Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Mkuu zito!hv kule zanzibar ccm wapo tayari kumsaliti dr.Hussein mwinyi ili maalim seif ashinde ????mi nadhani kile kikao cha ikulu cha akina seifu na mbatia ni changa la macho tu!!!!reserve my coment!!!ccm ni joka limezalo!!!kwa mujibu wa sheria Chama hakiwezi kufutwa Mwaka wa Uchaguzi. Puuza hayo mambo
Shida ni akidi tu hata lile la Sitta,Makinda upinzani haujawahi kuwa na athari kwenye maamuzi yoyote.Bunge la Tanzania kwa sasa linaendeshwa kwa mujibu wa Sheria binafsi za Ndungai siyo kwa mujibu wa Sheria za jamhuri ya muungano wa Tanzania
Njia pekee ya ccm kuendelea kuwaburuza watanzania ni kuifuta Chadema , vinginevyo watakwishaKuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Uchaguzi ukiwa huru na haki kwa Tanzania ni vigumu CCM ishinde watanzania wapo tayari kupigia hata kivuli kuliko kuipigia CCM iliyodumaza maendeleo kwa miaka 50 na sasa badala ya viwanda imekuwa ni Serikali ya Kesi kesi kesi kutwa zoteHakuna wa kuifuta CHADEMA. Kama kuna ufisadi au rushwa wataadhibiwa wahusika na wala sio taasisi CHADEMA. Ila inasikitisha CHADEMA watajitoa uchaguzi mkuu kwa kuogopa aibu ya kushindwa vibaya japo watatoa sababu nyingine na kuwaomba vyama vingine vijitoe japo sio vyote vitakavyokubali
Kama chadema ingekuwa hivyo wewe usingekuwa kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwenye uchaguzi mbalimbali ungeacha wananchi waamue wenyewechadema kinafanyia kazi mambo ya mitandaoni ya uzushi.
Yani wewe, Mbowe kila ninapowatazama huwa napata hasira flani.kwa mujibu wa sheria Chama hakiwezi kufutwa Mwaka wa Uchaguzi. Puuza hayo mambo
Wewe labdaAman ya Wana chadema Sio cc mkuu unafikir Kuna mtu anavutiwa na nyie Tena Tanzania
Kuwapa kesi, kutumia polisi, kununua watu,kwa uchache hizoZipi?
kesi gani chadema imebambikiwa mzee baba?Kama chadema ingekuwa hivyo wewe usingekuwa kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi kwenye uchaguzi mbalimbali ungeacha wananchi waamue wenyewe
Acheni gubu bana mwana alishaomba msamaha nyie bado mnakomaa naye tucc Chris Mauki
kwa mujibu wa sheria Chama hakiwezi kufutwa Mwaka wa Uchaguzi. Puuza hayo mambo
Mbona Chadema imeshajifuta yenyewe tu boss?
Wewe hujielewi bado unaishi kwa historia, hutaki kukubali ukweli uliopo kuhusu CDM kwasasa. Chadema haiwezi kuwa imara kama ulivyokua kwasbbu hadi sasa haina ajenda inayoisimamia, hakuna ilichofanya kwa miaka hii mitano. Hivyo, wananchi waipende kwa lipi?
Usidhani kila mtu ni nyumbu, unaweza kumpa matumaini hewa eti ikiwekwa tume huru ya uchaguzi CDM itashinda. Nakuhakikishia, hata leo hii mbowe awe M/kiti wa hiyo tume, CDM haiwezi kutoboa kwenye Uchaguzi huu. Wana ajenda gani watakayoileza wananchi. Agenda ya ufisadi ilishakufa toka walivyompokea Lowassa kwenye chama chao, nasasa wao ndo mafisadi wakubwa wakiongozwa na mwamba.
Nakubaliana nawwe kwamba upinzani upo kwenye mioyo ya watu, hivyo huwezi kuuondoa utakuepo mpaka mwisho wa dunia kwasbb binadamu tumeumbwa kutofautiana kimtazamo. Vyama vya Siasa ni sehemu tu ya watu kuexpress mitazamo yao, lakini Chadema kimepoteza imani kwa wananchi na uhalali wa kuwa chama kinachoweza kuwakilisha mawazo yao mbadala. Labda kije chama kingine.
Amani ya Bibi yako ndo inawekwa mashakani?Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta chadema kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu. je hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?