kama huyo mshana naskia aliwahi kuchezea virungu na makofi ya maana ya polisi huko temeke miaka ya nyuma, sidhani kama atakua na hamu na maandamano tena,Kina Mshana na Erythrocyte Mabingwa wa kupost Chadema JF ila kuandamana mmeingia mitini mmemuacha Mbowe na Nicole
Bilashaka yoyote watalii hao watakua wamefurahi sana, kwakua watakua wameona na kuhakikisha kwamba wako salama sana Tanzania, na kwamba kila eneo Tanzania, wpolisi wametanda kwa doria dhidi ya vibaka na wahalifu mbalimbali..Leo mida ya saa tatu nimeona magari kadhaa ya watalii yakitoka mjini kuelekea mbugani, najiuliza wakifika Mbezi wakaona polisi walivyomwagwa pale, wakamuuliza mkuu wao wa msafara, yy atajibu nini?
Maandamano mmeyazima,lkni the public and international image ya muheshimiwa Rais imeharibika beyond repair. Kama mnabisha subiri post-2025
Kichekesho kama hiki hua zinapatikana wapLeo mida ya saa tatu nimeona magari kadhaa ya watalii yakitoka mjini kuelekea mbugani, najiuliza wakifika Mbezi wakaona polisi walivyomwagwa pale, wakamuuliza mkuu wao wa msafara, yy atajibu nini?
Maandamano mmeyazima,lkni the public and international image ya muheshimiwa Rais imeharibika beyond repair. Kama mnabisha subiri post-2025
sina hakika mpaka sasa.Kwani hakuna balozi yeyote aliyetia neno?
Sawa....msemaji wa tp tzkuanzia sasa,
atakae thubutu kufanya uhalifu wowote ule, sekunde hiyo hiyo polisi Tanzania watakua hapo hapo alipo kushughulika nae π
vijanaa gani hao wa bavicha wenye ujasiri huo?π€£Viongozi wa Chadema sijawaelewa hivi umedhamiria kwenda kwenye maandamano unalalaje nyumbani kwako wakati unajua dola imeandaa askari waje kukukamata? Angalau Mbowe kaonesha ushujaa kuja kukamatwa katika eneo la tukio.
Ilitakiwa vijana wa Bavicha wawepo kuzuia mwenyekiti wao kukamatwa kindezi namna ile.
Bado wana safari ndefu sana kama wanataka kuung'oa utawala wa CCM
hiyo uliyonayo ni mihemko au ghadhabu gentleman? unashiriki ushirikina na ramli eeπ€£We ni Mwiraqw Mjinga sana, unayedhani haya maandamano ni kwa manufaa ya CDM pekee.
Nina uhakika hata CCM wenye akili walitamani haya maandamano yafanikiwe kwa sababu hata wao wanakubali ya kwamba kuna mambo hayako sawa.
Usalama uliatarishwaKujipiga kifua kote kule, press conference kila siku, kila mara, mmefikia wapi mpaka sasa, na matokeo ya hayo yote ni nini na kiko wapi sasa?
Mnapuuza ushauri wa kitaalamu na mipango mikakati ya wabobezi katika siasa, mnaendekeza hisia, mihemko na kutegemea huruma za wanainchi kama dira na uelekeo wenu kisiasa? Taasisi kubwa kama chadema? No, hamuwezi kutoboa kabisa, never ever.
My friends,
Ni kujipanga tu. Hii ya kutegemea hisia, mihemko au huruma za wanainchi na ushabiki wa kutoka kwenye mitandao ya kijamii, haiwezi kuleta matokeo chanya kwa hapa Tz, lakini pia hali ya ground huku waliko wananchi ni tofauti mno na ilivyo kwenye social medias, ambazo chadema mmepumbazwa nazo mara zote, mkajisahau huko na hamjifunzi tu
Kuna utofauti na upotofu mkubwa sana baina ya ground na kwenye social medias. Go back to your drawing tables. Mkajipange vizuri, vinginevyo, hiki kilichofeli pakubwa leo kitajiridia tu tena.
Dunia na ulimwengu mzima umeshuhudia na kutambua kwamba, Tanzania kuhusu issue ya umoja, amani na utulivu wa wananchi wake, ina totally zero tolerence.
