Pre GE2025 CHADEMA kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli

Pre GE2025 CHADEMA kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.

Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.

Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?


Nenda kalale usiye na maono. Ndani ya mwezi huu, tayari nimerusha sh laki 5. Nimejiwekea utaratibu wa laki 5 kila mwezi. Na wapo wengi wanaendelea kuchangia.

Hili jambo lina wenyewe, wewe halikuhusu.
 
Nenda kalale usiye na maono. Ndani ya mwezi huu, tayari nimerusha sh laki 5. Nimejiwekea utaratibu wa laki 5 kila mwezi. Na wapo wengi wanaendelea kuchangia.

Hili jambo lina wenyewe, wewe halikuhusu.
Huna kazi nazo. Sisi waislam tumetakiwa kutoa ktk misikiti kama sadaka ljaria
 
Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.

Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Kumbuka siyo kama wanavyofanyiwa wananchi kwenye tozo
 
Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.

Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.

Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Utashangazwa soon...
 
Bora hawa wanao kusanya kutoka kwa wananchi kwa kusema na kwa uwazi kuliko wale wa CCM walio jimilikisha mali za umma na wana jichotea kodi za walalahoi hazina na kwenda kununulia mabasi na kuhongana kukatia viuno DODOMA.
Tena kw hiari tupeleke Benki au mitandaoni tena kidigitali. Na kna waTz waxio na chama lkn wanazpenda sera zao, watachangia ...nk. Ni mifano tnaonyeshwa na CDM- uchaguzi wa aina yke na xaxa michango ya tone tone kidigitali
 
Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.

Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.

Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Wewe ni mjinga! Kwani CCM si mnatumia hela za Watanzania kufanyia uchawa na ujinga!
 
Bora hawa wanao kusanya kutoka kwa wananchi kwa kusema na kwa uwazi kuliko wale wa CCM walio jimilikisha mali za umma na wana jichotea kodi za walalahoi hazina na kwenda kununulia mabasi na kuhongana kukatia viuno DODOMA.
Hawa ombaomba ndo wanataka wakabidhiwe rasilimali za nchi kweli? Hakuna ombaomba ambaye siyo mwizi.
 
Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.

Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.

Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Mnyonge ni wewe tu na maccm wenzako mnaohongwa chumvi na viberiti
 
Kwanza hakuna mahali watu walipolazimishwa kuchangia

Pili hiyo ni sawa na mnavyochangia hizo fomu za rais timu za simba na yanga sa sijui wao sio wanyonge

Unyonge ni sifa mbaya mnyonge hawezi kujitetea
Wanyonge wapo ccm tu, wanasubiri viongozi wao wauze raslimali za nchi ili wagawiwe chumvi na viberti nyakati za chaguzi.
Chama chetu ni mali ya wanachama na tutakichangia.
Mimi NIMO na nawaomba wapenda mabadiliko wote, watz waliochoshwa na uhuni wa ccm tuungane pamoja kuleta mabadiliko chanya katika taifa letu kwa kuhakikisha tunachangia.
 
Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.

Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.

Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Na hizo hela wanazitumbua kwa kulipia press conference Sea Cliff badala ya kufanyia kwenye ukumbi wa chama.
 
Back
Top Bottom