Wewe ni mjinga ungegundua hizo jezi zenu na mabango yenu ya Mama anaupiga mwingi ni kodi za wananchi using andika huu ujinga!Hawa ombaomba ndo wanataka wakabidhiwe rasilimali za nchi kweli? Hakuna ombaomba ambaye siyo mwizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mjinga ungegundua hizo jezi zenu na mabango yenu ya Mama anaupiga mwingi ni kodi za wananchi using andika huu ujinga!Hawa ombaomba ndo wanataka wakabidhiwe rasilimali za nchi kweli? Hakuna ombaomba ambaye siyo mwizi.
Wanyonge wanyongeni, haki yao wapeni.Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Kuna mwizi hatari zaid ya yule anaye kwapua pesa hazina na kuhonga chawa wake kwa mgongo urais na mwenyekiti wa chama.?Hawa ombaomba ndo wanataka wakabidhiwe rasilimali za nchi kweli? Hakuna ombaomba ambaye siyo mwizi.
Tanzania kila mtu anachangishwa kuanzia walimu, wakulima, wafanyabiashara, wafanya kazi, wawekezaji nk. Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Isikuume.Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
AmbacTujue ruzuku ilitumikaje?
Kwani ccm hela zao wanatoa wapi?....wewe mwehu sana!Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Kumbe wewe ni mpuuzi kweli kweli hayo mabilioni wanayochukua CCM kila mwezi kama ruzuku siyo kodi za walala hoi? Jitahidi watu wasijue kuwa huna akili.Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Ila sisiemu kukusanya tozo kwa wanyonge kununua ma V8 fresh tu!!Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Vp kwa upande wa wanaopora pesa za watanzania wanyonge kupitia mifumo kandamizi kama tozo na wizi wa raslimali , wao unawasemeajeChadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Umeambiwa tone tone....hata jero tu.Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Hujalazimishwa kuchanga, ukitaka changa na kama hutaki pita kushoto kwani siyo lazima. Mambo ya chadema waachie wao. Tatizo mabinti siku hizi kila kitu mnakidangiaChadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Umenikumbusha yule jamaa alikuwa anawaita Watanzania wanyonge then anawapiga pesa 😂😂😂😂Watanzania si mlishakataa kuitwa wanyonge
Leta ushahidi!Alisema yeye mwenyewe
Kwanza mchango ni maamuzi ya mtu, so ukitaka unachanga kama hutaki hauchangi na unatuliza mshono binti.Na hizo hela wanazitumbua kwa kulipia press conference Sea Cliff badala ya kufanyia kwenye ukumbi wa chama.
Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Name calling haitakiwi hapa, mimi siye huyo unayemzungumzia.
Mimi njoo hapa Uzunguni Dom jirani na Supika utanikuta.
Heri iwe hivyo KULIKO kuiba resources za Watanzania kisha mnawaita Wanyonge......Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?