Tanzania iko tayari kutumia nguvu na gharama yoyote ile, tena bila kumuonea huruma, aibu wala haya mtu au nchi yoyote itakayojaribu kuhatarisha usalama wa waTanzania kwa ujumla π
Mungu Ibariki Tanzania.
nilitoa ushauri wa kitaalamu jana kuhusu changamoto na sintofahamu za kwenye maandamano hususani haramu kama haya ya chadema yalivyo feli leo.Kuna vituo vya polisi kadhaa vimejaa watu wapita njia,watu waliyokaa maskani wamekusanywa leo jamaa wamepata mtaji π
Ova
Masuala ya dola kudumu Milele ni Neema na Baraka za Mungu tu, kinyume na hapo ni fikra potofu na ni ushirikina tu..Kamatakamata mmeianza saa 12 asubuhi ukionekana umesimama maeneo ya magomeni mnawabeba watu kwenye makarandinga yenu.
Hakuna utawala uliodumu milele katika ardhi hii. Kulikuwa na dola kubwa sana kama za Roma na Persia na bado zilikuja kuanguka tu na hakuna anayewakumbuka katika historia.
kwa nguvu na gharama yoyote ile, umoja amani na utulivu wa wananchi wa waTanzania utalindwa.Hata kama mbowe hakupata watu kuandamana unajua hasara serikali inayopata kusambaza askari na magari je mnajua hasara yake mbowe akifanya hivi mwezi mzima nchi inaanguka kiuchumi
relax gentleman,Usalama uliatarishwa
Vipi Mwanakizimkazi ! ?
Kwanini unachagua Ujinga? Uchungu aliopata mama yako jaribu kuuheshimu kwa kutumia akili yako
Maandamano yaliatarisha vipi Aman ? Ujinga ni mzigo mwanakizimkazi
nadhani baada ya uchunguzi wa kifo cha kamanda Ally Mohamed Kibao kukamilika, kutakua na uchaguzi muhimu sana wa Serikali za mitaa, na bilashaka baada ya hapo itajulikana na kuona kama hilo ni muafaka na muhimu kuzingatiwa kulingana na mazingira na muda kama utakuwepo πHuu ni wakati sahihi wa Serikali kuwaita upinzani na kuzungumza nao kuhusu utekaji, mauaji yaliyotokea na muelekeo wa siasa zetu. Sisi ni Watanzania.
Ndugu amini nakwambia ipo sikuKujipiga kifua kote kule, press conference kila siku, kila mara, mmefikia wapi mpaka sasa, na matokeo ya hayo yote ni nini na kiko wapi sasa?
Mnapuuza ushauri wa kitaalamu na mipango mikakati ya wabobezi katika siasa, mnaendekeza hisia, mihemko na kutegemea huruma za wanainchi kama dira na uelekeo wenu kisiasa? Taasisi kubwa kama chadema? No, hamuwezi kutoboa kabisa, never ever.
My friends,
Ni kujipanga tu. Hii ya kutegemea hisia, mihemko au huruma za wanainchi na ushabiki wa kutoka kwenye mitandao ya kijamii, haiwezi kuleta matokeo chanya kwa hapa Tz, lakini pia hali ya ground huku waliko wananchi ni tofauti mno na ilivyo kwenye social medias, ambazo chadema mmepumbazwa nazo mara zote, mkajisahau huko na hamjifunzi tu
Kuna utofauti na upotofu mkubwa sana baina ya ground na kwenye social medias. Go back to your drawing tables. Mkajipange vizuri, vinginevyo, hiki kilichofeli pakubwa leo kitajiridia tu tena.
Dunia na ulimwengu mzima umeshuhudia na kutambua kwamba, Tanzania kuhusu issue ya umoja, amani na utulivu wa wananchi wake, ina totally zero tolerence.
Tanzania iko tayari kutumia nguvu na gharama yoyote ile, tena bila kumuonea huruma, aibu wala haya mtu au nchi yoyote itakayojaribu kuhatarisha usalama wa waTanzania kwa ujumla π
Mungu Ibariki Tanzania.
Ndugu amini nakwambia ipo siku watanzania watafunguliwa macho na watajua ni mambo gani ambayo huwa yanaendelea kwenye hili nchi, we jiulize mtu anatekwa akiwa ndani ya basi watu zaidi ya 60 wanashuhudia hicho kitendo na wakiwa na magari 2 aina ya Land cruiser,na wakiwa na silaha nzito kubwa kubwa na kumchukua mtu kwa baadae anaonekana akiwa ameuwawa kikatili,et utanishawishi hizi nchi ni ya demokrasia kweli , wameshindwa kulinda wananchi wananchi wanatekwa2 et leo wanasikia maandamano wanachukua dolia nchi nzima.Kujipiga kifua kote kule, press conference kila siku, kila mara, mmefikia wapi mpaka sasa, na matokeo ya hayo yote ni nini na kiko wapi sasa?
