CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana

CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana

Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.

Yaani Cdm wamuombe msamaha mtu aliyekuwa dhalimu na jizi la kura? Kama hizo sera zake zilikuwa zinakubalika, kwanini alinajishi chaguzi za nchi ili akae madarakani kwa shuruti? Subiri kuna chama kinaanzishwa na CCM kwa uratibu wa Tiss, wape hizo sera za Magufuli wakachukue nchi.
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Kwani +Magufuli bado ni Rais sera zake zifuatwe!?
Una maana waende Chato wakapige magoti kwa kaburi yake au vipi!!
Mbona mwateseka bure na kivuli yake!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Chadema hawana sera za maana kufikia watanzania kuwashindisha chaguzi kuu.....

Sera zao za kiliberali zenye kutaka MAJIMBO haziwiani na historia kuntu ya taifa hili bora Afrika.....

#SiempreJMT
 
Kauli ya kipumbavu sana kumwita binadamu mwenzako mwendakuzimu je unahukumu wewe kama nani na unauhakika gani yupo huko au unaongozwa na chuki angalia usihukumu usijehukumiwa

Mwendakuzimu alipokuwa anateka na kuua mbona hukumshauri aache?
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.

Waombe msamaha kwa mbowe kufilisiwa, Lissu kupigwa risasi, uchaguzi kuibiwa na Sanane kupotea. Mta subiri sana😂😂 mwacheni mzee wa watu apumzike mahali pema peponi sio kila siku mnatafuta kiki
 
Usemacho ni kweli

Na ikumbukwe JPM hakufuata itikadi za kiCCM, Bali aliangalia Nchi itaka Nini

Kiongozi yoyote lazima aangalie Nchi inataka Nini

Na wapinzani wakumbuke JPM alitembea na Sera zao na wakajikuta wamefilisika kisera, wakajikuta ajenda yao ni DEMOKRASIA, ajenda ambayo Haina mashiko kwa Raia, Ila wasomi wetu wa Sheria tu.

Ukweli usemwe
Trully, you are a very WEAKMAN, upstairs.
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Mkuu hicho chama kilishakufa. Kikundi kilichobaki uwezo wao wa kifikiri ni mdogo sana na wanadharau mno. Sisi tuliwashauri toka mwanzo 2016 waunge mkono Dkt Magufuli kwa sababu wao walikuwa sehemu ya mabadiliko ila wajenge hoja za njia mbadala ili wananchi wawaelewe, wao wakajikita kuwatumia akina kigogo, mdude, mange na kumporomoshea matusi ya nguoni Dkt Magufuli na mpaka wakafanya sherehe ya kufariki kwa Dkt Magufuli. Kwa ufupi hicho kikundi hakina think tank ya Dr akina Dr Slaa.

Na ulichoshauri kama kikitokea chama kipya kimeundwa leo chenye kushika na kubeba maono ya Dkt Magufuli nina uhakika CCM tutapata tabu sana kushinda na ushindi utakuwa mgumu kwa sababu mpaka sasa vifo vya chanjo za COVID19, rais wetu kukosa kukemea uovu kwa sauti, kurudisha watu ambao wana vinasaba vya rushwa yaani angejua huku mtaani wanavyomnanga asingecheka na akina Makamba na Mwigulu na akina RC Makalla. Mungu amsaidie aone na achukue hatua.
 
Chadema hawana sera za maana kufikia watanzania kuwashindisha chaguzi kuu.....

Sera zao za kiliberali zenye kutaka MAJIMBO haziwiani na historia kuntu ya taifa hili bora Afrika.....

#SiempreJMT
Mataifa mengi yanafuata mfumo wa shirikisho (Federal System of Government) na wako vizuri sana kimaendeleo.

Tatizo lenu ni kukaririshwa kwani ccm wanaona kwamba mfumo huu utawanyang'anya madaraka na kuyapeleka kwa wananchi na serikali kushindwa kutumia fedha kuwafanyia blackmail wananchi ambao hawakuwapigia kura.

Watu kama wewe ni upeo mdogo tu ndio unaowasumbua kwani hamjui yanayofanyika nje ya Tanzania.

It's a question of parochial thinking coupled with the lack of exposure.
 
Chadema hawana sera za maana kufikia watanzania kuwashindisha chaguzi kuu.....

