CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

Wanabodi,

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.

Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, ni mambo ya ndani ya chama, kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, then hao wabunge 19 wa Chadema, hawahitaji kukata rufaa popote, wala kwenda mahakamani kupinga chochote, kwasababu Chadema haiwezi kufanya chochote. Sasa wataendelea na ubunge wao kama wabunge wa Taifa wa Chadema.



Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa
Kama nilivyowahi kushauri humu, ukosoaji wenye kujenga, huandamana na ushauri wa nini kifanyike kurekebisha kasoro hizi ili kuundoa ujinga huu unaoendelea nchini kwenye siasa zetu, haiwezekani kiongozi achaguliwe na umma wa Watanzania, halafu chama chake kwa sababu za kijinga jinga tuu, kimvue uanachama, ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ya kisiasa, ni lazima tubadilike, sheria za kijinga jinga zenye masharti ya kijinga jinga lazima tuzibadilishe.

  1. Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
  2. Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
  3. Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Update
Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.

Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.

Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.

Karibu tena.
P
VRUGJS7x_mini.jpg


Darmpya Blog

@darmpya_
· 17h
"Siamini kama nafasi zetu hapa bungeni ziko hatarini kwa sababu ya mabadiliko ya Spika,hatukuja hapa bungeni kwa bahati mbaya,sisi ni wabunge,tumeapa,ni wawakilishi wa chama, hivyo tunaendelea na kazi zetu kama kawaida"@halimamdee #BUNGENILEO
View attachment 2105323
Kauli hiyo ya Mhe. Halima Mdee, ndio ukweli wa mambo na ndicho nilichokisema kwenye bandiko hili.
P
 
Kauli hiyo ya Mhe. Halima Mdee, ndio ukweli wa mambo na ndicho nilichokisema kwenye bandiko hili.
P
P.
Kwa kuongeza CHADEMA wana njia tatu kama hawawataki Halima na wenzake waendelee kuwa bungeni ;-
  1. Watimeze matakwa ya katiba yao ikiwemo kuitisha Baraza kuu ili liamue rufaa ya Mdee na wenzake na kukamilsha mchakato wa kumvua mtu uanachama. Hii itawaondelea laana ya Ndugai aliyowaachia- kufukuza watu uanachama kihunihuni;
  2. wawasiliane na tume ya uchaguzi kuthibitisha ni nani aliwapendekeza Halima na wenzake kulikopelekea tume kuwapa barua ya kuwatambulisha bungeni;
  3. kama kuna kugushi waende polisi ili waliogushi nyaraka za kupendekezwa kwa Halima na wenzake na hatimaye kuteuliwa na kutambulishwa bungeni achukuliwe hatua za kisheria
 
Wanabodi,

Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na mkongojo, unamuona kabisa anahatari ya kuangamia, kwa kuelekea kwenye shimo, unajitolea kumnusuru kwanza kwa kumpigia kelele asimame, na kumweleza mbele kuna hatari, kisha una stretch a helping hand kumshika mkono kumsaidia kumrudisha kwenye mstari, kwenye njia sahihi. CHADEMA, kwa sasa, baada ya kipigo kitakatifu kwenye uchaguzi Mkuu uliopita ambao licha ya dosari ndogo ndogo ni ni huru na wa haki, ambapo upinzani umekataliwa na wananchi, Chadema kimepotea njia, kwa sasa kina hitaji kusaidiwa, kushikwa mkono kuonyeshwa the right way to go!, hiki ndicho ninachokifanya hapa.

Hivyo huu ni ushauri wangu kwa Chadema, Its do or die! Chadema is left with only two options, kuchagua kufa, au kuchagua kuendelea kuishi. The choice is theirs.

