OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hata mimi naunga mkono hii hatuaSasa ulitaka nini kifanyike? Mapinduzi ya kijeshi au vurugu za kisiasa kama Sudan?
Strategies zinazotumiwa na Chadema ni truly political baada ya ujambazi ule uliofanywa na Magufuli 2020. Na hakika na Mungu naye atajuwa pa kumuweka huko aliko.
Chadema amegeuza mambo smoothly bila kuleta maafa.
View attachment 2218757
Unda chakoKikao kinafanyika kesho kutwa habari inatoka leo.
Hiki ni chama cha aina gani ambacho maamuzi ya chama yanavuja siku tatu kabla ya kutangazwa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuonea huruma!Zinaweza kuwa zimeisha kama kibinadamu kuna aliyekiri kwamba wakati fulani nchi iliongozwa na nyang'au na akaharibu mifumo yote. Na sasa tukae kama binadamu tukishirikiana kuwaondoa manyang'au wengine na vuvuzela kama Crimea
View attachment 2218761
Kuna hatua gani ataufikia Mbowe usiunge mkono?Hata mimi naunga mkono hii hatua
Niliwahi kuuliza CHADEMA kwamba kama kutokaa Kwa Baraza ndio kumesababisha wabunge hao kuwepo bungeni Hadi sasa hawaoni kwamba wanashiriki kupoteza Kodi za wananchi Kwa sababu wanaendelea kulipwa? Kwann Baraza halikukaa mapema zaidi๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐CHADEMA kupeleka majina ya wabunge Viti Maalum Bungeni pamoja na kuanza kuchukuwa ruzuku ambayo wameigomea kwa zaidi ya mwaka mmoja sasa ,Bunge kuridhia Halima Mdee na wenzake kuondolewa bungeni baada ya kikao cha Baraza kuu kutupilia mbali rufaa zao keshokutwa
Chanzo : darmpya
Sasa ulitaka nini kifanyike? Mapinduzi ya kijeshi au vurugu za kisiasa kama Sudan?
Strategies zinazotumiwa na Chadema ni truly political baada ya ujambazi ule uliofanywa na Magufuli 2020. Na hakika na Mungu naye atajuwa pa kumuweka huko aliko.
Chadema amegeuza mambo smoothly bila kuleta maafa.
View attachment 2218757
Nani amekudanganya?Umri mdogo unashabikia CCM?Utaishia kuwa kachawikachawi tu.Kwa hii vita CCM bado mshindi. Tz haina chama cha upinzani aiseee
Kuna hatua gani ataufikia Mbowe usiunge mkono?
Hata mkiambiwa kamati imeridhia hao 19 wabaki bungeni mtaunga mkono
Nani amekudanganya?Umri mdogo unashabikia CCM?Utaishia kuwa kachawikachawi tu.
Bora kuwa gaidi kuliko dangaji la CCM!Teh!Umri mkubwa unashabikia konyagi fc ndo maana umekua gaidi
Njaa au ni haki yao?Njaa haina mbabe utashangaa lema yuko viti maalum
Hujui Mwenyekiti wa chama alikuwa kwenye matatizo?Niliwahi kuuliza CHADEMA kwamba kama kutokaa Kwa Baraza ndio kumesababisha wabunge hao kuwepo bungeni Hadi sasa hawaoni kwamba wanashiriki kupoteza Kodi za wananchi Kwa sababu wanaendelea kulipwa? Kwann Baraza halikukaa mapema zaidi๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Asante Kwa jibu lenye HOJA๐Hujui Mwenyekiti wa chama alikuwa kwenye matatizo?
Ndiyo ukweliAsante Kwa jibu lenye HOJA๐
Bora kuwa gaidi kuliko dangaji la CCM!Teh!
Ukakapoa nilijifunza kwa baba yako mzazi.Na alinifundisha vizuri tu.Poovuu bora kuwa dangaji kuliko ukakapoa
Ndio zimeisha mkuKwahiyo sasabu zilizofanya wasipeleke hao wabunge 2020 zimeisha?
Ukakapoa nilijifunza kwa baba yako mzazi.Na alinifundisha vizuri tu.
Uwe muelewa.Alikuwa akipata bwana ndiyo anatuita kujifunza.Kwani ulikuwa hauoni magagulo yake?Wow Ma mdogo,Safi sana kwa kujitambulisha๐๐๐๐๐
Kama kwel ww ni CHADEMA mngeungana na sukumagang dhidi ya walamba asali tungekuwa mbali sana kama nchi. Hayupo adui wa kudumu kwenye siasaNdiyo ukweli