CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana

CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana

😃😃😃😃😃😃😃😃CHADEMA mnajidaigi mnaakili huku mmeshindwa kuchukua nchi. Mnazidiwa kete alafi mnajinadi mnaakili.
Kweli kabisa
1632984694417.png
 
Kauli ya kipumbavu sana kumwita binadamu mwenzako mwendakuzimu je unahukumu wewe kama nani na unauhakika gani yupo huko au unaongozwa na chuki angalia usihukumu usijehukumiwa
Ndugu yangu,
kwani kwa udhalimu aliyokuwa anajivunia, majigambo/vitisho kwa wengine, kufuru ya kutamani umalaika pamoja na ukatili ule kwa binadamu wenzie, WEWE unavyoona tokea moyoni mwako angeweza kwenda wapi?
 
Mtu yupo kuzimu unamuombaje msamaha?

Ungejuwa halipo ungemuombea misa nyingi na dua nyingi za kumuombea msamaha kwa Mungu wa kweli kwa kosa la kujifanya mungu mtu alipopewa pumzi ya bure na Mungu wa kweli.

jamaa huwa kiazi sana wewe yaani.

kwamba hawezi kuombwa msamaha ila anaweza kuombewa msamaha.

halafu umejuaje yuk kuzimu!!
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA.
Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.
Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Point of correction...mwanachadema gani aliteuliwa? JPM aliwanunua na wengine walilazimishwa kuhama cdm kwa kutishwa na wote walioteuliwa ilidaiwa kuwa ni hongo waliyoahidiwa kuwa watapata ili wahame cdm. Petrobas Katambi wala waitara na wenzao hawajawahi kupinga hili.

pili, unapomuomba mtu msamaha lazima uwe umemkosea. cdm walimkosea nini jpm? Tanzania si mali ya jpm na wala haitakujakuwa mali ya mtu. Ni mali ya Mungu na anayepewa uongozi anakuwa amedhaminiwa na wananchi. Hata katika ajira, mwajiri akikwambia nataka wadhamini ili nikuajiri, ukiajiriwa kisha ukaanza kuleta shida, wadhamini wako lazima wakulalamikie.

Chadema kama sehemu ya wananchi ambao ndiyo wadhamino, walikuwa na haki ya kiroho, kijamii, kikatiba na kisiasa kulalamikia mwenendo wa JPM kama mwajiriwa.

Hakuna kosa hapo
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Magufuli kafa kuoza na kufukiwa, wajane kwa nini hamtaki kuamini.
Uombe maiti iliooza itakusaidia nini. ?!
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Hulali. Kutwa nzima unawaza CHADEMA. Pole una matatizo ya hofu.
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Huyu muuaji,shetani,aliyeharibu nchi na kuteua wabunge wa ccm hana nafasi kokote hata ahera...shetani hajawahi kufikia roho ya kiuaji kama huyo mjinga mwenzio,bladifakeni
tapatalk_1520968859066.jpeg
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Keshakufa kibudu huyo labda aamke Kisha age Tena na Tena na Tena Nyambafu yule![emoji2][emoji2956]
 
Point of correction...mwanachadema gani aliteuliwa? JPM aliwanunua na wengine walilazimishwa kuhama cdm kwa kutishwa na wote walioteuliwa ilidaiwa kuwa ni hongo waliyoahidiwa kuwa watapata ili wahame cdm. Petrobas Katambi wala waitara na wenzao hawajawahi kupinga hili.

pili, unapomuomba mtu msamaha lazima uwe umemkosea. cdm walimkosea nini jpm? Tanzania si mali ya jpm na wala haitakujakuwa mali ya mtu. Ni mali ya Mungu na anayepewa uongozi anakuwa amedhaminiwa na wananchi. Hata katika ajira, mwajiri akikwambia nataka wadhamini ili nikuajiri, ukiajiriwa kisha ukaanza kuleta shida, wadhamini wako lazima wakulalamikie.

Chadema kama sehemu ya wananchi ambao ndiyo wadhamino, walikuwa na haki ya kiroho, kijamii, kikatiba na kisiasa kulalamikia mwenendo wa JPM kama mwajiriwa.

Hakuna kosa hapo
Chadema muda wao umekwisha 2025 tunakuja na chama kipyaaaa kilichosajiriwa miaka mingi lakini kinakwenda kujaza wananchama NA WAFUASI na kitachukua dola. Utabiri wa Mwl Nyerere kutimia 2025 baada ya kusemwa mwaka 1995 ni baada ya miaka 30 ya umri wa YESU.
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Acha upumbavu wewe!
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Usemacho ni kweli

Na ikumbukwe JPM hakufuata itikadi za kiCCM, Bali aliangalia Nchi itaka Nini

Kiongozi yoyote lazima aangalie Nchi inataka Nini

Na wapinzani wakumbuke JPM alitembea na Sera zao na wakajikuta wamefilisika kisera, wakajikuta ajenda yao ni DEMOKRASIA, ajenda ambayo Haina mashiko kwa Raia, Ila wasomi wetu wa Sheria tu.

Ukweli usemwe
 
Toa takataka yako hapa, wewe bado unaongea habari ya huyo muuaji, nenda kalinde kaburi lake sasa. Mungu alishaona hafai kuongoza anatesa watu wake akamuondoa, wewe tena unataka kutoneshea watu vidonda. Go to hell with your dictator.
 
Back
Top Bottom