Ili CHADEMA kiendelee kuishi ni lazima kiukubali ukweli, kikubalini matokeo ya uchaguzi, kiandike barua NEC, kwanza kufanya due diligence ya majina hayo yamefikaje NEC, wakibaini ni kwa njia ya kughushi, then, this is criminal issue, sio tena issue ya Bunge au NEC, hii ni jinai, waanze kwa kuipeleka polisi, ili kuwaadhibu wahusika kwa kuwavua uanachama hao wahusika wakiwemo hao wasaliti 19, kisha kipeleke majina mapya 19, kiendelee kuvuta ruzuku and survives, or kiendelee kushupaza shingo, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hakimtambui rais wa Jamhuri ya Muungano wa hakilitambui Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, then CHADEMA will just go straight to hell by being buried 6ft Under!.

Mbele ya macho ya jamii, hao ambao kwao ni wasaliti, kwa wengine hao ni makamanda mashujaa wapambanaji ambao ni wa kiwango cha makomandoo, ambao wameipigania Chadema kwa machozi, jasho na damu, na licha ya kufutwa uanachama wa CHADEMA, wataendelea kuwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ubunge wao sasa utakuwa ni ubunge wa Spika, Ubunge wa Taifa.

Angalizo la Uelewa:
Naomba kutoa angalizo dogo kuhusu uwezo wa uelewa wa Watanzania wenzetu wengi kwenye complex issues kama hii, ni uelewa mdogo!, hivyo hili sakata la wabunge 19 wa Viti maalum CHADEMA, ni complex issue, kueleweka, inakubidi uwe na kichwa chenye uwezo wa uelewa wa kiwango hicho, hivyo wale wa uwezo wa uelewa wa wenzangu na mimi, mkiishia tuu kusoma heading na ku comment, nitawalewa sio kosa lenu, poleni. Ushauri wangu, ishieni hapa, huko mbele ndio mtapotea kabisa.

Wale wenzangu na mimi wa kuzama deep, twendeni mdogo mdogo, na ili uweze kuilewa vizuri mada hii iliyopo mezani, anzia hapa
Haki ya Kila Mtanzania Kushiriki Siasa

A Way Forward Kwa Chadema

Kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, maana yake, ni sio tuu, hailitambui Bunge, bali pia, hawamtambui Rais wa JMT. Hivyo hawana haja ya kuandika barua popote, na maadam, hawalitambui Bunge, basi iachane na hao wabunge wa Spika. Lakini kwa mfumo wetu, rais wa JMT ni executive president, ni rais mtendaji, kila kinachofanywa mamlaka zote za umma, kinafanywa kwa niaba ya rais wa JMT, ukiisha kuwa humtambui rais, hiyo maana yake pia hulitambui Bunge, kwasababu limetokana na uchaguzi batili, hivyo sasa hao wabunge makamanda 19 wa Chadema ambao kwa Chadema ni wasaliti, lakini kwa wengine ni mashujaa wa haki za wanawake, baada ya kufutwa uanachama wa Chadema, wanapaswa kupoteza ubunge wao, ili wafutwe ubunge huo, ni lazima Chadema, kwanza kikubali matokeo!, kiyatambue!, kiiandikie Tume ya Uchaguzi NEC, kuwa kimekubali matokeo na kimekubali kupokea nafasi zake 19 za viti maalum. Barua hiyo ionyeshe kuwa Chadema wamefanya due diligence na kubaini majina hayo yamefojiwa, hivyo iwakane, hao wabunge 19 waliojipeleka. NEC kwanza itajiridhisha kwamba ni kweli kulifanyika forgery ya hayo majina 19 wa mwanzo, kisha ni NEC ndio itamundikia Spika wa Bunge barua kutangaza nafasi hizo 19 za viti maalum Chadema ziko wazi, na kumpatia majina 19 mapya na halali ya viti maalum wa Chadema, hivyo Chadema wakiandika tuu barua, itakuwa ni wameutambua uchaguzi na wamekubali matokeo, Chadema will survive.

Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, ni mambo ya ndani ya chama, kama ni kweli Chadema haiyatambui matokeo ya uchaguzi, then hao wabunge 19 wa Chadema, hawahitaji kukata rufaa popote, wala kwenda mahakamani kupinga chochote, kwasababu Chadema haiwezi kufanya chochote. Sasa wataendelea na ubunge wao kama wabunge wa Taifa wa Chadema.

