Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Aaah Ila yaliyotokea kila sehemu yalifanana,kuzikimbia ofisi,kutopokea fomu,kuwapokonya mawakala wa upinzani fomu, kuwafukuza mawakala wa upinzani.Waliitwa kupewa maagizo ya kusimamia utendaji kazi wa Ccm. Ili ilani ya Ccm itekelezwe vizuri.
Chadema ina nguvu kuliko ilivyokuwa huko nyuma
Kama hayo yakitokea nini kinatakiwa kufanywa? Kususia uchaguzi au kwenda mahakamani?Aaah Ila yaliyotokea kila sehemu yalifanana,kuzikimbia ofisi,kutopokea fomu,kuwapokonya mawakala wa upinzani fomu, kuwafukuza mawakala wa upinzani.
Hivi chama kinachobebwa na polisi badala ya hoja utasema vipi ni chama pendwa.Mnakubalika au mnalazimisha kukubalika
Kama ni mfu mbona gharama kubwa za Kodi zetu zinatumika kupambanaChadema ilishajifuta tayari kwani hata huoni mwelekeo wa chama chenyewe?
Mahakama ipiKama hayo yakitokea nini kinatakiwa kufanywa? Kususia uchaguzi au kwenda mahakamani?
Ni kustaki kwa wananchi,na majibu mliyapata mlijipigia kura wenyewe,Kama hayo yakitokea nini kinatakiwa kufanywa? Kususia uchaguzi au kwenda mahakamani?
Wewe una miaka mingapi ili tujue kama hiyo miaka 50 iliyopita ulikuwepo!Miaka 50 Nchi haina maendeleo wakati ina rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani kama siyo CCM leo Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kuliko South Africa na hata Oman
Zipi?Kama ni mfu mbona gharama kubwa za Kodi zetu zinatumika kupambana
Pamoja na hii story, bado jamaa hakujifunza kupambana ila akaamua achague njia rahisi.From brother Julius S. Mtatiro
____________________
Wakati fulani nikisoma shule ya Sekondari, baba alikuja kunitembelea shuleni, nikashangaa kwa nini amekuja kwa miguu na ana mavumbi mengi miguuni?
Akanikabidhi TZS 12,000/= yani 10,000/= ya kulipia hostel na 2,000/= ya matumizi. Nikamuuliza mbona leo huna baiskeli? (mara zote alikuwa akiendesha baiskeli 40kms kuja shuleni). Akanijibu "...nimekuja kwa basi", nikaamini ni kweli!
_
Miaka mitano baadaye, nikiwa Chuo Kikuu, wakati nimerudi likizo nyumbani, nikawa nimekaa nje saa za usiku mnene, niko na baba akinipigia stori za vita za Uganda, Msumbiji nk.
Ghafla akanipigia stori iliyomkuta miaka 5 iliyopita, kwamba alikuwa na shilingi 12,000 tu ndani, akapata taarifa kuwa wanafunzi wanarudishwa kwa kutolipa hela za hostel. Akafunga safari ya baiskeli kuja shuleni kwetu (alikuwa anaanza safari zake saa 8 au 9 usiku), ili kuniletea ile pesa, safari ya kilomita 40.
Alipofika kilomita 13 baiskeli ikaharibika, "tyre tube" ya nyuma ikapasuka, ikawa haifai. Akaamua kuacha baiskeli kwa wenyeji na kuanza safari ya saa nyingi kwa mguu hadi shuleni kwetu, zaidi ya kilomita 27.
Akafika ametabasamu ana furaha mno, akanikabidhi zile pesa na akaanza safari nyingine ya kilomita 27 + 13, ananiambia alifika nyumbani kesho yake.
Usiku nilipojua safari ile ya Mzee wangu nililia sana, sikulala, ilinipasa nijitafakari juu ya huyu mtu anayeitwa BABA, ambaye yuko tayari kufa na kutokwa jasho la damu kwa ajili ya familia yake.
_
Kila mwanaume 1 anaporudi nyumbani, anaenda kuipa matumaini, familia yake, hata kama hana senti tano! Uwepo wake na tabasamu na kurudi kwake, kunainong'oneza familia "IPO KESHO....KUNA MAISHA BADO....TUNA ULINZI WA KUTOSHA. BADO LIPO TUMAINI.."
_
Hadithi ya baba yangu mzazi, inatukumbusha mwanaume anatembea na mengi sana kichwani na moyo wake, na hawezi kuyasema, kama wanaume wangelikuwa wanawaeleza wake zao namna wanavyopambana kwa ajili ya familia zao, wanawake wangelikufa kwa mshtuko.
And you know what? Baba hakuwahi kumpigia mama hii stori, hadi mimi nilipomsimulia mama.
Si ajabu ndiyo maana wanaume tunakufa mapema, maana tunauawa na mengi!
Kama ni kweli,tumuogope Mungu.Kuna leo na kesho.Upinzani hauwanyimi usingizi wananchi.Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Inaweza kupigwa kama sehemu ya kutafuta ushahidiMAITI HUWA HAIPIGWI RISASI MARA MBILI
Kwa hali iliyonayo Chadema unaifuta ili iweje? Ni sawa na mgonjwa yupo ICU halafu unasema madaktari wanataka kumuua, wakati unaona kabisa wakati wowote anaweza kujifia mwenyewe.Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Muiteni Dr. Mauki aje asome Jf sio anakurupuka tu kupost utoporo huko TwitterFrom brother Julius S. Mtatiro
____________________
Wakati fulani nikisoma shule ya Sekondari, baba alikuja kunitembelea shuleni, nikashangaa kwa nini amekuja kwa miguu na ana mavumbi mengi miguuni?
