CHADEMA kuingia madarakani ni ngumu kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano

Sasa kwa nini wakati wa uchaguzi mnafukuza mawakala wa upinzani, mnaweka wasimamizi wa chama lenu, bado mnakuja na mabox feki ya kura? Why??? Hizo ndizo akiri kwa tafsiri yako eh?
Hizo ni porojo tu kama porojo nyengine za waropokaji na wapayukaji
 
Neno hilo
 
WaTz kwa unafiki nyie bwana hamjambo, Hivi Maalimu (RIP) aligombea mara ngapi?

Tatizo la nchi hii linajulikana nalo ni mfumo wa chama tawala kushikamanishwa moja kwa moja na serikali, na hakuna mifumo ya kufanya checks and balance.... Mtu akishakuwa Rais nchi hii, ana mawaziri, kuna waziri wa Tamisemi ana mDED, kuna waziri mkuu ana Wakuu wa mikoa na na wilaya. inahitaji nguvu isiyokuwa ya kawaida mpinzani kupenya.

Acheni kujitoa ufahamu ati kuwa mpinzani nchi hii ni jambo rahisi, labda kwa wale akina Queen Sendika, Mzee wa ubwabwa, akina John cheyo na wengine kama hao. Ninyi wenyewe wana CCM hamuwezi kuwa wapinzani hata kwa dakika 10, ndio maana mnatumia ubabe kubaki madarakani, halafu mnakuja hapa kusema nyenyenye.
 
Japo kuwa huna akili lakini ngoja nikusaidie , Hichilema aliambiwa kama hivi hivi ila leo ni rais wa Zambia
Akili za wananchi wa kule ni tofauti sana. Hawaangalii vyama na hawana urafiki wa kudumu na watawala!
 
Ni muda wananchi mudai mapendekezo yenu bila woga, unafiki, uchama, umaeneo bali kwa ajili ya Tanzania yetu ya kesho na kesho kutwa
 
Akili za maccm zinajulikana kwamba ni za hovyo kwa kuwa wamelaaniwa kwa matendo yao.

1:Unaposema takwa la Katiba Mpya sio takwa la wananchi ni takwa la CHADEMA,Maccm mjuavyo wanachadema sio wananchi,Ni upuuzi
2:Aliekuambia kulikuwa na uchaguzi mkuu (General Election 2020) ni nani?upo ushahidi wa picha mnato na watu wengine ambao ni Eye witness wa jinsi maccm yakishirikiana na Polisi(Policcm) kuweka kura kwenye masanduku zilizokuwa zimeshapigwa kabla na maeneo mengine kura zilipigwa na wasimamizi wakati mawakala wakiwa wamezuiliwa nje,kimsingi it was not only rigging bali uporaji wa mfumo mzima wa uchaguzi.

3:Kuhusu uwepo wa tume huru ya uchaguzi,Kasome ripoti ya TEMCO uone jinsi ripoti hiyo inavyobainisha kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi TZ na ripoti hiyo ni ya miaka ya 97...
Kasome gazeti la daily news la tarehe 10 oct,1995 uone mahojiano kati ya gazeti hilo la serikali lilivyifanya mahojiano na m/kiti wa NEC wa wakati huo Jaji Lewis Makame,utaona alivyokiri NEC kutokuwa huru.
ndo utajua hujui sio kuja na kelele zako hapa nyenyenyee!!!

4:Unasema chadema wakajenge chama huko chini ,hujui kwamba program ya Chadema ni msingi ilianza rasmi 2014 ikitekelezwa kuanzia ngazi ya chini kabisa ya kiutawala ambako jamii iliko,program activities ni pamoja na kuandikisha wanachama wapya na kuwatambua wa zamani,training mbalimbali kuhusu uongozi nk...na kwa sasa program hiyo inatekelezwa kwa njia ambayo inaendana na ulimwengu wa sasa,ndio maana ikazinduliwa Chadema digital na inaendelea kutekelezwa,lkn mlivyokuwa mmeisha kisiasa na hamna hoja tena mnatumia polisi kuzuia shughuli halali za kisiasa ambazo zina baraka ya katiba.kila kukicha mnawatumia polisi kuzuia shughuli za kujijenga,halafu anatoka kada wa maccm anaropoka eti kajengeni chama...Upumbavu
Leo tunahitaji katiba mpya mchakato ambao ulishaanza chini ya jaji Warioba na hakika itapatikana maana wananchi tunaihitaji
#WenyeNchiniWananchi
 
Japo kuwa huna akili lakini ngoja nikusaidie , Hichilema aliambiwa kama hivi hivi ila leo ni rais wa Zambia
Alipata support ya wananchi. Sasa watz hata wakiona kura zao zinaibiwa wao wapo tuuuuu, badala ya kumtandika mhusika makofi mazito mazito
 
Kwanza chadema ni chama kinachopendwa na watu wengi kuliko hata ccm , ukibisha ebu waambie waruhusu mikutano ndo utajua
 

Hapa ni kama unakunywa soda na tikiti maji.
 
Wewe ni bonge la pambaf, hakuna haja ya kukujadili
 
Kwanza kabisa naomba uelewe kwamba nina amini katiba mpya na tume huru vinaweza kuwa na manufaa kwa watanzania ila kwasababu ambazo hatufahamu, serikali haikubaliani na wahusika wanaodai mabadiliko haya. Ningependa sana kufahamu ni vipengele vipi au ni vitu vipi haswa ambavyo ni vya kipaumbele kwenye katiba inayo pendekezwa.

Mchakato wa katiba mpya uliofuata mapendekezo ya jaji Warioba hauku fanikiwa na hata katika kipindi hicho ningependa sana kufahamu kama kura ya maoni iliyofanywa ilikuwa representative ya watu wa watanzania kwasababu sioni mhemko wakutosha kutoka kwa wananchi wanaodai katiba mpya na tume huru. Wana CHADEMA wame chukulia kila kitu kuwa "personal" katika mapambano ya kupata vitu hivi...

Vile vile naomba niku kumbushe yaliyo tokea miaka ya nyuma kwenye siasa zetu. Utagundua kwamba kuna kipindi ambacho chama cha NCCR Mageuzi kilikuwa chama kuu cha upinzani na kuna kipindi ambacho ilikuwa TLP. Ninacho kiona kwa CHADEMA ni yale yale. Kwanza kabisa kupoteza uchaguzi wa urais mara kadha mpaka kufikia hatua ya kupoteza majimbo ya kimkakati karibia yote. Hii sio dalili nzuri na inabidi wana CHADEMA wachukue hatua kali ilikuweza kuinusuru chama chao. Hizi ni dalili za kutokomea. Katiba mpya na tume huru haviwezi kuwa "THE DIFFERENCE" kwenye uchaguzi ambao unapata asilimia kumi za kura.
 
ujinga nao ni kipaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…