Punguza vitisho. Acha CHADEMA wawe wakweli, yule jamaa aliwadhulumu Sana. Ni haki yao kumsema kwa mabaya na mazuri.Chadema watafanikiwa lake zone Ila waache kila wkt kumchafua shujaa magufuli, Ila kama Qatar delea kumtukana JPM utashangaa atakuwa popular lake zone yote
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM. Kumbe unakubaliana kwamba ccm dieAsalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.
Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.
Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
wasukuma wanachezeshwa mziki wa kizimkaziAsalam,
Siasa ni kazi inayohitaji ustadi mkubwa na tafiti nyingi ikiwemo kuzijua hisia za wananchi. Hizi kanuni muhimu sana
1. Kwenye Siasa nenda na agenda za wananchi (Nyerere J.K)
2. Kwenye Ongea lugha ya wananchi, usiongee lugha wanayoelewa, ongea lugha yao.
Kwa kanda ya ziwa CHADEMA wamefeli pakubwa. Kanda ya Ziwa kwa sehemu kubwa imerudi CCM kihamasa baada ya uteuzi huu wa juzi.
Makosa makubwa matatu ya CHADEMA wanayoendelea kuyafanya
1. Chama kimekaa, wakaamua kwenye vikao vyao kuwa waende wakahubiri Katiba mpya. Je ni suala la watanzani 60?
2. Kukosa consistency na political brain. TL anaenda Usukumani kumtukana Mtoto Pendwa Magufuli nyumbani kwao. Anatarajia nini ?
Hoja ya Bandari imeshindwa kujengwa vyema na political parties.
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM.
CHADEMA MSIPOBADILIKA MMEKWISHA
Punguza lawama. Kuna mpinzani alipitia magumu Kama Mbowe?. Mnaongea kisa mnakula Raha ndio mnaropoka. Umewahi kufungiwa akaunti zao au kuitwa gaidi na kuwekwa rumande miezi tisa?. Umewahi kuharibwa shamaba lako? Umewahi kubomilewa kitega uchumi chako? Umewahi kushambuliwa na watu na kisha ukafanyiwa dhihaka kwamba umeelewa. Acha tu, Magufuli Mungu atamuhukumu kwa haki.Ahaaa kwahiyo tusisikie eti CCM hawategemei Kura kushinda, kiufupi Mbowe ndiyo kaharibu upinzani WA nchi hii
Unajifariji tu, ila ukweli unaujua. Magufuli alipoingia alitamani mawaziri wake wote watoke CHADEMA.ukiondoa lisu na mbowe hakuna chademaTz.
wasipikuepo on scene au wasiopongea in public there is no chadema.
mfano sasa ivi si Lisu kapeleka report ng'ambo kwa mabeberu, hutaskia chochote had arudi.
Mmeishiwa mmebaki kuita watu majina. Kibaraka ni yule anayeuza bandari na kukodisha Ngorongoro kwa kuwafukuza raia wake.ngoja tumsubiri kibaraka atuambie mabeberu safari hii yamemwambia atumie staili gani maana ile ya kulala barabarani haijamake, halafu ndio tutoe maelezo ya kina kuhusu malalamiko yako ya muda mrefu
Yule hakuna Rais Bali ibilisi, ndio maana ilibidi aondoke haraka kutokana na maombi ya watu.Mbowe hawezi kuwa Rais kama JPM
Punguza ukabila. Unawapangia CHADEMA Cha kusema?. Mbona yule ibilisi alipokuwa anawaonea ulikaa kimya. Halafu sio kila msukuma ni mpenzi wa Magufuli. Ndio maana ilibidi aibe kura 2020.Umetema madini matupu!
Kusema kweli nami nilishangazwa sana kwa kitendo cha Lisu kwenda kumnanga Magufuli Usukumani!
Kitendo hicho kimeishushia Chadema credit pakubwa!
Nikawa najiuliza huu uroporopo anadhani anawafurahisha wafiwa!
Kumtukana Magufuli kanda ya ziwa ni sawa na kumtukana mtume!
Hili la Dotto Biteko litainyenyua Ccm ilipokwama iwapo tu atawaondolea kero wananchi kwa matendo ya uongozi wake.
Kama utendaji wake utakuwa ni wa kupiga siasa za kipole na kistaarabu kama vile anahubiri enjili kwa kuwaonea haya mafisadi waliolikwamisha Taifa, ndiyo atazidi kuichimbia kaburi Ccm.
Kosa jingine kubwa wanalolifanya Chadema ni kuendeleza ideology yao ya kususia vikao, kwa mfano wa hiki cha wadau wa siasa, hawakuwa na mantiki ya kufanya hivyo.
