Bora hao kuliko kina SISIEMU😆Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Wanaenda kwa Wachina kuomba Mafuta na michangoVyama vyote vinafanya hivyo
Hata hao ccm wanaomba michango Kwa watu
Tena wao wanaomba mpaka mafuta ya kwenda kwenye ziara
So no problem ni mambo ya kawaida tena sana
CCM pesa inazito kutoka hazina ya serikali onayo endeshwa kwa kodi za wananchi na pesa zingine zinatoka kwenye miradi ambayo CCM imejimilikisha kutoka kwa serikali kama viwanja vya mipira na fremu za maduka ambayo vilikuwa mali ya wananchi enzi za chama kimoja, hivyo baada ya ujio wa vyama vingi waka vipoka na kuviita vya chamaKwani ccm hela zao wanatoa wapi?....wewe mwehu sana!
Mbona nimekuwa nikidhani una akili timamu?Kwanza mchango ni maamuzi ya mtu, so ukitaka unachanga kama hutaki hauchangi na unatuliza mshono binti.
Yes, sasa unadhan utakuwa unadhani vitu gan vya maana zaidi ya ujinga? Yaan hujui hata vitu unavyodhani?Mbona nimekuwa nikidhani una akili timamu?
Mbona nimekuwa nikidhani una akili timamu?
Umenikumbusha yule jamaa alikuwa anawaita Watanzania wanyonge then anawapiga pesa 😂😂😂😂
Malaria,vipi? Watanzania wameamua kuchangia Chadema ili kukiendesha chama chao Kwa kutumia falsafa ya nguvu ya umma. Wewe siyo miongoni mwao? Kama watanzania wameamua kuchangia wewe ni nani useme Hivyo? Umechelewa.Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Unasumbuliwa na ujinga wa kihalaiki wewe. Kwanini serikali inakusanya kodi kwa wananchi wote bia kuangalia umasikini au utajiri wao?Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Serikali ya ccm imekaa madarakani miaka 60 plus wale USAID walikuwa wanafanya nn? Unajua maana ya busket funds kwenye AFYA?Hicho kidogo nikipeleke chadema? Lissu kakaa ubunge miaka 20 hajachangia chama
Ni afadhali wao CDM tutawachangia kwa hiari yetu kuliko yale majambazi ya kijani yanakwapua kodi zetu! bila ridhaa. Vikiwemo wizi wa raslimali!!Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Kuna mdini kuliko wewe!?Comment zako zimejaa udini
Wanawaambia Watanzania kwamba CCM imewafanya kuwa maskini. Halafu onawaambia Watanzania haohao maskini wawachangie ili wawaondolee umaskini! Ahahahahaha!Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Wala wewe sio mlengwa kwenye kuchangia tuache!! Mambo ya ngoswe mwachie ngoswe mwenyewe. Wewe endelea na mkataba wa Bandari Bagamoyo!! Utasaidia kizazi chako na wajukuu zako!!Pesa zangu huzipati, nangojea za lema arusha nizile
Mkuu kila Rais anao uwezo wa kuchukua pesa za watu wengine ambao ni matajiri na kufanya alichofanya yule mjinga. Sema utawala wa sheria ni muhimu sana. Aliiba ndani na kukopa nje kwa njia za siri. Kifupi yule alikuwa ananenda kuangamiza taifa na hakuna media yeyote ingeweza ku report hayo. Bila Mungu sijui tungekuwa wapiBora yule maendeleo tuliyaona
Na hao wanaojiendesha kwa ruzuku siyo Kodi ya hao wananchi wanyonge?!Chadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Vibaka na matapeli wa kisiasaChadema kukusanya pesa za watanzania wanyonge kwa lengo la kuendesha chama hapa wamefeli.
Watanzania wengi wanataka wapewe wao na sio kumpa mwanasiasa ale yeye.
Ndio maana karibu na uchaguzi watz wengi wanasubiri pesa za wabunge wale na sio za mwananchi ale mbunge . Hatuchangii pesa zetu zikaliwa na wanasiasa, tunazibiri zenu posho za bunge tuzile.
Soma Pia: CHADEMA wazindua mkakati maalum wa kidigitali wa tone tone, Februari 27, 2025
Lissu kama wewe uliekuwa na mabilioni ya shilingi hakuchangia chama. Jee sisi wanyonge tutazitoa wapi?
Mkuu kila Rais anao uwezo wa kuchukua pesa za watu wengine ambao ni matajiri na kufanya alichofanya yule mjinga. Sema utawala wa sheria ni muhimu sana. Aliiba ndani na kukopa nje kwa njia za siri. Kifupi yule alikuwa ananenda kuangamiza taifa na hakuna media yeyote ingeweza ku report hayo. Bila Mungu sijui tungekuwa wapi
Unapenda kula pesa za kampeni sio?Tunangoja wabunge tule pesa zao kampeni karibu, nyinyi mnazitaka zetu. Seriously?