Uchaguzi 2020 CHADEMA kutikisa Dar kwa siku tatu, Uchaguzi Mgombea Urais Tanzania na Zanzibar

Uchaguzi 2020 CHADEMA kutikisa Dar kwa siku tatu, Uchaguzi Mgombea Urais Tanzania na Zanzibar

Acha blah Blah wewe..Kwa akili yako unadhani unaweza kufikiri zaidi ya Mungu aliyetuumba
sasa ndugu inamaana unajua mungu sasa hivi anafikiria nini ?inamaana ushajua kuwa anafikiria chadema ishinde? hebu kuweni serious kidogo basi unajua mnaonekana kama hamna akili kuwa na uhakika wa chadema kushikadola?kuweni kama nyuki alimzidi ujanja nzi akwa fundi wa kutengeneza asali msibakie kuwa na akili za nzi badirkeni
 
Asante kwa habari ya kusisimua sana na sasa siasa zinakaribia kuanza tena watanzania tujiandae kwa kishindo kikubwa. Kuna watu hawalali sasa mnawajua, eeh?
Kabisa
 
sasa ndugu inamaana unajua mungu sasa hivi anafikiria nini ?inamaana ushajua kuwa anafikiria chadema ishinde? hebu kuweni serious kidogo basi unajua mnaonekana kama hamna akili kuwa na uhakika wa chadema kushikadola?kuweni kama nyuki alimzidi ujanja nzi akwa fundi wa kutengeneza asali msibakie kuwa na akili za nzi badirkeni
Ndiyo maana nakuambia hujielewi Wala hujitambui Wala hujui unawaza Nini.Unaandika blah blah tu ili mkono uende kinywani.Pole
 
Lissu atahudhuria kweli? Maana yuko karantini kwa mujibu wa PETER KIBATALA, sasa asipokuwepo atapitishwa vipi kugombea Urais, mahakamani alishindwa kutokea sababu yuko karantini
Mtu alichaguliwa u Makamu Mwenyekiti akiwa ubelgiji ndo watashindwa kumchagua akiwa karantini. Usicheze na Chadema wwe, wanaweza kumchagua hata akiwa kaburini
 
Mtu alichaguliwa u Makamu Mwenyekiti akiwa ubelgiji ndo watashindwa kumchagua akiwa karantini. Usicheze na Chadema wwe, wanaweza kumchagua hata akiwa kaburini
Barikiwa mno
 
Ndiyo maana nakuambia hujielewi Wala hujitambui Wala hujui unawaza Nini.Unaandika blah blah tu ili mkono uende kinywani.Pole
toa maelezo mzee usilalamike tu unaamini kweli chademaitashinda?au unajifariji tu maana kitu kiko wazi kabisa lakini unalazimisha kuwa chadema mtashinda au unawaenjoy wenzio tu unajuwa sikuelewi?
 
Lissu kamaliza kukaa karantini?
Sasa ni Rasmi.Chama kikuu Cha upinzani nchini Chadema kitaanza vikao vyake kwa siku 3 mfululizo kuanzia Jumapili tarehe 2 mpaka Jumanne tarehe 4 katika ukumbi maarufu nchini wa Mlimani City.

Kikao Cha Kamati Kuu kitafanyika kesho Jumapili huku Baraza Kuu likiwa siku ya Jumatatu na Mkutano Mkuu utakuwa siku ya Jumanne.

Agenda Kuu ya vikao hivi ni kuchambua na hatimaye kupiga kura kumpitisha Rasmi mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema.

Tayari wajumbe wa vikao hivi wameshaanza kuwasili jijini Dar es Salaam wakiwa na shauku kubwa ya kutimiza takwa la kikatiba.

Mchuano mkali kwenye nafasi ya Urais ni Kati ya mafahali wawili Lazaro Nyalandu Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mjumbe wa Kamati Kuu akipambana na Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwanasiasa mashuhuri zaidi kwa Afrika.

Ikumbukwe Chadema ilitikisa nchi siku ya Jumanne wiki hii wakati maelfu kwa maelfu ya watu walipojaa majiani kumlaki Tundu Lissu aliyerejea matibabuni huku kukiwa na maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini kumsindikiza mwanasiasa huyo makao makuu ya Chama huku umati huu ukiimba 'Rais' Rais' Rais' kote alikopita ambapo Barabara ilifungwa kwa masaa manne kumsindikiza shujaa huyo.

Sisi wa Molemo Media Kama Sikuzote Tunatarajia kuwaletea matangazo ya moja kwa moja wasomaji wetu wa Jamii Forum ili Dunia kuweza kujua kinachoendelea ndani ya vikao hivyo muhimu.Tuna Imani hatukuwahi kuwaangusha wafuatiliaji wetu.
 
