CHADEMA Lake Zone imepotezwa na Uteuzi wa Dkt. Doto Biteko

Chadema watafanikiwa lake zone Ila waache kila wkt kumchafua shujaa magufuli, Ila kama Qatar delea kumtukana JPM utashangaa atakuwa popular lake zone yote
Punguza vitisho. Acha CHADEMA wawe wakweli, yule jamaa aliwadhulumu Sana. Ni haki yao kumsema kwa mabaya na mazuri.
 
3. Chadema haina kundi die hard. Inataka kuwa kama CCM. Kumbe unakubaliana kwamba ccm die
 
wasukuma wanachezeshwa mziki wa kizimkazi
 
Ahaaa kwahiyo tusisikie eti CCM hawategemei Kura kushinda, kiufupi Mbowe ndiyo kaharibu upinzani WA nchi hii
Punguza lawama. Kuna mpinzani alipitia magumu Kama Mbowe?. Mnaongea kisa mnakula Raha ndio mnaropoka. Umewahi kufungiwa akaunti zao au kuitwa gaidi na kuwekwa rumande miezi tisa?. Umewahi kuharibwa shamaba lako? Umewahi kubomilewa kitega uchumi chako? Umewahi kushambuliwa na watu na kisha ukafanyiwa dhihaka kwamba umeelewa. Acha tu, Magufuli Mungu atamuhukumu kwa haki.
 
ukiondoa lisu na mbowe hakuna chademaTz.

wasipikuepo on scene au wasiopongea in public there is no chadema.

mfano sasa ivi si Lisu kapeleka report ng'ambo kwa mabeberu, hutaskia chochote had arudi.
Unajifariji tu, ila ukweli unaujua. Magufuli alipoingia alitamani mawaziri wake wote watoke CHADEMA.
 
ngoja tumsubiri kibaraka atuambie mabeberu safari hii yamemwambia atumie staili gani maana ile ya kulala barabarani haijamake, halafu ndio tutoe maelezo ya kina kuhusu malalamiko yako ya muda mrefu
Mmeishiwa mmebaki kuita watu majina. Kibaraka ni yule anayeuza bandari na kukodisha Ngorongoro kwa kuwafukuza raia wake.
 
Punguza ukabila. Unawapangia CHADEMA Cha kusema?. Mbona yule ibilisi alipokuwa anawaonea ulikaa kimya. Halafu sio kila msukuma ni mpenzi wa Magufuli. Ndio maana ilibidi aibe kura 2020.
 
Wew ni mchagga Bana Acha kujishaua tunawajua vzr
CHADEMA hiawezi kukaa kwenye kongamano la wasiojitambua.
 
Mtaibiwa tena 2025. Endeleeni na uzwazwa wenu
Kumbe unajua wanaiba. Waendelee kuiba ila kipigo watakipata Kama Cha 2020. Ikabidi wakawadanganye akina Halima Mdee ili wake bungeni halafu mpanga mipango ya wizi hakudumu hata miezi mitatu kwenye urais. Nyie ibeni ila nature itawashughulikia.
 
Usiwasemee watanzania. Wengi walifurahia yule gaidi alipofariki. Halafu lazima ujue watanzania ni wanafiki. Shauri zako.
 
Ukweli ni kwamba watu wa kanda ya ziwa hawamtaki Mama Samia,,
naamini watu wa usalama wanajua hili wawaambie ukweli wakubwa,,
kama chama ni lazima kifanyike kitu cha ziada kurudisha imani yao kwa rais Samia,, turufu ya kumteua Biteko haitoshi kuwafanya warudishe mioyo yao CCM,,
 
Punguza ukabila. Unawapangia CHADEMA Cha kusema?. Mbona yule ibilisi alipokuwa anawaonea ulikaa kimya. Halafu sio kila msukuma ni mpenzi wa Magufuli. Ndio maana ilibidi aibe kura 2020.
Maoni yangu hayaegemei ukabila, siyo kabila hilo na wala sina chama.

Tujikite kwenye takwimu mkuu.

Hayo mambo ya chuki hayawezi kutupatia muafaka katika mjadala wetu.

Mimi ninachojua, Wambunge ndiyo waliingizwa kwa hila ya wizi wa kura, ila yeye alishinda kwa kishindo kwa sababu anapendwa mno na waTz.
 
Usiwasemee watanzania. Wengi walifurahia yule gaidi alipofariki. Halafu lazima ujue watanzania ni wanafiki. Shauri zako.
Ndiyo nikauliza, zaidi ya kuwakerembesha mafisadi, vyeti feki na kutumbua majipu lege lege, ni nini alichowafanyia kibaya waTz masikini mpaka wakafurahie kifo chake?
Tandaza utafiti wako tuutathimini, tusiandike kwa hisia za chuki.
 
ukiondoa lisu na mbowe hakuna chademaTz.

wasipikuepo on scene au wasiopongea in public there is no chadema.

mfano sasa ivi si Lisu kapeleka report ng'ambo kwa mabeberu, hutaskia chochote had arudi.
Msigwa hujasikia moto wake!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…