Wanachopaswa kufanya ni kutafuta eneo la ofisi hapo Dodoma, wafungue bank account, ruzuku yote ya Chadema, watakabidhiwa wao, na kulisongesha hadi 2025!. Uamuzi huu wa kulisongesha una changamoto moja, baadhi ya hao 19, ni wake wa ndoa wa wana CC wa Chadema, baadhi ni wenzi wanaoishi nao kinyumba kama mke na mume,na baadhi ni 'vidumu' vya viongozi wa Chadema, kuishi nyumba moja, kulala chumba kimoja, kitanda kimoja kati ya kiongozi halali wa Chadema na muasi, ni changamoto!, tena kuna wengine wameisha anza kujenga familia, familia zisiparanganyiwishwe na siasa za kujinga jinga kama hizi!.

Chadema wakiamua kuacha ujinga wa kujifanya hawayatambui matokeo, wakiyatambua, wataandika barua kwa NEC, copy kwa Spika kuwa, wabunge hao sio wanachama wao, wamewavua uanachama hao wasaliti 19, na badala yake, KM atangaze list ya wabunge wanawake wengine 19 wapya, ipeleke NEC, NEC wampe Spika, Spika awatangaze kuwatengua ubunge hao wabunge 19 wasaliti wafutwe ubunge na wabunge wapya wa Chadema waapishwe.
Zeozi hili lina changamoto 2 tuu, Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai, 2- Wameisha kopeshwa mkopo wa magari unaolipwa ndani ya miaka 5!.

Nini Kifanyike, A Way Forward Kitaifa
Kama nilivyowahi kushauri humu, ukosoaji wenye kujenga, huandamana na ushauri wa nini kifanyike kurekebisha kasoro hizi ili kuundoa ujinga huu unaoendelea nchini kwenye siasa zetu, haiwezekani kiongozi achaguliwe na umma wa Watanzania, halafu chama chake kwa sababu za kijinga jinga tuu, kimvue uanachama, ili Tanzania tupate maendeleo ya kweli ya kisiasa, ni lazima tubadilike, sheria za kijinga jinga zenye masharti ya kijinga jinga lazima tuzibadilishe.

  1. Tubadili sheria yetu ya uchaguzi, kile kipengele cha kudhaminiwa na chama kiishie kwenye uteuzi tuu, kiongozi akiishachaguliwa, anakuwa kiongozi wa watu, anaweza kuhama chama bila kupoteza uongozi wake kama ilivyo nchini Kenya na nchi nyingine zenye kuheshimu demokrasia ya kweli na sio hii demokrasia fake ya vyama!.
  2. Tubadili Katiba yetu na sheria yetu ya uchaguzi, kwa kuondoa kipengele cha kudhaminiwa na vyama ili kila Mtanzania mwenye sifa za kugombea uongozi wa nafasi yoyote, aruhusiwe, ila kwenye urais, tuweke vigezo vya ziada, ili asijetokea tajiri mmoja mwenye ukwasi wa kuwanunua watanzania wote, tukajikuta tuna rais wa kununuliwa. Ila kwenye ubunge, udiwani na serikali za mtaa, kila mtu awe free kugombea, hivyo tuwe na wagombea huru, na wagombea binafsi.
  3. Tuibadili Tume yetu ya Uchaguzi iwe Tume huru zaidi na shirikishi, tujenge uwanja sawa wa ushindani wa haki kwa vyama vyote, uchaguzi uendeshwe kwa transparency ya hali ya juu kwa kuruhusu mawakala hadi kwenye tallying, na vyama au taasisi zozote ziwe free kuwa na tallying centers zake, kitu ambacho hakitaruhusiwa na talling centers hizo ni kutangaza matokeo, kama matokeo yote ya uchaguzi hadi wa rais yanahesabiwa kituoni na kubandikwa ukutani, kama hakuna jambo lolote la kificho, yaani nothing to hide, kwanini uzuie independent tallying?!. Uchaguzi wa 2025, kila mwenye uwezo wa kufanya tallying aruhusiwe afanye ila zisitangaze matokeo, hii itazuia bao la mkono!
Hitimisho
Ili Taifa letu lipate maendeleo ya kweli, ni lazima sisi Watanzania tukubali kuwa wakweli toka ndani ya nafsi zetu, kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa na kufanya siasa za ukweli, naamini kabisa rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli, anaweza kuleta maendeleo ya kweli ya taifa letu la Tanzania kwa kuleta maendeleo ya kiuchumi na wakati huo huo akiiacha demokrasia ikishamiri.