Ilitakiwa wakapambanue hoja zao pale, ingelipendeza sana .
Halafu la mwisho kwa Chadema, waondoe udikteta na ukiritimba wao katika uongozi wa chama kitaifa.
Kama wana nia ya kweli ya mabadiliko, ziwekwe sura mpya safu ya juu zitakazokubalika kwa wananchi kuuonesha umma thamani halisi ya demokrasia.
Wakiendelea kuongoza wao tu miaka na miaka kimakame nguvu, kwa kadri siku zinavyokwenda, kitashuka popularity na kubakia chama cha kugawania ruzuku kama vyama vingine vya upinzani vilivyo hivi sasa.
Wew ni mchagga Bana Acha kujishaua tunawajua vzr
CHADEMA hiawezi kukaa kwenye kongamano la wasiojitambua.CHADEMA wanakimbia mijadala rasmi, tena ya watu wa level zao. Wao wangepambana kupata kupata nafasi ya presentations hata mbili kwenye kongamano.
Wanakimbia kwa sababu kubwa mbili.
1. Wabinafsi
2. Hawajui wanachotetea
Ilipaswa CHADEMA ione haya makongamano ni aina nyingine ya Jukwaa
Kumbe unajua wanaiba. Waendelee kuiba ila kipigo watakipata Kama Cha 2020. Ikabidi wakawadanganye akina Halima Mdee ili wake bungeni halafu mpanga mipango ya wizi hakudumu hata miezi mitatu kwenye urais. Nyie ibeni ila nature itawashughulikia.Mtaibiwa tena 2025. Endeleeni na uzwazwa wenu
Usiwasemee watanzania. Wengi walifurahia yule gaidi alipofariki. Halafu lazima ujue watanzania ni wanafiki. Shauri zako.Kuna kitu unachotakiwa kukielewa.
Wewe binafsi waweza kuwa muathirika wa utawala wa Magufuli kama alivyofanyiwa Tundu Lisu na ukabakia kumlaani mpaka leo, hilo utabakia nalo na hakuna atakayekulazimisha kumpenda.
Nje ya chuki hizo binafsi, jiulize sasa, waTz walio wengi, waliumizwa na utawala wa Magufuli?
Je waliumizwa kwa mambo gani ama matendo yepi?
Je waTz walio wengi, kweli hawakuridhishwa na utawala wa Magufuli na je walifurahia kifo chake?
Chuki bilafsi haiwezi kubeba mustakabali wa mambo ya ukweli.
Chuki zitabakia kuwa chuki na upendo utabakia kuwa ni upendoni kama maji na mafuta havichangamani.
Na usije kujidanganya hata siku moja kwamba utawala huu unapendwa sana kuliko utawala wa Magufuli hasa kutokana na jinsi watu wengi wa kawaida walivyovurugwa na athari za ufisadi unaoendelea hivi sasa.
Aitoe na shinyanga mjini. Pamoja na wizi Jimbo la shinyanga lilisapoti Sana CHADEMA.Tena hapo kwenye mkoa wa Shinyanga itoe Kahama mjini hyo ni Chadema tupu.
Maoni yangu hayaegemei ukabila, siyo kabila hilo na wala sina chama.Punguza ukabila. Unawapangia CHADEMA Cha kusema?. Mbona yule ibilisi alipokuwa anawaonea ulikaa kimya. Halafu sio kila msukuma ni mpenzi wa Magufuli. Ndio maana ilibidi aibe kura 2020.
Ndiyo nikauliza, zaidi ya kuwakerembesha mafisadi, vyeti feki na kutumbua majipu lege lege, ni nini alichowafanyia kibaya waTz masikini mpaka wakafurahie kifo chake?Usiwasemee watanzania. Wengi walifurahia yule gaidi alipofariki. Halafu lazima ujue watanzania ni wanafiki. Shauri zako.
Hata Tundu Lissu hajawahi kumtukana Magufuli. Kutukana ni kosa la jinai kama amefanya hivyo mbona hajawahi kushtakiwa? Wacheni kuropoka kama misukuleKamchanganya na TAL.
Msigwa hujasikia moto wake!!ukiondoa lisu na mbowe hakuna chademaTz.
wasipikuepo on scene au wasiopongea in public there is no chadema.
mfano sasa ivi si Lisu kapeleka report ng'ambo kwa mabeberu, hutaskia chochote had arudi.
Msanii yuleMsigwa hujasikia moto wake!!
kale kamchungaji kaoga sanaMsigwa hujasikia moto wake!!