Akanikabidhi TZS 12,000/= yani 10,000/= ya kulipia hostel na 2,000/= ya matumizi. Nikamuuliza mbona leo huna baiskeli? (mara zote alikuwa akiendesha baiskeli 40kms kuja shuleni). Akanijibu "...nimekuja kwa basi", nikaamini ni kweli!
_
Miaka mitano baadaye, nikiwa Chuo Kikuu, wakati nimerudi likizo nyumbani, nikawa nimekaa nje saa za usiku mnene, niko na baba akinipigia stori za vita za Uganda, Msumbiji nk.
Ghafla akanipigia stori iliyomkuta miaka 5 iliyopita, kwamba alikuwa na shilingi 12,000 tu ndani, akapata taarifa kuwa wanafunzi wanarudishwa kwa kutolipa hela za hostel. Akafunga safari ya baiskeli kuja shuleni kwetu (alikuwa anaanza safari zake saa 8 au 9 usiku), ili kuniletea ile pesa, safari ya kilomita 40.
Alipofika kilomita 13 baiskeli ikaharibika, "tyre tube" ya nyuma ikapasuka, ikawa haifai. Akaamua kuacha baiskeli kwa wenyeji na kuanza safari ya saa nyingi kwa mguu hadi shuleni kwetu, zaidi ya kilomita 27.
Akafika ametabasamu ana furaha mno, akanikabidhi zile pesa na akaanza safari nyingine ya kilomita 27 + 13, ananiambia alifika nyumbani kesho yake.
Usiku nilipojua safari ile ya Mzee wangu nililia sana, sikulala, ilinipasa nijitafakari juu ya huyu mtu anayeitwa BABA, ambaye yuko tayari kufa na kutokwa jasho la damu kwa ajili ya familia yake.
_
Kila mwanaume 1 anaporudi nyumbani, anaenda kuipa matumaini, familia yake, hata kama hana senti tano! Uwepo wake na tabasamu na kurudi kwake, kunainong'oneza familia "IPO KESHO....KUNA MAISHA BADO....TUNA ULINZI WA KUTOSHA. BADO LIPO TUMAINI.."
_
Hadithi ya baba yangu mzazi, inatukumbusha mwanaume anatembea na mengi sana kichwani na moyo wake, na hawezi kuyasema, kama wanaume wangelikuwa wanawaeleza wake zao namna wanavyopambana kwa ajili ya familia zao, wanawake wangelikufa kwa mshtuko.
And you know what? Baba hakuwahi kumpigia mama hii stori, hadi mimi nilipomsimulia mama.
Si ajabu ndiyo maana wanaume tunakufa mapema, maana tunauawa na mengi!
Kwa ujinga wako unaona DJ ni tusi? Sasa Mbona huyo DJ ndiyo inatumika pesa nyingi gharama kubwa kumdhoofisha? Madagaskar Rais wao alikuwa DJ na sasa kawa wa kwanza kugundua dawa ya corona, UDJ ni kazi ya burudani upendo siyo ujambazi, hata wabunge maprofesa wa CCM huzidiwa hoja na wabunge darasa la saba akina musukuma, kibajaji na wenzao wenye Elimu ya kawaida tu, na kama ni uchafu saccos acheni wananchi ndiyo waamue wenyewe acheni kutumia mabilioni ya walipa kodi kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi.Ikiwezekana kifutwe tu ni uchafu tu unaoendelea humo Sacco's ya DJ makengeza kula michango ya wabunge kuzini na viti maalumu wabunge wawili wa kike wanasagana laana juu ya laana
Kwa kuwa mpiga kura hasaminiwi Tz inawezekana kabisa Chadema kupewa kura zero na Tume ya uchaguzi.Chadema ilishajifuta yenyewe tayari October wakipata hata mbunge mmoja wakatambike!
Huhitaji kusubiriTusubiri baada ya October 2020 tutajua kama kweli Chadema iko moyoni mwa watz ama la!
Hakuna wa kuifuta CHADEMA. Kama kuna ufisadi au rushwa wataadhibiwa wahusika na wala sio taasisi CHADEMA. Ila inasikitisha CHADEMA watajitoa uchaguzi mkuu kwa kuogopa aibu ya kushindwa vibaya japo watatoa sababu nyingine na kuwaomba vyama vingine vijitoe japo sio vyote vitakavyokubaliKuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Wewe ndio mjinga unaona udj ni tusi udj ndio fani yake professional, mbowe hana stara amekuwa mzinzi wa kutupwa viti maalumu ndio chakula Chake bila kufikiria Wana waume zao wengine ni viongozi humo Sacco's haitoshi usagaji umetamalaki Kama sio uchafu ni niniKwa ujinga wako unaona DJ ni tusi? Sasa Mbona huyo DJ ndiyo inatumika pesa nyingi gharama kubwa kumdhoofisha? Madagaskar Rais wao alikuwa DJ na sasa kawa wa kwanza kugundua dawa ya corona, UDJ ni kazi ya burudani upendo siyo ujambazi, hata wabunge maprofesa wa CCM huzidiwa hoja na wabunge darasa la saba akina musukuma, kibajaji na wenzao wenye Elimu ya kawaida tu, na kama ni uchafu saccos acheni wananchi ndiyo waamue wenyewe acheni kutumia mabilioni ya walipa kodi kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi.