Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Itisha uchaguzi wa haki; refa atoke nje kabisa ya nchi; uone....Eti chama kinachoungwa mkono kuliko vyote?. Hii ndio ule mkakati wa kusema uongo na kurudiarudia uongo huo huo hadi watu hasa wa nje wanaamini. Ukweli chadema ni chama waongo namba moja duniani.