Mnapuuza ushauri wa kitaalamu na mipango mikakati ya wabobezi katika siasa, mnaendekeza hisia, mihemko na kutegemea huruma za wanainchi kama dira na uelekeo wenu kisiasa? Taasisi kubwa kama chadema? No, hamuwezi kutoboa kabisa, never ever.
My friends,
Ni kujipanga tu. Hii ya kutegemea hisia, mihemko au huruma za wanainchi na ushabiki wa kutoka kwenye mitandao ya kijamii, haiwezi kuleta matokeo chanya kwa hapa Tz, lakini pia hali ya ground huku waliko wananchi ni tofauti mno na ilivyo kwenye social medias, ambazo chadema mmepumbazwa nazo mara zote, mkajisahau huko na hamjifunzi tu
Kuna utofauti na upotofu mkubwa sana baina ya ground na kwenye social medias. Go back to your drawing tables. Mkajipange vizuri, vinginevyo, hiki kilichofeli pakubwa leo kitajiridia tu tena.
Dunia na ulimwengu mzima umeshuhudia na kutambua kwamba, Tanzania kuhusu issue ya umoja, amani na utulivu wa wananchi wake, ina totally zero tolerence.
Tanzania iko tayari kutumia nguvu na gharama yoyote ile, tena bila kumuonea huruma, aibu wala haya mtu au nchi yoyote itakayojaribu kuhatarisha usalama wa waTanzania kwa ujumla π
Mungu Ibariki Tanzania.
Kwa wenye akili ya kupima na kisoda mtaona kama chadema wameshindwa..Kujipiga kifua kote kule, press conference kila siku, kila mara, mmefikia wapi mpaka sasa, na matokeo ya hayo yote ni nini na kiko wapi sasa?
Mnapuuza ushauri wa kitaalamu na mipango mikakati ya wabobezi katika siasa, mnaendekeza hisia, mihemko na kutegemea huruma za wanainchi kama dira na uelekeo wenu kisiasa? Taasisi kubwa kama chadema? No, hamuwezi kutoboa kabisa, never ever.
My friends,
Ni kujipanga tu. Hii ya kutegemea hisia, mihemko au huruma za wanainchi na ushabiki wa kutoka kwenye mitandao ya kijamii, haiwezi kuleta matokeo chanya kwa hapa Tz, lakini pia hali ya ground huku waliko wananchi ni tofauti mno na ilivyo kwenye social medias, ambazo chadema mmepumbazwa nazo mara zote, mkajisahau huko na hamjifunzi tu
Kuna utofauti na upotofu mkubwa sana baina ya ground na kwenye social medias. Go back to your drawing tables. Mkajipange vizuri, vinginevyo, hiki kilichofeli pakubwa leo kitajiridia tu tena.
Dunia na ulimwengu mzima umeshuhudia na kutambua kwamba, Tanzania kuhusu issue ya umoja, amani na utulivu wa wananchi wake, ina totally zero tolerence.
Tanzania iko tayari kutumia nguvu na gharama yoyote ile, tena bila kumuonea huruma, aibu wala haya mtu au nchi yoyote itakayojaribu kuhatarisha usalama wa waTanzania kwa ujumla π
Mungu Ibariki Tanzania.
acha ramli na imani za kishirikina gentleman,Ndugu amini nakwambia ipo siku
Ndugu amini nakwambia ipo siku watanzania watafunguliwa macho na watajua ni mambo gani ambayo huwa yanaendelea kwenye hili nchi, we jiulize mtu anatekwa akiwa ndani ya basi watu zaidi ya 60 wanashuhudia hicho kitendo na wakiwa na magari 2 aina ya Land cruiser,na wakiwa na silaha nzito kubwa kubwa na kumchukua mtu kwa baadae anaonekana akiwa ameuwawa kikatili,et utanishawishi hizi nchi ni ya demokrasia kweli , wameshindwa kulinda wananchi wananchi wanatekwa2 et leo wanasikia maandamano wanachukua dolia nchi nzima.
Naomba nirudie,kwa sasa wasomi Tanzania wapo wengi sana mtaa5hawana Ajira kwahy one day
kwani ule ujumbe wa maandamano ya august uliopelekwa UN haukufika bado π€£Kwa wenye akili ya kupima na kisoda mtaona kama chadema wameshindwa..
Iko hivi cdm wameshida 90% mapungufu ni madogo tu.
Kwani nyie mlitakaje?
Ujumbe umefika sasa shida iko wapi?
Mlitaka watu wapigwe ndio mseme maandamano yalifana?
Walioonekana wapuuzi ni wale waliotuma Askari waje Dar
Salute cdm