ndiye mwenye hasira. Kama huna hasira na Mbowe kwa Nini anakunyima usingizi? Mbowe ni professional, ni mwanaharakati aliyekomaaa. Angalia nchi ilivyonyong'onyea Kama wapo kwenye Msiba.

Tunakata tusikie taariza za mikoani Nini kimeongezeka kwa ajili ya kipato kwa wananchi wake. Sio kila siku malalamiko ya ngpno.
 
Sina hasira ila ninauchungu na nchi ya Tanzania brooo. Ila wewe ndiye mwenye hasira. Kama huna hasira na Mbowe kwa Nini anakunyima usingizi? Mbowe ni professional, ni mwanaharakati aliyekomaaa. Angalia nchi ilivyonyong'onyea Kama wapo kwenye Msiba.

Tunakata tusikie taariza za mikoani Nini kimeongezeka kwa ajili ya kipato kwa wananchi wake. Sio kila siku malalamiko ya ngpno.
tena mbowe sasa hivi hana makali tena ameshalegea kama lishoga tu linavyokuwa yaani hata jina la mwamba msimwite tena yaani amekuwa mtu wa kuwafookea msiitukane serikali? hazungumzii katiba mpya tena yaani mmepigwa na kitu kizito
 
tena mbowe sasa hivi hana makali tena ameshalegea kama lishoga tu linavyokuwa yaani hata jina la mwamba msimwite tena yaani amekuwa mtu wa kuwafookea msiitukane serikali? hazungumzii katiba mpya tena yaani mmepigwa na kitu kizito
Mbowe kiboko yenu. Anawatime muingie kumi na nane zake. Kutulia kwake msimwone bwege. Akitoa kichwa msianze kukimbilia silaha na vitisho. Mfuate Hilo likatiba lenu lenye maviraka mpa limechoka linasema halitaki tena repea.

Ndiye maana awamu ya 5 mwendazake alikuja na katiba yake kichwani. Kumbuka
 
Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
Mr Ritz unasema hivyo kama Mtanzania mwingine au msimamo wa chama chako au serikali?
 
tena mbowe sasa hivi hana makali tena ameshalegea kama lishoga tu linavyokuwa yaani hata jina la mwamba msimwite tena yaani amekuwa mtu wa kuwafookea msiitukane serikali? hazungumzii katiba mpya tena yaani mmepigwa na kitu kizito
Huo ni mtazamo potofu tuona yajayo yatakufurahisha au kukuhuzunisha?
 
Mbona hueleweki unataka nini! au hoja yako haswa ni nini?

Katiba mpya na utawala wa CCM au Chadema inahusiana nini? Kwenye uhai wa nchi we unaleta mambo ya vyama. katiba mpya ni zaidi ya vyama vya siasa.
Nilijua tu lazima lije jibu kama hili.
Hahahahahaaaaaaaaa
 
Unajielewa kweli brother?

Freeman Mbowe ni Mkwe wa Mzee Edwin Mtei

Freeman Aikael Mbowe ameoa mtoto wa kike wa mzee Mtei (muasisi na mmiliki wa CHADEMA)

Sasa hauoni chama ni kama ‘Group la WhatsApp la FaVigogo

Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
Ila vigogo wa CCM kina Nyerere,Mwinyi,Mkapa,Kikwete,Makamba,Nnauye,Pinda nk kujaza watoto wao chamani na serikalini unaona poa tu!
 
Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
Mwehu amezinduka, kaeni chonjo!

Hoja ni katiba mpya!
 
Unajielewa kweli brother?

Freeman Mbowe ni Mkwe wa Mzee Edwin Mtei

Freeman Aikael Mbowe ameoa mtoto wa kike wa mzee Mtei (muasisi na mmiliki wa CHADEMA)

Sasa hauoni chama ni kama ‘Group la WhatsApp la Familia”?
Wewe hukunielewa ebu rudia tena kusoma andiko langu.
 
Unadhani hauna uhakika?

Freeman Mbowe mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka takribani 22 hawezi kutuambia anapigania ‘demokrasia’

Ni demokrasia gani iko CHADEMA?

Kwamba miaka 22 ni Mbowe pekee anayeweza kuwa mwenyekiti?
Hunaonekana hufahamu maana ya demokrasia. Na kama unafahamu naomba ueleze kwa ufahamu wako nini maana ya demokrasia
 
MLIBADIRISHA MARA YAMWISHO LINI MWENYEKITI? UNADHANI WOTE WANARIDHIKA NA UONGOZI WA MBOWE ALIYESHINDWA HATA KUJENGA OFISI YA CHAMA?
Katiba ya ccm ina kikomo cha uwenyekiti??
 
Unahangaika sana kama kuku mwenye kideri.
Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
 
CHADEMA ni sehemu ya Tanzania ila sio Tanzania yenyewe kama ilivyo CCM. Tanzania ni kubwa kuliko CDM, CCM,NCCR,ACT n.k
Katiba mpya ni kwa ajili ya Tanzania yako wewe, na mke wako, na mchepuko wako na watoto wako.
Unaelewa maana ya demokrasia?

CHADEMA kina demokrasia gani?

Kama Mwalimu Nyerere baada ya Uhuru angempa nchi Shemeji yake, kisha akafuatia mkwe wake, watoto wake, ndugu zake leo tungekuwa na Rais Samia kutoka Zanzibar?

Mbowe ni Mkwe wa Edwin Mtei muasisi wa CHADEMA.
 
Kwani uhai wa nchi ni kuiondoa CCM madarakani?

Kabla ya kupewa nchi chadema ilipaswa kuwa mfano bora kuanzia uongozi wake yenyewe.

Miaka 30 kwenye siasa huku wakishindwa hata kujenga ofisi ya makao makuu ya chama.
Wanaishia kulipa pango kwa mke wa Anthony Komu?

Na pale waliposhitukiwa ndio chadema imejtahidi kununua ile nyumba ya mbele tu.

Chama cha Baba mkwe amempa mkwe wake Uenyekiti na hataki kubanduka.

Wapi usafi wao!

Je!
Wana tofauti gani na CCM hii ya Wahuni kina Nape?
CCM iliyo bara ni CCM ya mwendazake??? Rais na CCM mpya chapeni kazi. Mambo ya CDM waachiwe cdm.
 
Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
Pascal Mayalla mbona uko hivyo! Kabla ya kuunga mkono hoja ya Post hii ungeanza kuiangalia CCM kuendeshwa na familia za viongozi kuanzia babu mzaa babu wa baba, mtoto wa baba, mjukuu, kitukuu, bibi, shangazi, mama na dada, wote hawa ni wa familia moja na zimo familia nyingi za aina hiyo, kwa kifupi CCM imejaa majina yale yale ya tangu Uhuru.
 
Wanaukumbi.

CHADEMA mnatuambia tudai Katiba Mpya ili kuondoa mfumo wa chama dola (CCM) madarakani.

Hoja zenu ni kwamba CCM imeng’ang’ania Uongozi tangu 1961.

Vipi CHADEMA? kuna mabadiliko gani ya Uongozi tangu 1993?

Ni sahihi Edwin Mtei kumpa chama mkwewe aongoze kama familia?
Chadema si mnasema imekufa!!???
Mbona kila leo mnaanzisha nyuzi zake as if inawapa tumbo la kuhara!!!!
Mwambieni Mutungi akifute maana ndiyo fimbo yenu mnayoitegemea.
 
Back
Top Bottom