CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Kauli hiyo ya Mhe. Halima Mdee, ndio ukweli wa mambo na ndicho nilichokisema kwenye bandiko hili.
P
 
Kauli hiyo ya Mhe. Halima Mdee, ndio ukweli wa mambo na ndicho nilichokisema kwenye bandiko hili.
P
P.
Kwa kuongeza CHADEMA wana njia tatu kama hawawataki Halima na wenzake waendelee kuwa bungeni ;-
  1. Watimeze matakwa ya katiba yao ikiwemo kuitisha Baraza kuu ili liamue rufaa ya Mdee na wenzake na kukamilsha mchakato wa kumvua mtu uanachama. Hii itawaondelea laana ya Ndugai aliyowaachia- kufukuza watu uanachama kihunihuni;
  2. wawasiliane na tume ya uchaguzi kuthibitisha ni nani aliwapendekeza Halima na wenzake kulikopelekea tume kuwapa barua ya kuwatambulisha bungeni;
  3. kama kuna kugushi waende polisi ili waliogushi nyaraka za kupendekezwa kwa Halima na wenzake na hatimaye kuteuliwa na kutambulishwa bungeni achukuliwe hatua za kisheria
 
Ndugu,
Hiyo ni lugha ya wakandamizaji baada ya kudhani wanaweza kukandamiza mapenzi/mvuto uliyo mioyoni mwa wananchi. Yuda Iskariote alikubali kununulika yeye na (nyie) wa yake mliona ndio ujanja na hata ushujaa. Lakini baadae alipoanza kujuta alikuwa keshachelewa na ameishia kuwa mfano wa hovyo mpaka leo.
Pole sana yaonekana kabisa ulistahili kupata kura 1 kama alama kuwa huna jipya. Una bidii ya kuandika meeengi yasio saidia, kwa hilo uu sawa kabisa na kibatali kinachotoa moshi mwingi zaidi kuliko mwanga. AMEN
 
Shingo tunazo shupaza ni zetu acha kife kama inawezekana lkn sio kuupokea ushauri wenu sisi kama chama tunamaamuzi yetu nyie sisiemu hamuwezi kutupangia wala sisi hatuwezi kuwapangia mambo yenu
Afuu kwann mnapata tabu sana kwani Chadema ikifa nyie mnaumia na nini?
 
hizo sehemu mbili chadema hawawezi kuzifanya maana wanajuwa walichokifanya itabaki kuwasiri yao majinayalipelekwa hayakwenda yenyewe wakataka kubadirisha kihuni waioteuliwa wakakomaa barua zipo kihalali ndiyo maana hakuna fogery iliyofanyika wanayoweza kwenda mahakamani
 
Mkuu comte , naunga mkono hoja, huu ni ushauri wa busara sana kwa Chadema. Changamoto pekee ya utekelezaji wa hili ni, hali ya uchumi ya Chadema, wawaombe wajumbe wa BKU wajitolee kujitegemea, nauli, chakula na malazi, watumie kumbi za kawaida kama Kiramuu ukumbi watapewa bure, walimalize hili liishe, tena kiukweli ni ushamba tuu unawasumbua Chadema, wanaweza kufanya kikao cha BKU Virtually, kila mjumbe kule kule alipo.
  1. ewawasiliane na tuma e ya uchaguzi kuthibitisha ni nani aliwapendekeza Halima na wenzake kulikopelekea tzajume kuwapa barua ya kuwatambulisha bungeni;
Hili JJMnyika alijaribu sana, wakamgomea. My common sense logic inanieleza ni kiongozi yule yule, aliyepeleka majina NEC, amezuia NEC wasitoe barua.
  1. kama kuna kugushi waende polisi ili waliogushi nyaraka za kupendekezwa kwa Halima na wenzake na hatimaye kuteuliwa na kutambulishwa bungeni achukuliwe hatua za kisheria
Hili sasa ndilo neno, namhurumia sana JJMnyika, mwanzo alipokuwa anashadadia, he didn't know the games people plays, now he knows, kamwe hutakaa usikie Chadema, wakipeleke hili suala polisi kwasababu, they know, the truth.
P
 
