Tetesi: CHADEMA kufutwa?

Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta CHADEMA kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu.

Je, hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
No one can destroy peoples' power. No hate no fear .
 
Siyo kufutwa bali kitajifuta chenyewe kwa mambo yake ya ajabu ajabu.
 
Jamani cmlisema CHADEMA kimekufa sasa mmehamia kwenye kukifuta bac sawa kifuteni maana kufa kimekataa
 
There seems to be a looming disaster in the coming election similar to what happened for local Gov elections! Someone seems to be scared of Chadema! Pole zao !!!
 
Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta CHADEMA kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu.

Je, hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Safi sana heri ifutwe tu, yani heri ya koona kuliko Chadema by plpl, yani serikali inashindwa kupambana na koona kwa sababu ya CDM, futilia mbali kabisa!!
 

Ccm imebadilika au imepata mwenyekiti mwenye kiburi cha madaraka? Ccm ingebadilika wala msingehitaji kutuambia imebadilika. Mnaweza kuongopea umma kwa mda mfupi, ila sisi wenye ufahamu tunajua kuwa ccm ina mabadiliko bandia, na kinachoficha usanii wa ccm ni hii kukosekana uhuru wa vyombo vya habari. Tumeshaamka boss tunauwezo wa kutosha wa kujua mabadiliko ya kweli.
 
Hiyo ni bure tu. ccm hata waitawale hii nchi miaka mia moja ijayo lkn wataendelea kuipamba hii nchi kwa umaskini tu.
 
Tofautisha Auditing na Forensic Investigation! Auditing anaangalia utaratibu kama umefuatwa ama la wakati Forensic Investigation wanaangalia fraud kama imefanyika.
Kamdanganye Polepole! Hujui kaa kimya.
 
Mjinga wewe
 
Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta CHADEMA kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu.

Je, hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Hakuna la kushangaza na watu hawa waliopo kwenye madaraka wakati huu.

Kwa hiyo ukisikia habari yoyote inazungumziwa sehemu, anza kukuna kichwa.

Yaliyoonekana kutowezekana huko nyuma sasa hivi yanawezekana sana.

Ni jukumu la walengwa kujizatiti - wakubali au wakatae.

Kama wanakataa inabidi wafanye kazi kubwa na wawe tayari kukabiriana na hayo wanayotaka kutendewa.

Njia pekee na ya uhakika ya kukataa ni kuwaendea wananchi, wajieleze kwao waeleweke.

Wananchi wakikataa mipango miovu, hakuna mwenye bunduki za kutosha kuwazuia waliyoadhimia wananchi.

Kila siku tunaimba wimbo huu huu, karibu miaka mitatu sasa. Mategemeo ni kuwa CHADEMA hawakuyapuuza haya.; na wakati ukifika wananchi watafanya kazi yao wanayopaswa kuifanya.
 
Kuna taarifa zinasambaa kwenye magroup ya whatApp ya kuwepo mkakati wa kuifuta CHADEMA kabla ya uchaguzi mkuu mwaka huu.

Je, hizi taarifa ni kweli? Kama ni kweli nini malengo ya watu waliopanga ili jambo? hawaoni wanaiweka amani yetu mashakani?
Wafute tuone! Kama CCM wameshindwa kushindana na CHADEMA kwa hoja wasubiri ya Libya! Hawatabaki salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…