Wewe unaona Lowassa kafanikiwa Nini? Ila CDM imezidi kufanikiwa kwa sababu mwanadamu anaweza kuasi Ila Kanisa hakiwezi kuasi
Wewe umesema Chadema ni mpango wa mungu na yeyote anaesimama na Chadema anafanikiwa. Ndo nikakuuliza Lowassa alifanikiwa? Si alisimama na chadema
 
Mtu alichaguliwa u Makamu Mwenyekiti akiwa ubelgiji ndo watashindwa kumchagua akiwa karantini. Usicheze na Chadema wwe, wanaweza kumchagua hata akiwa kaburini
Mkuu umeongea kama funza vile
 
Sasa ni Rasmi.

Chama kikuu Cha upinzani nchini Chadema kitaanza vikao vyake kwa siku 3 mfululizo kuanzia Jumapili tarehe 2 mpaka Jumanne tarehe 4 katika ukumbi maarufu nchini wa Mlimani City.

Kikao Cha Kamati Kuu kitafanyika kesho Jumapili huku Baraza Kuu likiwa siku ya Jumatatu na Mkutano Mkuu utakuwa siku ya Jumanne.

Agenda Kuu ya vikao hivi ni kuchambua na hatimaye kupiga kura kumpitisha Rasmi mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema.

Tayari wajumbe wa vikao hivi wameshaanza kuwasili jijini Dar es Salaam wakiwa na shauku kubwa ya kutimiza takwa la kikatiba.

Mchuano mkali kwenye nafasi ya Urais ni Kati ya mafahali wawili Lazaro Nyalandu Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mjumbe wa Kamati Kuu akipambana na Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwanasiasa mashuhuri zaidi kwa Afrika.

Ikumbukwe Chadema ilitikisa nchi siku ya Jumanne wiki hii wakati maelfu kwa maelfu ya watu walipojaa majiani kumlaki Tundu Lissu aliyerejea matibabuni huku kukiwa na maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini kumsindikiza mwanasiasa huyo makao makuu ya Chama huku umati huu ukiimba 'Rais' Rais' Rais' kote alikopita ambapo Barabara ilifungwa kwa masaa manne kumsindikiza shujaa huyo.

Sisi wa Molemo Media Kama Sikuzote Tunatarajia kuwaletea matangazo ya moja kwa moja wasomaji wetu wa Jamii Forums ili Dunia kuweza kujua kinachoendelea ndani ya vikao hivyo muhimu.Tuna Imani hatukuwahi kuwaangusha wafuatiliaji wetu.
Mafisiem yakiona hivi yanakosa amani.

Mungu ibariki Chadema!

October 2020 tunamwaga pombe chini!
 
da umeandika kishabiki sana mkuu yaani maandamano ambyo hayajawahi kutokea tanzania? yepi hayo ?huyuhuyu lissu na ni siku hyo akirudi ? unachekesha kama hayo ndiyo maandamano ambayo hayajawahi kutokea utakua siyo mfuatiliaji wewe au akli yako inashida mahala kwenye medula oblangata
Tulia kidogo basi. Kama hujui sentesi huanza na herufi kubwa.
 
Sasa ni Rasmi.

Chama kikuu Cha upinzani nchini Chadema kitaanza vikao vyake kwa siku 3 mfululizo kuanzia Jumapili tarehe 2 mpaka Jumanne tarehe 4 katika ukumbi maarufu nchini wa Mlimani City.

Kikao Cha Kamati Kuu kitafanyika kesho Jumapili huku Baraza Kuu likiwa siku ya Jumatatu na Mkutano Mkuu utakuwa siku ya Jumanne.

Agenda Kuu ya vikao hivi ni kuchambua na hatimaye kupiga kura kumpitisha Rasmi mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chadema.

Tayari wajumbe wa vikao hivi wameshaanza kuwasili jijini Dar es Salaam wakiwa na shauku kubwa ya kutimiza takwa la kikatiba.

Mchuano mkali kwenye nafasi ya Urais ni Kati ya mafahali wawili Lazaro Nyalandu Waziri wa zamani wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kanda ya Kati na Mjumbe wa Kamati Kuu akipambana na Tundu Lissu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na mwanasiasa mashuhuri zaidi kwa Afrika.

Ikumbukwe Chadema ilitikisa nchi siku ya Jumanne wiki hii wakati maelfu kwa maelfu ya watu walipojaa majiani kumlaki Tundu Lissu aliyerejea matibabuni huku kukiwa na maandamano makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini kumsindikiza mwanasiasa huyo makao makuu ya Chama huku umati huu ukiimba 'Rais' Rais' Rais' kote alikopita ambapo Barabara ilifungwa kwa masaa manne kumsindikiza shujaa huyo.

Sisi wa Molemo Media Kama Sikuzote Tunatarajia kuwaletea matangazo ya moja kwa moja wasomaji wetu wa Jamii Forums ili Dunia kuweza kujua kinachoendelea ndani ya vikao hivyo muhimu.Tuna Imani hatukuwahi kuwaangusha wafuatiliaji wetu.
Safi kamanda,
Weka na English version ya habari.
 
Back
Top Bottom