CHADEMA kuongea na Waandishi wa Habari wa ndani na Nje ya Nchi 17/12/2023

Mkishaongea na Waandishi wa Habari then what?

Kwa nini hamjifunzi mpaka leo..

Mnaongea weeeeee lakini tupo palepale
Tutawatoa hapo hata kinguvu , Wanyonge wakubwa nyie !!
 
Waje waseme ile namba ya simu ilipokea shilingi ngapi za michango ya waathirika wa Hanang? Maana naona kimya tu kama kawaida ya CHADEMA linapokuja suala la pesa ni lazima upigaji wa maana ufanyike kimya kimya
 
Mkishaongea na Waandishi wa Habari then what?

Kwa nini hamjifunzi mpaka leo..

Mnaongea weeeeee lakini tupo palepale
Unataka uende wapi wakati ccm unawaona wameatamia umaskini wa nchi.sio vizuri kuonyesha ujinga wako mitandaoni.
 
zilipendwa chama chakavu mali ya mzee makengeza
 
Waandishi wa nje umewatoa wapi kwenye uzi wako mtaalam? Mbona hilo tangazo lao sioni kauli ya wa ndani na nje?? Au umejiongeza kisa wamesema wote kukaribishwa??
 
Daah, Huyu Mangi bado anaendeleza harakati tu duuh,

Ila CHADEMA ndio maana inafifia sana,
 
Just a wastage of time and other resources.


French Intelligence Security Agency: The Gun-politics is the ONLY suitable and proper means of Politics in Sahel region and the rest of Africa.
 
Labda kinaungwa mkono na wananchi wote wa familia yako na ukoo wako
 
Wanakwenda kuambiwa kuwa jua lilitoka saa saba usiku wasiojielewa watakubali
 

Attachments

  • 20231209_105026.jpg
    144.2 KB · Views: 1
To be honest huyu John Mrema amefeli kwenye kitengo hiki cha mawasiliano. Tukitaka mabadiliko ya kweli tunahitaji mtu serious mwenye experience ya mashirika ya habari ya kimataifa au PR consultant mwenye uzoefu.

Imagine Erythrocyte upo active kutoa habari kuliko hata official account ya CHADEMA humu JF!!
 
Ni kweli kabisa
 
yupo hapo kwasababu ya uhusiano wake na mwenyekiti ni mkubwa
 
Waje waseme ile namba ya simu ilipokea shilingi ngapi za michango ya waathirika wa Hanang? Maana naona kimya tu kama kawaida ya CHADEMA linapokuja suala la pesa ni lazima upigaji wa maana ufanyike kimya kimya
kama wewe unavyopokea miamala ya utakatishaji pesa kupitia namba yako unayoianika Jf kwa makusudi hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…