Naunga mkono hoja.
P
 
Kauli hiyo ya Mhe. Halima Mdee, ndio ukweli wa mambo na ndicho nilichokisema kwenye bandiko hili.
P
Mayalla kwa sasa ni wa kuonewa huruma tu nadhani una stress sana.unaweza kutoa hoja nzuri mwisho unaharibu.kama hili la uchaguzi ni kweli CCM ilipita kihalali? Ndio maana hata vijana wadogo wanakudharau sana sasa hivi.kwa jina ulilojijengea ungekaa kimya ingekuwa bora sana kwako.kuna waandishi nguli kama wewe baada ya kuona sintofahamu wakati wa Magufuli hata sasa wamekaa kimya ili kulinda heshima zao ni ushauri tu.
 
Naunga mkono hoja.


P
 

Tofauti kubwa iliyopo kati ya Mayalla na journalists wengine ni kwamba Mayalla has the courage to stand up and be counted. In other words, haoni shida kusimamia opinions na beliefs zake hata zikiwa unpopular. Journalists walio wengi wanapenda herding (kuambatana na walio wengi) hata kama opinions na beliefs walizonazo ndani ya mioyo yao zinakinzana na za walio wengi. Kwa maneno mengine, ni journalists wanaojali zaidi popularity kuliko wanachokiamini.

Last but not least, Mayalla doesn’t attempt to hide his true identity, come hell or high water. Other professional journalists would rather use fake identities to publish their unpopular opinions and beliefs. Shujaa ni yule anayekaaniwa (na hata kusulubiwa) kwa kusimamia anachokiamini, sio yule anayesifiwa kwa kusimamia asichokiamini!
 
P.
CHADEMA wanajipambanua kuwa watu wa digitali; kama ni kweli hii ni fursa ya kuthibitsha hilo kwa kuandaa BKU kidigitali. Kuliko kuamru Padri (Bunge) kutoa talaka ya ndoa iliyofungwa na sheikh ( Tume ya Uchaguzi na Mshenga CHADEMA yenyewe)
 
Haya sasa natumaini baada ya hili kuzungumzwa na Spika, sasa ndio labda Chadema watasikia!. Majina yamepelekwa kihalali kabisa!.
P
 
Ukisikilza kesi ya Mbowe na wenzake huwezi kuhitimisha kwamba cdm ilishindwa kwa kiwango kile bali ulikuwa mpango cdm itoweke. Msikilize anaposema igp kuwa hatuwezi kutawaliwa na gaidi...
 
Mkuu mdudu , ni mambo madogo madogo kama haya, yanakifanya Chadema kuonekana very incompetent, suppose kungetokea muujiza Chadema ikashinda uchaguzi, ingetawalaje nchi huku vitu vidogo vidogo kama hivi inashindwa?!

Barua hiyo ya Chadema inasema wabunge hao 19, wamejiteua!. Jee Chadema wanajua barua ya uteuzi wa wabunge hao imeandikwa na nani?, imesainiwa na nani?, imepelekwa na nani?.

Namhurumia sana JJ.Mnyika, he just doesn't know the games people plays!.

Kabla ya kikao cha ile CC kangaroo court ya Chadema, JJ.Mnyika should have done a due diligence report kujua barua ya uteuzi wa majina hayo imeandikwa na nani? imesainiwa na nani? imepelekwa na nani?. Kama sio bonafide genuine Chadema leaders, then ni forgery, lkama ni forgery, then it's a police case, Chadema ilipaswa kuripoti polisi jinai hiyo, na jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa jinai hiyo.
Na baada tuu ya ile kangaroo court kikao cha Baraza Kuu kilipaswa kuitishwa to conclude this matter!.
Kama mnadhani Chadema hawajaripoti hii jinai kwa bahati mbaya, na mpaka sasa kikao cha Baraza Kuu hakijaitishwa kwa bahati mbaya tuu, endelea kuamini hivyo!. I'm sure by now, JJ.Mnyika knows the name of the games people plays!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…