Nawatakia Jumanne Njema.

Paskali
Update ya Mchango Very Objective

Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.

Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.

Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.

Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.

Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.

Karibu tena.
P
Ndugu,
Hiyo ni lugha ya wakandamizaji baada ya kudhani wanaweza kukandamiza mapenzi/mvuto uliyo mioyoni mwa wananchi. Yuda Iskariote alikubali kununulika yeye na (nyie) wa yake mliona ndio ujanja na hata ushujaa. Lakini baadae alipoanza kujuta alikuwa keshachelewa na ameishia kuwa mfano wa hovyo mpaka leo.
Pole sana yaonekana kabisa ulistahili kupata kura 1 kama alama kuwa huna jipya. Una bidii ya kuandika meeengi yasio saidia, kwa hilo uu sawa kabisa na kibatali kinachotoa moshi mwingi zaidi kuliko mwanga. AMEN
 
Shingo tunazo shupaza ni zetu acha kife kama inawezekana lkn sio kuupokea ushauri wenu sisi kama chama tunamaamuzi yetu nyie sisiemu hamuwezi kutupangia wala sisi hatuwezi kuwapangia mambo yenu
Afuu kwann mnapata tabu sana kwani Chadema ikifa nyie mnaumia na nini?
 
  1. wawasiliane na tume ya uchaguzi kuthibitisha ni nani aliwapendekeza Halima na wenzake kulikopelekea tume kuwapa barua ya kuwatambulisha bungeni;
  2. kama kuna kugushi waende polisi ili waliogushi nyaraka za kupendekezwa kwa Halima na wenzake na hatimaye kuteuliwa na kutambulishwa bungeni achukuliwe hatua za kisheria
hizo sehemu mbili chadema hawawezi kuzifanya maana wanajuwa walichokifanya itabaki kuwasiri yao majinayalipelekwa hayakwenda yenyewe wakataka kubadirisha kihuni waioteuliwa wakakomaa barua zipo kihalali ndiyo maana hakuna fogery iliyofanyika wanayoweza kwenda mahakamani
 
P.
Kwa kuongeza CHADEMA wana njia tatu kama hawawataki Halima na wenzake waendelee kuwa bungeni ;-
  1. Watimize matakwa ya katiba yao ikiwemo kuitisha Baraza kuu ili liamue rufaa ya Mdee na wenzake na kukamilsha mchakato wa kumvua mtu uanachama. Hii itawaondelea laana ya Ndugai aliyowaachia- kufukuza watu uanachama kihunihuni;
Mkuu comte , naunga mkono hoja, huu ni ushauri wa busara sana kwa Chadema. Changamoto pekee ya utekelezaji wa hili ni, hali ya uchumi ya Chadema, wawaombe wajumbe wa BKU wajitolee kujitegemea, nauli, chakula na malazi, watumie kumbi za kawaida kama Kiramuu ukumbi watapewa bure, walimalize hili liishe, tena kiukweli ni ushamba tuu unawasumbua Chadema, wanaweza kufanya kikao cha BKU Virtually, kila mjumbe kule kule alipo.
  1. ewawasiliane na tuma e ya uchaguzi kuthibitisha ni nani aliwapendekeza Halima na wenzake kulikopelekea tzajume kuwapa barua ya kuwatambulisha bungeni;
Hili JJMnyika alijaribu sana, wakamgomea. My common sense logic inanieleza ni kiongozi yule yule, aliyepeleka majina NEC, amezuia NEC wasitoe barua.
  1. kama kuna kugushi waende polisi ili waliogushi nyaraka za kupendekezwa kwa Halima na wenzake na hatimaye kuteuliwa na kutambulishwa bungeni achukuliwe hatua za kisheria
Hili sasa ndilo neno, namhurumia sana JJMnyika, mwanzo alipokuwa anashadadia, he didn't know the games people plays, now he knows, kamwe hutakaa usikie Chadema, wakipeleke hili suala polisi kwasababu, they know, the truth.
P
 
