Unaweza kuwa na dhana nyingi kichwani mwako lakini kisayansi ndio sababu ya msingi.
Uwanja mkuu Dar uwanja wa dharura Zanzibar.
Uwanja mkuu KIA uwanja wa dharura Arusha.
Hali ipo hivyo duniani nzima lakini ukiingiza siasa kwenye kila kitu haya mambo huwezi kuyaelewa.
..hebu acheni uongo jamani.
..hivi mfaidika nini kutetea hilo lijizi?
..na sasa limekuwa katili, kwanini mnalitetea?