Sera zao za kiliberali zenye kutaka MAJIMBO haziwiani na historia kuntu ya taifa hili bora Afrika.....

#SiempreJMT
Ukija uchaguzi mnakimbia na masanduku ya kura.
Nyie viumbe mnaoitwa MaCCM ni wapumbavu wa kiwango kikubwa sana
 
Mkuu hicho chama kilishakufa. Kikundi kilichobaki uwezo wao wa kifikiri ni mdogo sana na wanadharau mno. Sisi tuliwashauri toka mwanzo 2016 waunge mkono Dkt Magufuli kwa sababu wao walikuwa sehemu ya mabadiliko ila wajenge hoja za njia mbadala ili wananchi wawaelewe, wao wakajikita kuwatumia akina kigogo, mdude, mange na kumporomoshea matusi ya nguoni Dkt Magufuli na mpaka wakafanya sherehe ya kufariki kwa Dkt Magufuli. Kwa ufupi hicho kikundi hakina think tank ya Dr akina Dr Slaa.

Na ulichoshauri kama kikitokea chama kipya kimeundwa leo chenye kushika na kubeba maono ya Dkt Magufuli nina uhakika CCM tutapata tabu sana kushinda na ushindi utakuwa mgumu kwa sababu mpaka sasa vifo vya chanjo za COVID19, rais wetu kukosa kukemea uovu kwa sauti, kurudisha watu ambao wana vinasaba vya rushwa yaani angejua huku mtaani wanavyomnanga asingecheka na akina Makamba na Mwigulu na akina RC Makalla. Mungu amsaidie aone na achukue hatua.
Magufuli huyu aliyekuwa akiua watu, kuteka na kuwadhulumu mali zao ndio unamuona mtu, hata Mungu aliona amuwaishe kuliko kumuacha aendelee kutesa watu wake.

Magufuli hakuwa mtu, huyo alikuwa ni shetani 😈 kabisa. Tatizo lenu nyie mkishakosa favour ndio mnaleta stori kama hizi. Bure kabisa.
 
Rais wa hovyo zaidi kuwahi kutokea TZ! Sera na maono gani? Kujiita Rais wa wanyonge as if unyonge ni sifa? Kujifanya mpinga rushwa na ufisadi wakati yeye na timu yake ndiyo walikuwa wezi namba moja nchi hii? Kudhulumu wakulima hela zao na kuzibwa midomo wasiongee? Kupiga stop vyombo vya habari visiripoti mabaya yeyote ya utawala wake?

Kuwapa kesi za uhujumu uchumi wale wote ambao alikuwa hawapendi kwa sababu zake binafsi? Kutesa upinzani na kuwageuza kuwa adui namba 1 wa taifa? Kujisifu na elimu bure wakati alikuwa hapeleki hela mashuleni? Kuzifubaza halmashauri zetu kwa kutozipelekea hela za miradi? Kutoajiri, kupandisha watu vyeo na kuongeza mishahara kisa eti anajenga SGR na Bwawa la umeme (Samia anafanya vyote kwa pamoja)? Wewe na huyo jamaa yako ni vilaza wakubwa..
Umempa doze ya kutosha asipomaliza shauri yake. Hawezi kupona huo upumbavu wake wa kutaka kutushirikisha kwenye madhabahu ya wafu.
 
Magufuli huyu aliyekuwa akiua watu, kuteka na kuwadhulumu mali zao ndio unamuona mtu, hata Mungu aliona amuwaishe kuliko kumuacha aendelee kutesa watu wake.

Magufuli hakuwa mtu, huyo alikuwa ni shetani 😈 kabisa. Tatizo lenu nyie mkishakosa favour ndio mnaleta stori kama hizi. Bure kabisa.
Propaganda za kitoto. Na ndiyo hizo hizo propaganda tunaambiwa eti Riziwani alikamatwa China na madawa ya kulevya na JK ilalisafiri kwenda China. Tumia akili achana kukaririshwa huo ujinga. Mbowe na genge lake waliua watu ili ionekane serikali imeua. Lisu Mbow alishiriki kujaribu kumuua ili eti nchi isitawalike. In short ni mwenye uelewa mdogo kama wewe utaamini huo upupu.
 
Back
Top Bottom