hizo sehemu mbili chadema hawawezi kuzifanya maana wanajuwa walichokifanya itabaki kuwasiri yao majinayalipelekwa hayakwenda yenyewe wakataka kubadirisha kihuni waioteuliwa wakakomaa barua zipo kihalali ndiyo maana hakuna fogery iliyofanyika wanayoweza kwenda mahakamani
Naunga mkono hoja.
P
 
Kauli hiyo ya Mhe. Halima Mdee, ndio ukweli wa mambo na ndicho nilichokisema kwenye bandiko hili.
P
Mayalla kwa sasa ni wa kuonewa huruma tu nadhani una stress sana.unaweza kutoa hoja nzuri mwisho unaharibu.kama hili la uchaguzi ni kweli CCM ilipita kihalali? Ndio maana hata vijana wadogo wanakudharau sana sasa hivi.kwa jina ulilojijengea ungekaa kimya ingekuwa bora sana kwako.kuna waandishi nguli kama wewe baada ya kuona sintofahamu wakati wa Magufuli hata sasa wamekaa kimya ili kulinda heshima zao ni ushauri tu.
 
Mayalla kwa sasa ni wa kuonewa huruma tu nadhani una stress sana.unaweza kutoa hoja nzuri mwisho unaharibu.kama hili la uchaguzi ni kweli CCM ilipita kihalali? Ndio maana hata vijana wadogo wanakudharau sana sasa hivi.kwa jina ulilojijengea ungekaa kimya ingekuwa bora sana kwako.kuna waandishi nguli kama wewe baada ya kuona sintofahamu wakati wa Magufuli hata sasa wamekaa kimya ili kulinda heshima zao ni ushauri tu.
Naunga mkono hoja.


P
 
Mayalla kwa sasa ni wa kuonewa huruma tu nadhani una stress sana.unaweza kutoa hoja nzuri mwisho unaharibu.kama hili la uchaguzi ni kweli CCM ilipita kihalali? Ndio maana hata vijana wadogo wanakudharau sana sasa hivi.kwa jina ulilojijengea ungekaa kimya ingekuwa bora sana kwako.kuna waandishi nguli kama wewe baada ya kuona sintofahamu wakati wa Magufuli hata sasa wamekaa kimya ili kulinda heshima zao ni ushauri tu.

Tofauti kubwa iliyopo kati ya Mayalla na journalists wengine ni kwamba Mayalla has the courage to stand up and be counted. In other words, haoni shida kusimamia opinions na beliefs zake hata zikiwa unpopular. Journalists walio wengi wanapenda herding (kuambatana na walio wengi) hata kama opinions na beliefs walizonazo ndani ya mioyo yao zinakinzana na za walio wengi. Kwa maneno mengine, ni journalists wanaojali zaidi popularity kuliko wanachokiamini.

Last but not least, Mayalla doesn’t attempt to hide his true identity, come hell or high water. Other professional journalists would rather use fake identities to publish their unpopular opinions and beliefs. Shujaa ni yule anayekaaniwa (na hata kusulubiwa) kwa kusimamia anachokiamini, sio yule anayesifiwa kwa kusimamia asichokiamini!
 
Mkuu @comte , naunga mkono hoja, huu ni ushauri wa busara sana kwa Chadema. Changamoto pekee ya utekelezaji wa hili ni, hali ya uchumi ya Chadema, wawaombe wajumbe wa BKU wajitolee kujitegemea, nauli, chakula na malazi, watumie kumbi za kawaida kama Kiramuu ukumbi watapewa bure, walimalize hili liishe, tena kiukweli ni ushamba tuu unawasumbua Chadema, wanaweza kufanya kikao cha BKU Virtually, kila mjumbe kule kule alipo.
P.
CHADEMA wanajipambanua kuwa watu wa digitali; kama ni kweli hii ni fursa ya kuthibitsha hilo kwa kuandaa BKU kidigitali. Kuliko kuamru Padri (Bunge) kutoa talaka ya ndoa iliyofungwa na sheikh ( Tume ya Uchaguzi na Mshenga CHADEMA yenyewe)
 
Wanabodi,

Kwa vile wabunge hao wameisha apishwa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, hata kama Chadema imewafuta uanachama, kuwafuta huko uanachama ni batili, kwasababu kumeendeshwa na a kangaroo court ya CC ya Chadema bila kuzingatia, katiba ya nchi, sheria za nchi, katiba ya Chadema, sheria, taratibu na kanuni, mfano CC ya Chadema, sio mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha, hivyo CC hiyo, imepata wapi mamlaka ya kumtimua Mwenyekiti wa Bawacha?. Mamlaka yake ya nidhamu ni Bazara Kuu!. Kwanini Chadema haitishi Baraza Kuu?, ili kuyapindua maamuzi batili ya CC Kangaroo court ya Chadema?.

Kupelekwa kwa majina hayo 19 ni mambo ya ndani ya Chadema, ingekuwa kuna forgery, Chadema wangeisha chukua hatua za kisheria.

Paskali.
Spika Dkt. Tulia Ackson amesema kuwa Wabunge 19 wa Viti Maalum wa CHADEMA ni halali, kwani wangekuwa haramu wasingekuwepo bungeni. Amesema bunge likipewa taarifa rasmi kuwa wamefukuzwa uanachama, watakoma kuwa wabunge, kwani mbunge sharti awe mwanachama wa chama cha siasa.
Haya sasa natumaini baada ya hili kuzungumzwa na Spika, sasa ndio labda Chadema watasikia!. Majina yamepelekwa kihalali kabisa!.
P
 
Ukisikilza kesi ya Mbowe na wenzake huwezi kuhitimisha kwamba cdm ilishindwa kwa kiwango kile bali ulikuwa mpango cdm itoweke. Msikilize anaposema igp kuwa hatuwezi kutawaliwa na gaidi...
 
Mkuu mdudu , ni mambo madogo madogo kama haya, yanakifanya Chadema kuonekana very incompetent, suppose kungetokea muujiza Chadema ikashinda uchaguzi, ingetawalaje nchi huku vitu vidogo vidogo kama hivi inashindwa?!

Barua hiyo ya Chadema inasema wabunge hao 19, wamejiteua!. Jee Chadema wanajua barua ya uteuzi wa wabunge hao imeandikwa na nani?, imesainiwa na nani?, imepelekwa na nani?.

Namhurumia sana JJ.Mnyika, he just doesn't know the games people plays!.

Kabla ya kikao cha ile CC kangaroo court ya Chadema, JJ.Mnyika should have done a due diligence report kujua barua ya uteuzi wa majina hayo imeandikwa na nani? imesainiwa na nani? imepelekwa na nani?. Kama sio bonafide genuine Chadema leaders, then ni forgery, lkama ni forgery, then it's a police case, Chadema ilipaswa kuripoti polisi jinai hiyo, na jeshi la polisi kufanya uchunguzi wa jinai hiyo.
Na baada tuu ya ile kangaroo court kikao cha Baraza Kuu kilipaswa kuitishwa to conclude this matter!.
Kama mnadhani Chadema hawajaripoti hii jinai kwa bahati mbaya, na mpaka sasa kikao cha Baraza Kuu hakijaitishwa kwa bahati mbaya tuu, endelea kuamini hivyo!. I'm sure by now, JJ.Mnyika knows the name of the games people plays!.
P
 
Back
Top Bottom